Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kiongozi wa Masuni Russia aunga mkono juhudi za Iran za kukurubisha madhehebu za Kiislamu

    Kiongozi wa Masuni Russia aunga mkono juhudi za Iran za kukurubisha madhehebu za Kiislamu

    Oct 20, 2016 04:19

    Mkuu wa Baraza la Mamufti la Russia amesema ushirikiano wa kuzikurubisha pamoja madhehebu za Kiislamu uliopo baina ya baraza hilo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wenye thamani kubwa na kuongeza kuwa uhusiano huo umekuwa na mafanikio mengi.

  • Kazem Jalali: Sera za Iran zinalenga kuleta umoja katika Umma wa Kiislamu

    Kazem Jalali: Sera za Iran zinalenga kuleta umoja katika Umma wa Kiislamu

    Oct 19, 2016 00:33

    Mjumbe wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Sera za Nje ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema sera za kieneo na kimataifa za Iran ziko wazi kabisa na zinalenga kuleta umoja katika Umma wa Kiislamu.

  • Salehi: Karibuni dawamiale zinazotengezwa nchini zitauzwa kwa wingi nje ya nchi

    Salehi: Karibuni dawamiale zinazotengezwa nchini zitauzwa kwa wingi nje ya nchi

    Oct 18, 2016 11:59

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema karibuni dawamiale (Radiopharmaceuticals) zinazotengezwa nchini zitaanza kusafirishwa na kuuzwa kwa wingi nje ya nchi.

  • Larijani: Marekani inachochea ugaidi kupitia vita

    Larijani: Marekani inachochea ugaidi kupitia vita

    Oct 18, 2016 03:31

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesema Marekani inachochea ugaidi katika eneo hili la Mashariki ya Kati na duniani kote kwa ujumla kwa kutumia anga ya vita na mapigano.

  • Meli za kivita za Iran zazima hujuma ya maharamia karibu na Somalia

    Meli za kivita za Iran zazima hujuma ya maharamia karibu na Somalia

    Oct 17, 2016 23:41

    Meli za kivita za Iran zimefanikiwa kuzima hujuma kadhaa za maharamia waliolenga kuziteka meli mbili za kibiashara za Iran katika Ghuba ya Aden.

  • Uzalishaji mafuta nchini Iran warejea katika kiwango cha kabla ya vikwazo

    Uzalishaji mafuta nchini Iran warejea katika kiwango cha kabla ya vikwazo

    Oct 17, 2016 23:39

    Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, baada ya kuanza utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia baina ya Iran na kundi la 5+1 ambayo ni maarufu kwa jina la makubaliano ya JCPOA, uzalishaji wa mafuta wa Iran umekaribia kiwango cha kabla ya vikwazo, yaani mapipa milioni nne na laki mbili kwa siku.

  • Iran inalenga kuimarisha zaidi uhusiano na nchi za Afrika

    Iran inalenga kuimarisha zaidi uhusiano na nchi za Afrika

    Oct 17, 2016 12:23

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuimarisha uhusiano na nchi za Kiafrika ni msingi muhimu wa sera za kigeni za Iran.

  • Iran yafanya mazoezi makubwa ya jeshi la anga

    Iran yafanya mazoezi makubwa ya jeshi la anga

    Oct 17, 2016 12:10

    Jeshi la Anga la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limeanzisha mazoezi makubwa yanayojumuisha ndege aina mbali mbali za kivita katika eneo la Anarak, Isfahan, kati mwa Iran.

  • Ulimwengu wa Spoti, Okt 17

    Ulimwengu wa Spoti, Okt 17

    Oct 17, 2016 03:47

    Hujambo mpenzi msikilizaji wa Radio Tehran na hususan shabiki wa spoti na karibu tuangazie matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita ndani na nje ya nchi.

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi Iraq

    Makumi wauawa na kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi Iraq

    Oct 16, 2016 11:13

    Watu zaidi ya 30 wameuawa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi lililoulenga mkusanyiko wa waombolezaji waliokuwa wakiandamana katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS