Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Larijani: Israel inatumia ugaidi kudhoofisha ulimwengu wa Kiislamu

    Larijani: Israel inatumia ugaidi kudhoofisha ulimwengu wa Kiislamu

    Nov 06, 2016 14:28

    Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu, Bunge la Iran, amesema kuwa, kueneza ugaidi ni katika mbinu na sera zinazotumiwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kuzidhoofisha nchi za Kiislamu.

  • Mawaziri wa Mambo  ya Nje wa Iran na Togo wakutana Tehran

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Togo wakutana Tehran

    Nov 06, 2016 12:03

    Mawaziri wa Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Togo wamekutana leo mjini Tehran.

  • Marekani yaendeleza siasa za uhasama dhidi ya Iran

    Marekani yaendeleza siasa za uhasama dhidi ya Iran

    Nov 05, 2016 23:16

    Tangu mwaka 1979 wakati zilipofichuliwa nyaraka za harakati za siri za ujasusi wa Marekani nchini Iran katika uliokuwa ubalozi wa nchi hiyo mjini Tehran, rais wa nchi hiyo alitangaza hali ya hatari dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Iran: Wananchi wamevunja njama zote za maadui

    Iran: Wananchi wamevunja njama zote za maadui

    Nov 05, 2016 23:13

    Waziri wa Usalama wa Taifa wa Iran amesema kuwa, kushiriki vilivyo wananchi katika nyuga tofauti kumefanikiwa kuvunja njama zote za maadui.

  • "Jinai za Marekani ziwekwe paruwanja kimataifa"

    Nov 04, 2016 12:21

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran ameitaja Marekani kama adui nambari moja wa Ulimwengu wa Kiislamu na kueleza udharura wa kuanikwa hadharani jinai za Washington kimataifa.

  • Sarkozy: Iran ina nafasi kuu katika kupatikana amani Mashariki ya Kati

    Sarkozy: Iran ina nafasi kuu katika kupatikana amani Mashariki ya Kati

    Nov 04, 2016 04:03

    Nicolaus Sarkozy rais wa zamani wa Ufaransa amesisitiza umuhimu wa nafasi ya Iran katika kupatikana amani katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Ijumaa, 04 Novemba, 2016

    Ijumaa, 04 Novemba, 2016

    Nov 03, 2016 22:59

    Leo ni Ijumaa tarehe 4 Safar 1438 sawa na Novemba 4, 2016.

  • Maandamano ya Siku ya Taifa ya Kupambana na Uistikbari yafanyika kote nchini

    Maandamano ya Siku ya Taifa ya Kupambana na Uistikbari yafanyika kote nchini

    Nov 03, 2016 13:06

    Maandamano ya tarehe 13 Aban (tarehe 3 Novemba) ya kuadhimisha Siku ya Wanafunzi, Siku ya Taifa ya Kupambana na Uistikbari na Siku ya Kutekwa Pango la Ujasusi la Marekani yamefanyika leo na kuhudhuriwa kwa wingi nchini kote.

  • Rouhani: Uingiliaji wa kigeni umeleta mgawanyiko Mashariki ya Kati

    Rouhani: Uingiliaji wa kigeni umeleta mgawanyiko Mashariki ya Kati

    Nov 02, 2016 01:07

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema matatizo yanayolikabili eneo hili la Mashariki ya Kati yamesababishwa na uingiliaji unaofanywa na nchi za kigeni katika masuala ya ndani ya nchi za eneo hilo.

  • Rais Rouhani asisitiza kuarifishwa uwezo wa Iran katika nchi zingine duniani

    Rais Rouhani asisitiza kuarifishwa uwezo wa Iran katika nchi zingine duniani

    Oct 31, 2016 10:49

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuhusu ulazima wa kuarifishwa uwezo wa Iran kwa ajili ya wawekezaji wa sekta binafsi kutoka nchi zingine duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS