Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yatoa jibu kwa barua ya nchi 11 za Kiarabu kwa Katibu Mkuu wa UN

    Iran yatoa jibu kwa barua ya nchi 11 za Kiarabu kwa Katibu Mkuu wa UN

    Nov 17, 2016 04:02

    Mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amemwandikia barua Katibu Mkuu wa umoja huo kujibu barua iliyotumwa na nchi 11 za Kiarabu kwa Katibu Mkuu huyo na kueleza kwamba: Ni kichekesho kuona tawala ambazo zenyewe ndizo zinazolea na kueneza fikra za misimamo mikali na ukufurishaji katika nchi za Iraq na Syria, sasa zinaituhumu Iran kuwa inaunga mkono ugaidi.

  • Ayatullah Khamenei: Iran haina hukumu yoyote kuhusu uchaguzi wa Marekani

    Ayatullah Khamenei: Iran haina hukumu yoyote kuhusu uchaguzi wa Marekani

    Nov 16, 2016 10:55

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina hukumu ya aina yoyote kuhusu uchaguzi wa rais wa Marekani na kuongeza kuwa, Iran daima imekuwa ikishuhudia uadui kutoka kwa vyama viwili vikuu vya Marekani.

  • Bunge la Marekani larefusha vikwazo dhidi ya Iran, maandamano dhidi ya Trump yanaendelea

    Bunge la Marekani larefusha vikwazo dhidi ya Iran, maandamano dhidi ya Trump yanaendelea

    Nov 16, 2016 04:20

    Bunge la Marekani limeendelea kuonesha uadui wake dhidi ya Iran kwa kupasisha muswada wa kurefusha vikwazo dhidi ya Tehran kwa miaka kumi zaidi.

  • Iran yalaani mauaji ya Waislamu  nchini Nigeria

    Iran yalaani mauaji ya Waislamu nchini Nigeria

    Nov 15, 2016 10:11

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hatua ya Jeshi la Nigeria kuwashambulia na kuwaua Waislamu waliokuwa wakishiriki katika maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein AS.

  • Rouhani: Iran na Russia zitaendelea kupambana na ugaidi

    Rouhani: Iran na Russia zitaendelea kupambana na ugaidi

    Nov 15, 2016 01:06

    Rais wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu na Russia zitaendelea kuwa na ushirikiano wa kistratajia katika kupambana na ugaidi katika eneo hili la Mashariki ya Kati.

  • Diplomasia ya Russia; kustawisha uhusiano na Iran

    Diplomasia ya Russia; kustawisha uhusiano na Iran

    Nov 14, 2016 23:20

    Katika kipindi hiki, Tehran imekuwa ikifikiwa na ugeni wa viongozi na maafisa wa nchi mbalimbali za Ulaya. Wakati László Kövér, Spika wa bunge la Hungary akiwa bado mjini Tehran kwa mazungumzo na mashauriano na maafisa wa Iran juu ya uhusiano wa mabunge ya nchi mbili Mwenyekiti wa Baraza la Shirikisho la Russia Valentina Ivanovna Matvienko, naye pia amewasili Tehran kwa safari rasmi ya kikazi.

  • Mogherini: Trump hana uwezo wa kubatilisha JCPOA

    Mogherini: Trump hana uwezo wa kubatilisha JCPOA

    Nov 14, 2016 04:34

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na kundi la 5+1 hayawezi kubatilishwa na serikali moja kwa kuwa yana baraka kamili ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Larijani: Uhusiano wa Iran na Russia unaridhisha mno

    Larijani: Uhusiano wa Iran na Russia unaridhisha mno

    Nov 14, 2016 04:29

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema uhusiano wa pande mbili kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Russia ni wa kuridhisha mno.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Pakistan

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Pakistan

    Nov 13, 2016 12:38

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana Jumamosi katika mkoa wa Baluchestan nchini Pakistan, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

  • Harakati za Saudi Arabia na Imarati dhidi ya Iran katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    Harakati za Saudi Arabia na Imarati dhidi ya Iran katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    Nov 13, 2016 09:05

    Duru za kisiasa zenye mfungamano na Saudi Arabia kwa siku kadhaa sasa zimeanzisha duru mpya ya harakati za kuzidisha mashinikizo dhidi ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS