Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Magaidi wa Daesh walipua daraja linalounganisha mji wa Mosul

    Magaidi wa Daesh walipua daraja linalounganisha mji wa Mosul

    Jan 08, 2017 04:10

    Kamanda wa operesheni za kuukomboa mkoa wa Nainawa (Nineve) kaskazini mwa Iraq, amesema kuwa, genge la kigaidi na kitakfiri la Daesh, limeripua upande wa kulia wa daraja la Mto Tigris linalouonganisha mji wa Mosul na maeneo mengine.

  • Iraq: Mosul hivi karibuni utakuwa tayari umekombolewa kutoka mikononi mwa magaidi wa ISIS

    Iraq: Mosul hivi karibuni utakuwa tayari umekombolewa kutoka mikononi mwa magaidi wa ISIS

    Jan 06, 2017 01:18

    Kamanda wa operesheni za vikosi vya jeshi la Iraq amesema kuwa, jeshi la nchi hiyo tayari limekomboa asilimia 70 upande wa mashariki wa mji wa Mosul kutoka mikononi mwa wanachama wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) na kwamba inatazamiwa siku chache zijazo mji wote wa Mosul utakuwa umekombolewa na jeshi hilo.

  • Ushirikiano wa Iran, Iraq, Syria na Russia katika vita dhidi ya ugaidi

    Ushirikiano wa Iran, Iraq, Syria na Russia katika vita dhidi ya ugaidi

    Jan 05, 2017 01:06

    Haidar al Abadi, Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kuwa, ushirikiano wa Iraq, Russia, Syria na Iran katika vita dhidi ya ugaidi ni kwa maslahi ya wote.

  • UN: Ghasia na ugaidi vimeua raia karibu 7000 Iraq, 2016

    UN: Ghasia na ugaidi vimeua raia karibu 7000 Iraq, 2016

    Jan 04, 2017 00:26

    Umoja wa Mataifa umesema takriban raia elfu 7 wameuawa katika mapigano na mashambulizi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh/ISIS mwaka uliomalizika wa 2016 nchini Iraq.

  • Magaidi 76 wa Daesh waangamizwa katika mji wa Mosul, Iraq

    Magaidi 76 wa Daesh waangamizwa katika mji wa Mosul, Iraq

    Jan 03, 2017 10:21

    Vyombo vya usalama nchini Iraq vimetangaza habari ya kuuawa makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika operesheni ya kuukomboa mji wa Mosul ulioko kaskazini mwa nchi.

  • Milipuko yaua kwa uchache watu 28 katikati mwa Baghdad, Iraq

    Milipuko yaua kwa uchache watu 28 katikati mwa Baghdad, Iraq

    Dec 31, 2016 11:23

    Milipuko miwili iliyotokea katikati mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad imeua watu wasiopungua 28.

  • Mashia na Masuni Iraq wajadili mustakbali baada ya kuangamizwa ISIS

    Mashia na Masuni Iraq wajadili mustakbali baada ya kuangamizwa ISIS

    Dec 30, 2016 12:18

    Mirengo mikubwa zaidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Suni katika Bunge la Iraq imeafikiana kuhusu namna ya kurejesha ustawi na amani katika nchi hiyo baada ya maangamizo tarajiwa ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.

  • Uingiliaji wa madola ya kigeni, sababu ya kurefuka ukombozi wa Mosul

    Uingiliaji wa madola ya kigeni, sababu ya kurefuka ukombozi wa Mosul

    Dec 26, 2016 08:38

    Sayyid Ammar al Hakim, Mkuu wa Muungano wa Taifa wa Mashia wa Iraq amesema, ushahidi unaonesha kuwa, kuweko maafisa wengi wa kijeshi na kijasusi wa nchi za eneo la Mashariki ya Kati huko Iraq, kunazorotesha juhudi za nchi hiyo za kupambana na magaidi.

  • Jumatatu, tarehe 26 Disemba, 2016

    Jumatatu, tarehe 26 Disemba, 2016

    Dec 26, 2016 01:01

    Leo ni Jumatatu tarehe 26 Rabiul Awwal sawa na Tarehe 26 Disemba 2016.

  • Magaidi Mosul, Iraq wanaongozwa na maafisa wa kijeshi wa nchi jirani

    Magaidi Mosul, Iraq wanaongozwa na maafisa wa kijeshi wa nchi jirani

    Dec 25, 2016 12:14

    Ushahidi umebaini kuwa, maafisa wa kijeshi na kijasusi wa nchi za eneo la Mashariki ya Kati wanahusika katika kuwaongoza na kuwaelekeza magaidi katika mji wa Mosul nchini Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS