Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya ubalozi wa Ujerumani

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya ubalozi wa Ujerumani

    Nov 12, 2016 04:49

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali shambulizi la kigaidi lililolenga ubalozi mdogo wa Ujerumani nchini Afghanistan.

  • Zarif amuonya Trump asithubutu kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran

    Zarif amuonya Trump asithubutu kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran

    Nov 12, 2016 01:13

    Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran Mohammad Javad Zarif ameonya kuwa iwapo rais mteule wa Marekani atakiuka mapatano ya nyuklia, basi Iran ina machaguo mengine ya kukabiliana na hali hiyo.

  • Ayatullah Khatami amtahadharisha Rais mteule wa Marekani kuhusu siasa za vitisho

    Ayatullah Khatami amtahadharisha Rais mteule wa Marekani kuhusu siasa za vitisho

    Nov 11, 2016 12:21

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo katika mji wa Tehran amesema kuwa taifa la Iran halitaiamini serikali yoyote inayoingia madarakani huko Marekani.

  • IAEA yasisitizia, Iran imeheshimu makubaliano ya JCPOA

    IAEA yasisitizia, Iran imeheshimu makubaliano ya JCPOA

    Nov 10, 2016 04:27

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) umesisitiza tena katika ripoti yake mpya kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetekeleza na kuheshimu makubaliano ya nyuklia maarufu kama JCPOA kwa kifupi.

  • Iran yaikosoa Saudia kwa kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu

    Iran yaikosoa Saudia kwa kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu

    Nov 09, 2016 04:31

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema mwenendo wa utawala wa Saudi Arabia kuyavunjia heshima matukufu ya Kiislamu kwa maslahi yake ya kisiasa ni hatari na utakaowatumbukia nyongo karibuni hivi.

  • Zarif: Muqawama umesambaratisha njama za magaidi Lebanon

    Zarif: Muqawama umesambaratisha njama za magaidi Lebanon

    Nov 08, 2016 04:00

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema harakati za kimuqawama ndizo zimesambaratisha njama za maadui na magaidi nchini Lebanon.

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Togo Tehran; ulazima wa kulijali bara la Afrika

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Togo Tehran; ulazima wa kulijali bara la Afrika

    Nov 07, 2016 08:26

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Togo Robert Dussey jana Jumapili alikutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Muhammad Javad Zarif hapa mjini Tehran.

  • Ulimwengu wa Michezo, Nov 7

    Ulimwengu wa Michezo, Nov 7

    Nov 07, 2016 04:28

    Mkusanyiko wa matukio kem kem ya spoti yalitoawala anga mbali mbali ndani ya siku saba zilizopita......................

  • Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi Samarra na Tikrit Iraq

    Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi Samarra na Tikrit Iraq

    Nov 07, 2016 00:47

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyopelekea watu wasiopungua 21 kuuawa katika miji ya Samarra na Tikrit nchini Iraq jana Jumapili.

  • Sisitizo la udharura wa kuweko umoja kati ya Waislamu

    Sisitizo la udharura wa kuweko umoja kati ya Waislamu

    Nov 07, 2016 00:47

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahul Bayt AS amesistiza kuhusu udharura wa kuimarishwa umoja wa Waislamu duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS