-
Abbas Mousavi: Daima Iran itaendelea kuwa pamoja na serikali na taifa la Iraq
Oct 07, 2019 02:38Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria matukio ya hivi karibuni nchini Iraq na kusema kuwa, Tehran daima itakuwa pamoja na serikali na wananchi wa nchi hiyo.
-
Waziri Mkuu wa Iraq aondoa sheria ya kutotoka nje
Oct 05, 2019 07:29Waziri Mkuu wa Iraq ametangaza kuondolewa sheria ya kutotoka nje ambayo ilikuwa imeanza kutekelezwa kufuatia maandamano na ghasia katika maeneo kadhaa ya nchi hiyo.
-
Harakati ya Kiislamu Iraq: Marekani ina mkono katika machafuko ya Iraq
Oct 05, 2019 02:38Harakati ya Kiislamu nchini Iraq imetangaza kuwa, serikali ya Marekani inahusika na machafuko ya sasa nchini humo kutokana na kutoridhishwa kwake na siasa za serikali ya Baghdad.
-
Usalama warejea katika mji mkuu wa Iraq baada ya machafuko
Oct 04, 2019 12:14Usalama umerejea katika mji mkuu wa Iraq Baghdad, baada ya machafuko ya siku kadhaa.
-
Iraq yatangaza marufuku ya kutembea mjini Baghdad kudhibiti ghasia
Oct 03, 2019 07:55Waziri Mkuu wa Iraq, Adil Abdul Mahdi ametangaza marukufu ya kutembea watu na magari katika mji mkuu wa nchi hiyo, Baghdad kuanzia alfajiri ya leo Alkhamisi hadi hapo baadaye.
-
Alkhamisi, tarehe 3 Oktoba, 2019
Oct 03, 2019 04:12Leo ni Alkhamisi tarehe 4 Safar 1441 Hijria sawa na Oktoba 3 mwaka 2019.
-
Waziri Mkuu wa Iraq: Israel ndiyo inayoishambulia Hashdu Shaabi
Oct 01, 2019 07:56Waziri Mkuu wa Iraq ameubebesha dhima utawala wa Kizayuni wa Israel ya kutekeleza wimbi la mashambulizi dhidi ya harakati ya wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu ya Hashdu Shaabi.
-
Mazuwari kutoka nchi zaidi ya 100 watashiriki kwenye Arubaini ya Imam Hussein (as) mwaka huu
Sep 17, 2019 07:58Mwakilishi wa misafara ya mazuwari nchini Iraq amesema: Watu kutoka zaidi ya nchi 100, wakiwemo hata wasio Waislamu watashiriki kwenye Arubaini ya Imam Hussein (as) mwaka huu.
-
Iraq yavunja mtandao wa kigaidi kuelekea Arubaini ya Imam Hussein AS
Sep 15, 2019 07:11Vyombo vya usalama nchini Iraq vimefanikiwa kuvunja mtandao wa kigaidi uliokuwa unakula njama ya kutekeleza mashambulizi ya kigaidi wakati wa Arubaini ya Imam Hussein (AS).
-
Iran yatoa mkono wa pole kwa familia za Mashahidi wa Karbala
Sep 11, 2019 07:35Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetuma salamu za rambirambi kwa serikali ya Iraq na familia za Mashahidi kufuatia tukio la kufa shahidi makumi ya watu katika mji mtakatifu wa Karbala.