Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Afrika

  • Rais Raisi: Kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Iran

    Rais Raisi: Kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Iran

    Jun 01, 2022 03:37

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Tehran.

  • Balozi: Safari ya Rais wa Iran nchini Afrika Kusini itaimarisha uhusiano wa nchi mbili

    Balozi: Safari ya Rais wa Iran nchini Afrika Kusini itaimarisha uhusiano wa nchi mbili

    May 31, 2022 21:01

    Balozi wa Afrika Kusini nchini Iran amesema safari tarajiwa ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Afrika Kusini katika mwezi wa Oktoba au Novemba mwaka huu itakuwa fursa ya kuimarisha uhusiano wa nchi mbili.

  • Iran na Afrika Kusini zitilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano baina yao

    Iran na Afrika Kusini zitilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano baina yao

    May 23, 2022 20:48

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika masuala ya kisiasa ametilia mkazo wajibu wa kuimarishwa ushirikiano baina ya nchi yake na Afrika Kusini na kusisitiza kuwa, kutiwa nguvu ushirikiano baina ya Tehran na Pretoria ni jambo la dharura sana kwa ajili ya kupambana na fikra potofu ya kila nchi kujikumbizia mambo yote upande wake.

  • Mokhber: Uhusiano wa Iran na nchi za Afrika umeingia mkondo mpya

    Mokhber: Uhusiano wa Iran na nchi za Afrika umeingia mkondo mpya

    May 18, 2022 21:56

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi za Afrika ikiwemo Ghana umechukua mkondo mpya.

  • Wizara ya Mambo ya Nje: Usafirishaji wa bidhaa za Iran Afrika umeongezeka kwa 120%

    Wizara ya Mambo ya Nje: Usafirishaji wa bidhaa za Iran Afrika umeongezeka kwa 120%

    May 10, 2022 22:11

    Mkuu wa Idara ya Magharibi na Katikati mwa Afrika ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, usafirishaji wa bidhaa kuelekea nchi za bara la Afrika umeongezeka kwa asilimia 120.

  • Rais wa Iran aipongeza Afrika Kusini kwa kuadhimisha Siku ya Taifa

    Rais wa Iran aipongeza Afrika Kusini kwa kuadhimisha Siku ya Taifa

    Apr 27, 2022 22:20

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia ujumbe wa pongezi mwenzake wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa kwa mnasaba wa taifa hilo la Kiafrika kuadhimisha Siku ya Taifa.

  • Iran na Mauritania zahimiza kuimarisha ushirikiano wao katika nyuga zote

    Iran na Mauritania zahimiza kuimarisha ushirikiano wao katika nyuga zote

    Apr 20, 2022 03:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo ya simu na waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Mauritania na kutilia mkazo udharura wa kuimarishwa uhusiano wa Tehran na Nouakchott katika nyuga zote.

  • Kenya na Iran kuimarisha uhusiano wao katika nyuga za utalii na uwekezaji

    Kenya na Iran kuimarisha uhusiano wao katika nyuga za utalii na uwekezaji

    Apr 19, 2022 03:38

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Kenya zimeazimia kusaini makubaliano ya maelewano juu ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika nyuga za uwezekaji na utalii.

  • Usafirishaji wa bidhaa za Iran nchini Afrika Kusini waongezeka kwa asilimia 500

    Usafirishaji wa bidhaa za Iran nchini Afrika Kusini waongezeka kwa asilimia 500

    Apr 18, 2022 21:44

    Mkuu wa Shirika la Ustawi wa Kibiashara la Iran limetangaza kuwa, usafirishaji nje bidhaa za Iran umepindukia dola bilioni 13 huku nchi za Afrika Kusini na Ghana zikiongoza kwa barani Afrika.

  • Iran yailaumu Uingereza kwa kuwalazimisha wakimbizi waende nchini Rwanda

    Iran yailaumu Uingereza kwa kuwalazimisha wakimbizi waende nchini Rwanda

    Apr 16, 2022 02:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameilaumu serikali ya Uingereza kwa kuwalazimisha wakimbizi walioko nchini humo kwenda nchini Rwanda na amesisitiza kuwa, kufanya hivyo ni kukwepa London majukumu yake ya kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS