Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Kuendelea kusonga mbele jeshi la Iraq katika mji wa Mosul, na wasi wasi wa njama za Marekani

    Kuendelea kusonga mbele jeshi la Iraq katika mji wa Mosul, na wasi wasi wa njama za Marekani

    Oct 20, 2016 03:41

    Jeshi la Iraq limetangaza kukombolewa maeneo ya kusini mwa mji wa Mosul kutoka mikononi mwa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS).

  • Russia yaionya Marekani dhidi ya kuwatoa magaidi Iraq hadi Syria

    Russia yaionya Marekani dhidi ya kuwatoa magaidi Iraq hadi Syria

    Oct 20, 2016 00:34

    Russia imeionya Marekani dhidi ya kuwafurusha wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh kutoka Iraq hadi Syria, katika mashambulizi yake ya kuukomboa mji wa Mosul, kaskazini mwa Iraq.

  • Jeshi la Iraq lakomboa visima 100 vya mafuta kusini mwa Mosul

    Jeshi la Iraq lakomboa visima 100 vya mafuta kusini mwa Mosul

    Oct 19, 2016 01:01

    Vikosi vya Iraq vimefanikiwa kukomboa visima 100 vya mafuta kusini mwa mji wa Mosul, katika operesheni maalumu ya kuukomboa mji huo kutoka mikononi mwa mgaidi wa Daesh.

  • Iraq: Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi, wafadhili wa Daesh

    Iraq: Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi, wafadhili wa Daesh

    Oct 18, 2016 03:38

    Waziri Mkuu wa Iraq amesema nchi kadhaa za Kiarabu katika Ghuba ya Uajemi zinaliunga mkono na kulifadhili kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, linalofanya jinai za kutisha nchini humo na Syria.

  • Magaidi zaidi waangamizwa katika mkoa wa Salahuddin nchini Iraq

    Magaidi zaidi waangamizwa katika mkoa wa Salahuddin nchini Iraq

    Oct 17, 2016 12:23

    Jeshi la Iraq limetangaza habari ya kushadidisha mashambulizi yake katika mkoa wa Salahuddin wa kaskazini mwa Baghdad, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Operesheni za kuukomboa mji wa Mosul kutoka kwa Daesh zaanza

    Operesheni za kuukomboa mji wa Mosul kutoka kwa Daesh zaanza

    Oct 17, 2016 04:39

    Mashambulizi ya kila upande ya jeshi la Iraq kwa kushirikiana na harakati za wanchi kwa ajili ya kuukomboa mji wa Mosul kutoka mikononi mwa wanachama wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) zimeanza rasmi.

  • Wabunge Iraq wapinga kuweko kijeshi Uturuki huko Iraq

    Wabunge Iraq wapinga kuweko kijeshi Uturuki huko Iraq

    Oct 16, 2016 04:36

    Wabunge wa Iraq wametaka Uturuki iwekewe vikwazo kama radiamali kwa kuwepo wanajeshi wa nchi hiyo huko Iraq.

  • Iraq yamjibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia

    Iraq yamjibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia

    Oct 14, 2016 11:33

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq imeyataja matamshi ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia dhidi ya vikosi vya kujitolea vya wananchi wa Iraq kuwa hayana maana na kusema kwamba, vikosi hivyo ni fakhari kwa Wairaqi.

  • Usimamizi mzuri wa Iraq katika kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein AS

    Usimamizi mzuri wa Iraq katika kumbukumbu ya Ashura ya Imam Hussein AS

    Oct 13, 2016 04:39

    Pamoja na kuwepo makundi hatari ya kigaidi katika maeneo mbali mbali, maombolezo ya kuuawa shahidi Imam Hussein AS na wafuasi wake watiifu, yalifanyika kwa mafanikio na usalama kamili nchini Iraq katika mji wa Karbala na kuhudhuriwa na mamilioni ya wafanya ziara.

  • Waziri Mkuu wa Iraq: Zama za kuondokana na udhalimu na ukatili wa Daesh zinakaribia

    Waziri Mkuu wa Iraq: Zama za kuondokana na udhalimu na ukatili wa Daesh zinakaribia

    Oct 04, 2016 22:55

    Waziri Mkuu wa Iraq Haidar al-Abadi amewaambia watu wa mji wa Mosul kuwa zama za kuondokana na udhalimu na ukatili wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh zinakaribia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS