Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Abdollahian: Iran inasaidia kupatikana amani na uthabiti barani Afrika

    Abdollahian: Iran inasaidia kupatikana amani na uthabiti barani Afrika

    Feb 01, 2023 04:06

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran ipo mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi na inasadia kupatikana amani na uthabiti barani Afrika.

  • Spika wa Bunge la Algeria: Tunataka kuimarisha uhusiano na Iran

    Spika wa Bunge la Algeria: Tunataka kuimarisha uhusiano na Iran

    Jan 29, 2023 09:52

    Spika wa Bunge la Algeria amesema: Tunajivunia mafanikio ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyuga mbalimbali na tunataka kuimarisha uhusiano kati ya mataifa yetu mawili.

  • Qalibaf: Afrika ni mojawapo ya fursa muhimu za kiuchumi kwa Ulimwengu wa Kiislamu

    Qalibaf: Afrika ni mojawapo ya fursa muhimu za kiuchumi kwa Ulimwengu wa Kiislamu

    Jan 29, 2023 04:05

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kabla ya kuondoka Tehran kuelekea ziarani nchini Algeria kwa lengo la kushiriki katika mkutano wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kuwa: Afrika katika mazingira ya sasa ni moja ya fursa muhimu za kiuchumi na kiutamaduni kwa Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Iran na Tanzania zahimiza ushirikiano zaidi baina yao hasa katika uwekezaji viwandani

    Iran na Tanzania zahimiza ushirikiano zaidi baina yao hasa katika uwekezaji viwandani

    Jan 27, 2023 03:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: Tuko tayari kutoa ujuzi na uzoefu wetu, hasa katika nyanja za elimu, kilimo, uvuvi, ujenzi wa mabwawa, usimamizi wa vyanzo vya maji na kilimo umwagiliaji, ili kuisaidia Tanzania katika juhudi zake za mapinduzi ya viwanda.

  • Gharibabadi: Magharibi inatumia suala la wanawake kuzishinikiza nchi huru

    Gharibabadi: Magharibi inatumia suala la wanawake kuzishinikiza nchi huru

    Jan 26, 2023 23:17

    Afisa wa ngazi ya juu wa haki za binadamu nchini Iran amesema nchi za Magharibi zinatumia suala la wanawake kuziweka chini ya mashinikizo nchi huru duniani.

  • Abdollahian asisitiza azma ya Iran ya kuimarisha ushirikiano na bara la Afrika

    Abdollahian asisitiza azma ya Iran ya kuimarisha ushirikiano na bara la Afrika

    Jan 23, 2023 03:50

    Hussein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya azma ya Tehran ya kukuza na kustawisha zaidi ushirikiano wake na mataifa ya Kiafrika.

  • Iran kuwa mwenyeji wa nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS)

    Iran kuwa mwenyeji wa nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS)

    Jan 09, 2023 07:20

    Tehran karibuni hivi inatazamiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa kwanza baina ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS).

  • Rais Ebrahim Raisi: Wamagharibi waliingia Afrika kwa ajili ya kukoloni na kupora utajiri wa Waafrika

    Rais Ebrahim Raisi: Wamagharibi waliingia Afrika kwa ajili ya kukoloni na kupora utajiri wa Waafrika

    Jan 09, 2023 00:46

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, madola ya Magharibi yaliingia barani Afrika kwa ajili ya kukoloni na kupora maliasili na utajiri wa Waafrika.

  • Hauli ya Haj Qassem yafanyika Nigeria kwa maandamano na kuchomwa moto bendera ya Marekani

    Hauli ya Haj Qassem yafanyika Nigeria kwa maandamano na kuchomwa moto bendera ya Marekani

    Jan 04, 2023 00:54

    Wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameandamana katika hauli na kumbukumbu ya kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani na kuchoma moto bendera ya Marekani.

  • Zakzaky: Ni wajibu kwa Waislamu wote huru kuendeleza njia ya shahidi Soleimani

    Zakzaky: Ni wajibu kwa Waislamu wote huru kuendeleza njia ya shahidi Soleimani

    Jan 03, 2023 07:39

    Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesisitiza kuwa, vijana wa kambi ya muqawama wanapaswa kusimama imara kukabiliana na madola ya kiistikbari kama ambavyo pia amewataka Waislamu kutumia njia zote zinazowezekana, kuhakikisha fikra za shahidi Qassem Soleimani zinabakia hai.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS