Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Algeria yapinga kutajwa Hizbullah kuwa kundi la kigaidi

    Algeria yapinga kutajwa Hizbullah kuwa kundi la kigaidi

    Mar 12, 2016 04:39

    Algeria kwa mara nyingine imepinga uamuzi wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu kuitajwa Hizbullah kuwa kundi la kigaidi.

  • Kamanda Qais Khazali: Marekani ndio inayowaingiza Madaesh Iraq

    Kamanda Qais Khazali: Marekani ndio inayowaingiza Madaesh Iraq

    Mar 10, 2016 13:09

    Katibu Mkuu wa Harakati ya ''Aswaib Ahlil-Haqq ya nchini Iraq, Qais Khazali amesema kuwa, Marekani ndio muhusika mkuu katika kuwaingiza wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh nchini humo.

  • UN: Machafuko yameua watu 670 nchini Iraq mwezi Februari

    UN: Machafuko yameua watu 670 nchini Iraq mwezi Februari

    Mar 02, 2016 04:15

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa watu 670 wameuawa katika machafuko na vitendo vya kigaidi nchini Iraq kwenye mwezi uliopita wa Februari pekee.

  • Watu 24 wauawa kwenye miripuko miwili ya mabomu mjini Baghdad

    Watu 24 wauawa kwenye miripuko miwili ya mabomu mjini Baghdad

    Feb 28, 2016 13:02

    Miripuko miwili ya mabomu iliyotokea leo Jumapili kwenye soko lenye shughuli nyingi katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad, imepelekea watu 24 kuuawa na wengine 60 kujeruhiwa.

  • IOM: Wakimbizi 410 wamefariki dunia wakiingia Ulaya 2016

    IOM: Wakimbizi 410 wamefariki dunia wakiingia Ulaya 2016

    Feb 23, 2016 22:15

    Wakimbizi na wahajiri wapatao 410 wamepoteza maisha mwaka huu wa 2016 wakijaribu kuingia Ulaya kupitia Bahari ya Mediterranea.

  • Daesh yaendeleza jinai zake, yachinja mabarobaro 17 Iraq

    Daesh yaendeleza jinai zake, yachinja mabarobaro 17 Iraq

    Feb 19, 2016 23:37

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limeua vijana 17 kwa kuwakata vichwa katika mkoa wa Kirkuk, kaskazini mwa Iraq.

  • Watu 40 wahukumiwa kifo Iraq kwa kuhusika na mauaji ya Speicher

    Watu 40 wahukumiwa kifo Iraq kwa kuhusika na mauaji ya Speicher

    Feb 18, 2016 13:06

    Mahakama Kuu ya Jinai nchini Iraq imetoa hukumu ya adhabu ya kifo kwa watu 40 baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika na mauaji yaliyofanywa kwenye kambi ya kijeshi ya Speicher katika mji wa Tikrit, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Iraq kuwa makaburi ya askari wa Saudia

    Iraq kuwa makaburi ya askari wa Saudia

    Feb 13, 2016 22:25

    Vikosi vya wananchi vya Iraq maarufu kama Hashdu Shaabi vimeitahadharisha Saudi Arabia dhidi ya kuivamia nchi hiyo na kusema kuwa iwapo itathubutu kufanya hivyo, basi wataigeuza ardhi ya Iraq kuwa makaburi ya wanajeshi wa Saudia.

  • Makumi ya wanachama wa Daesh waangamizwa na jeshi la Iraq

    Makumi ya wanachama wa Daesh waangamizwa na jeshi la Iraq

    Feb 13, 2016 04:12

    Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wameuawa na jeshi la Iraq kwa kushirikiana na harakati za wananchi wa nchi hiyo.

  • Kamanda Msaudi wa ISIS auawa Iraq

    Kamanda Msaudi wa ISIS auawa Iraq

    Feb 07, 2016 10:32

    Kamanda wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh ameuawa nchini Iraq katika hujuma ya ndege za kivita mkoani Ninevah.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS