Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Ayatullah Sistani atahadharisha juu ya ghasia na kuandaliwa mazingira ya uingiliaji wa kigeni nchini Iraq

    Ayatullah Sistani atahadharisha juu ya ghasia na kuandaliwa mazingira ya uingiliaji wa kigeni nchini Iraq

    Oct 26, 2019 02:35

    Mwakilishi wa marjaa mkubwa nchini Iraq ametahadharisha kuhusiana na kutoka maandamano katika mkondo wa amani na kuibuka ghasia ambazo zitaandaa mazingira ya uingiliaji wa madola ya kigeni nchini humo.

  • Mauaji ya kigaidi yaongezeka Iraq baada ya Marekani kuwahamishia nchini humo magaidi wa ISIS

    Mauaji ya kigaidi yaongezeka Iraq baada ya Marekani kuwahamishia nchini humo magaidi wa ISIS

    Oct 25, 2019 07:12

    Mauaji ya kigaidi yameongezeka dhidi ya maafisa wa serikali ya Iraq baada ya Marekani kuwahamishia nchini humo magaidi wa Daesh (ISIS) kutoka kaskazini mwa Syria kufuatia kushadidi mashambulizi ya Uturuki huko Syria.

  • Matukio yanayojiri Iraq; harakati inayofuata njia tata zaidi na muelekeo usiotabirika

    Matukio yanayojiri Iraq; harakati inayofuata njia tata zaidi na muelekeo usiotabirika

    Oct 25, 2019 02:32

    Matukio yanayojiri nchini Iraq yanaelekea kwenye njia tata zaidi na muelekeo usiotabirika, kufuatia safari ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani nchini humo na msimamo wa wapinzani wa serikali wa kufanya maandamano Ijumaa ya leo ya tarehe 25 Oktoba.

  • Jeshi la Iraq: Askari wa Marekani hawana haki ya kuwepo ndani ya nchi hii

    Jeshi la Iraq: Askari wa Marekani hawana haki ya kuwepo ndani ya nchi hii

    Oct 22, 2019 11:46

    Kamandi ya jeshi la Iraq sambamba na kutoa taarifa imesema kuwa, askari wa Marekani ambao wametokea Syria, wanaweza tu kuitumia Iraq kama njia ya kuvuka na kwamba hawana haki ya kuweka kambi nchini humo.

  • Zaidi ya wafanyaziara milioni 17 wameshiriki katika Arubaini ya Imam Hussein (as) ya mwaka huu

    Zaidi ya wafanyaziara milioni 17 wameshiriki katika Arubaini ya Imam Hussein (as) ya mwaka huu

    Oct 21, 2019 02:39

    Gavana wa mkoa wa Karbala nchini Iraq ametangaza kuwa, idadi ya mazuwari walioshiriki kwenye maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein (as) mwaka huu imepindukia milioni 17.

  • Mamia ya askari wa Marekani wanaoondolewa Syria kupelekwa Iraq

    Mamia ya askari wa Marekani wanaoondolewa Syria kupelekwa Iraq

    Oct 20, 2019 07:30

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema mamia ya wanajeshi wa nchi hiyo wanaoondolewa Syria watapelekwa nchini Iraq.

  • Waziri Mkuu wa Iraq: Ziara ya Arubaini, imebeba ujumbe wa kupinga uharibifu na ufisadi

    Waziri Mkuu wa Iraq: Ziara ya Arubaini, imebeba ujumbe wa kupinga uharibifu na ufisadi

    Oct 20, 2019 02:35

    Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kwamba, mapinduzi ya Imam Hussein (as) ni mapinduzi dhidi ya kukengeuka na kufanya dhulma na kwamba ziara ya Arubaini ya mjukuu huyo wa Matume (saw) imebeba ujumbe wa kupinga uharibifu na ufisadi.

  • Bashar Assad: Syria itajibu kisheria mashambulizi ya Uturuki

    Bashar Assad: Syria itajibu kisheria mashambulizi ya Uturuki

    Oct 18, 2019 03:27

    Rais Bashar al Assad wa Syria amesema hadi sasa nchi yake imeshatoa jibu kwa mashambulizi ya Uturuki na magaidi waitifaki wa Uturuki na kuongeza kuwa Syria itatumia uwezo wake wote wa kisheria kujibu mashambulizi dhidi yake.

  • Iraq: Tutakabiliana kwa aina yoyote na hatua za kuibua farqa katika Arubaini ya Imam Hussein (as)

    Iraq: Tutakabiliana kwa aina yoyote na hatua za kuibua farqa katika Arubaini ya Imam Hussein (as)

    Oct 18, 2019 03:26

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Baraza la Mkoa wa Najaf nchini Iraq amesema kuwa, serikali ya inchi hiyo itachukua hatua kali dhidi ya hatua yoyote ya kuibua tofauti katika marasimu ya Arubaini ya Imam Hussein (as).

  • SAUTI, Propaganda za BBC dhidi ya Mashia zaendelea kupondwa, Sheikh Taqee Zakaria aelezea njama zao dhidi ya Uislamu

    SAUTI, Propaganda za BBC dhidi ya Mashia zaendelea kupondwa, Sheikh Taqee Zakaria aelezea njama zao dhidi ya Uislamu

    Oct 11, 2019 16:48

    Baada ya Shirika la Utangazaji nchini Uingereza BBC kutoa video iliyojaa chuki, ghilba na upotoshaji dhidi ya Waislamu hasa wa Kishia, Waislamu mbalimbali duniani wameendelea kulilaani vikali shirika hilo ambalo lina historia nyeusi katika kueneza chuki na tofauti kati ya jamii mbalimbali wakiwemo Waislamu duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS