Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Jumatatu tarehe 31 Oktoba 2016

    Jumatatu tarehe 31 Oktoba 2016

    Oct 31, 2016 06:22

    Leo ni Jumatatu tarehe 29 Muharram 1438 Hijria sawa na 31 Oktoba 2016.

  • Ulimwengu wa Michezo, Okt 31

    Ulimwengu wa Michezo, Okt 31

    Oct 31, 2016 03:58

    Ufuatao ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti kutoka kila kila dunia ndani ya siku saba zilizopita.

  • Tehran: Njama za kuharibu usalama wa Iran zimefeli

    Tehran: Njama za kuharibu usalama wa Iran zimefeli

    Oct 30, 2016 12:12

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, njama zote za maadui za kuvuruga usalama wa Iran zimefeli.

  • Amano: Iran imeheshimu kikamilifu makubaliano ya nyuklia

    Amano: Iran imeheshimu kikamilifu makubaliano ya nyuklia

    Oct 30, 2016 11:44

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) ameeleza kuwa Iran imetekeleza ahadi zake zote katika makubaliano ya nyuklia kati yake na madola makuu duniani.

  • Mauzo ya mafuta ya Iran barani Asia yaongezeka kwa 92%

    Mauzo ya mafuta ya Iran barani Asia yaongezeka kwa 92%

    Oct 30, 2016 04:27

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema uuzaji wa mafuta yake katika nchi za bara Asia umeongezeka na kufikia asilimia 92, kiwango kinachokaribia cha kabla ya vikwazo.

  • Jumamosi, 29 Oktoba, 2016

    Jumamosi, 29 Oktoba, 2016

    Oct 29, 2016 02:44

    Leo ni Jumamosi tarehe 27 Mfunguo Nne Muharram 1438 Hijria mwafaka na tarehe 29 Oktoba mwaka 2016 Miladia.

  • Njama za maadui za kuzusha mifarakano baina ya Shia na Sunni nchini Iran zimeshindwa

    Njama za maadui za kuzusha mifarakano baina ya Shia na Sunni nchini Iran zimeshindwa

    Oct 27, 2016 06:37

    Mwakilishi wa Faqihi Mtawala nchini Iraq amesema njama za maadui wa Uislamu za kuzusha hitilafu na mifarakano kati ya Shia na Sunni nchini Iran zimeshindwa kutokana na umoja na mshikamano baina ya wafuasi wa madhehebu hizo.

  • Mazoezi ya kijeshi ya mara kwa mara ya nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi

    Mazoezi ya kijeshi ya mara kwa mara ya nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi

    Oct 27, 2016 03:53

    Majeshi ya nchi Kiarabu wanachama wa Baraza la Ushirikiano wa Ghuba ya Uajemi tarehe 25 Oktoba yalianza mazoezi ya kijeshi yaliyopewa jina la "Amani ya Ghuba ya Uajemi-1".

  • Rouhani: EU yawania kurejesha uhusiano na Iran baada ya JCPOA

    Rouhani: EU yawania kurejesha uhusiano na Iran baada ya JCPOA

    Oct 26, 2016 11:38

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za Umoja wa Ulaya zipo mbioni kurejesha na kuimarisha uhusiano wao na Tehran, tokea yafikiwe mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.

  • Marekani hailipi uzito suala la vita dhidi ya ugaidi

    Marekani hailipi uzito suala la vita dhidi ya ugaidi

    Oct 26, 2016 04:41

    Alauddin Burujerdi Mkuu wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, amesema Marekani hailipatii uzito suala la vita dhidi ya ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS