-
Iran na Bosnia Herzegovina kuimarisha uhusiano
Oct 25, 2016 12:57Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mwenyekiti wa Baraza la Urais wa Bosnia Herzegovina wamesisitiza kuhusu kuimarishwa uhusiano wa pande mbili katika nyanja mbali mbali hasa katika sekta ya uchumi.
-
Rouhani: Nchi za kibeberu zinafanya maonyesho ya kisiasa katika "vita dhidi ya ugaidi"
Oct 25, 2016 04:24Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madola ya kibeberu na kiistikbari yanawachezea shere walimwengu sambamba na kufanya maonyesho ya kisiasa katika kile wanachokitaja kuwa 'vita dhidi ya ugaidi.'
-
Jumanne, Oktoba 25, 2016
Oct 24, 2016 23:19Leo ni Jumanne tarehe 23 Muharram 1438 hijria sawa na Oktoba 25, 2016.
-
Ulimwengu wa Michezo, Okt 24
Oct 24, 2016 03:27Iran yaibuka ya 2 Kombe la Dunia mchezo wa Kabaddi; Mau U wachezea mkong'oto Stamford Bridge na Sundowns yatwaa Kombe la Klabu Bingwa Afrika.
-
Jumatatu, Oktoba 24, 2016
Oct 24, 2016 00:06Leo ni Jumatatu tarehe 22 Mfunguo Nne Muharram 1438 Hijria sawa na Oktoba 24, 2016.
-
Jumapili, Oktoba 23, 2016
Oct 23, 2016 01:01Leo ni Jumapili tarehe 21 Muharram mwaka 1438 Hijria, sawa ya Oktoba 23 mwaka 2016.
-
Rais wa Venezuela safarini Iran kwa mazungumzo ya mafuta
Oct 22, 2016 00:56Rais Nicolas Maduro wa Venezuela anaitembelea Iran katika sehemu ya safari yake ya kuzitembelea nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi duniani ili kujaribu kuleta uthabiti katika soko la kimataifa la mafuta.
-
Iran yaikosoa Bahrain kwa kuhujumu ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq
Oct 21, 2016 10:19Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imebainisha wasi wasi wake mkubwa baada ya vikosi vya utawala wa Bahrain kuvamia ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq na kusema hatua kama hizo dhidi ya wapinzani ni kosa la kistraitjia.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran alaani kimya kuhusu jinai za Saudia nchini Yemen
Oct 21, 2016 10:15Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amelaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu kuendelea jinai za utawala wa Saudi Arabia nchini Yemen na katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Iran yakanusha kuhusika na shambulio dhidi ya manowari za Marekani
Oct 20, 2016 04:19Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekanusha vikali madai ya jenerali wa jeshi la Marekani kwamba kuna uwezekano wa kuhusika Tehran katika shambulio la kombora dhidi ya manowari ya nchi hiyo Bahari Nyekundu.