-
Kuendelea kukosolewa utendaji wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu vita dhidi ya ugaidi
Dec 25, 2016 00:22Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amekosoa utendaji wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kuhusu masuala ya eneo la Mashariki ya Kati na mapambano dhidi ya ugaidi.
-
Ulinzi waimarishwa katika mpaka wa Iraq na Syria
Dec 09, 2016 04:09Duru za usalama nchini Iraq zimetangaza kuwa, usalama umeimarishwa katika mpaka wa nchi hiyo na Syria.
-
Daesh wazidi kupata pigo Iraq, watega mabomu ndani ya Qur'ani karibu na Mosul
Dec 07, 2016 00:26Wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) wameanza tena kutega mabomu ndani ya nakala za Qur'ani Tukufu na kuziacha mabarabarani na nje ya majumba katika kijiji cha Kanous, karibu na mji wa Mosul nchini Iraq.
-
Viongozi wa kundi la Daesh watoroka mji wa Mosul
Dec 06, 2016 04:14Vyombo vya kuaminika katika mkoa wa Nineveh huko kaskazini mwa Iraq vimeripoti kuwa, makamanda wa kundi la Daesh akiwemo kiongozi wa kundi hilo, Abu Bakar al Baghdadi, wameukimbia mji wa Mosul na kuelekea katika maeneo ya mpaka wa Iraq na Syria.
-
Jeshi la Iraq laendelea kukomboa maeneo ya Mosul na kuwafurusha Daesh
Dec 05, 2016 11:29Msemaji wa komandi ya oparesheni ya pamoja ya Iraq ametangaza habari ya mpango mpya ulioandaliwa na jeshi la nchi hiyo kwa ajili ya kuliangamiza kundi la kigaidi la Daesh huko Mosul.
-
Waziri Mkuu wa Iraq: Ushindi dhidi ya DAESH unakaribia
Dec 03, 2016 04:21Waziri Mkuu wa Iraq Haidar al-Abadi amesema, kutokana na kusonga mbele vikosi vya pamoja vya nchi hiyo katika pande zote za medani ya vita kwa ajili ya kuukomboa mji wa Mosul kutoka kwenye makucha ya kundi la kigaidi la kitakfiri na Daesh, ushindi wa jeshi la nchi hiyo uko karibu mno kupatikana.
-
Hashdu Shaabi yakomboa vijiji 2, yaokoa familia elfu 2 Mosul, Iraq
Nov 30, 2016 11:34Kikosi cha kujitolewa cha Hashdu Shaabi kinachoshirikiana na jeshi la Iraq katika operesheni ya kuukomboa mji wa Mosul kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi na la wakufurishaji la Daesh kimefanikiwa kukomboa vijiji viwili vya mji huo sambamba na kuokoa familia zaidi ya elfu mbili zilizokuwa zikiishi kwenye mazingira magumu sana katika vijiji hivyo.
-
Muungano unaoongozwa na Marekani umeua raia wasio na hatia wa Iraq
Nov 28, 2016 04:16Raia wasiopungua 18 wameuliwa katika eneo la makaazi ya raia la mji wa Mosul kaskazini mwa Iraq katika shambulio lililofanywa na muungano unaoongozwa na Marekai kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi nchini humo.
-
Huffington Post: Arubaini ya Imam Hussein AS ni mkusanyiko mkubwa zaidi duniani
Nov 27, 2016 12:43Gazeti mashuhuri la The Huffington Post la nchini Marekani limeandika Makala kuhusu ziara ya mamilioni ya watu katika kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein AS, mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, na kusema kuwa, huo ni mkusanyiko mkubwa zaidi wa kidini duniani.
-
Jumapili, 27 Novemba, 2016
Nov 27, 2016 02:51Leo ni Jumapili tarehe 27 Swafar 1438 Hijria, sawa na tarehe 27 Novemba mwaka 2016 Miladia.