Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Waislamu milioni tatu wazuru Haram ya Imam Hussein Karbala, wakumbuka mauaji yake

    Waislamu milioni tatu wazuru Haram ya Imam Hussein Karbala, wakumbuka mauaji yake

    Sep 11, 2019 03:26

    Zaidi ya Waislamu milioni tatu jana tarehe 10 Muharram ambayo ni maarufu kama siku ya Ashura, walishiriki katika maombolezo ya kukumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume wetu muhammad (saw), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq.

  • Jumatano, tarehe 4, Septemba 2019

    Jumatano, tarehe 4, Septemba 2019

    Sep 04, 2019 02:39

    Leo ni Jumatano tarehe 4 Muharram mwaka 1441 Hijria inayosadifiana na Septemba 4 mwaka 2019.

  • Ripota wa UN: Matatizo ya ukosefu wa amani Nigeria yapewe mazingatio

    Ripota wa UN: Matatizo ya ukosefu wa amani Nigeria yapewe mazingatio

    Sep 03, 2019 08:07

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa matatizo ya kiusalama ya Nigeria yametengeneza mgogoro ambao unahitajia kupewa mazingatio haraka iwezekanavyo, la sivyo utasababisha ukosefu wa usalama katika nchi nyingine za Kiafrika.

  • Maiti za zaidi ya wahanga elfu 12 wa Daesh zagunduliwa katika makaburi ya umati, Iraq

    Maiti za zaidi ya wahanga elfu 12 wa Daesh zagunduliwa katika makaburi ya umati, Iraq

    Sep 01, 2019 02:42

    Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu nchini Iraq imetangaza kuwa, maiti elfu 12 za wahanga wa ukatili na jinai za kundi la kigaidi la Daesh zimegunduliwa katika zaidi ya makaburi 200 ya umati.

  • Bahrain yaunga mkono mashambulio ya anga ya Israel dhidi ya Lebanon na Iraq

    Bahrain yaunga mkono mashambulio ya anga ya Israel dhidi ya Lebanon na Iraq

    Aug 27, 2019 07:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain amesema, mashambulio ya kivamizi yaliyofanywa hivi karibuni na ndege zisizo na rubani za utawala wa Kizayuni wa Israel katika maeneo kadhaa ndani ya Lebanon na Iraq ni aina mojawapo ya kujihami na ameonesha kuunga mkono hatua hiyo ya utawala huo haramu.

  • Msemaji wa serikali ya Iran: Utawala wa Kizayuni wa Israel ukubali taathira mbaya za uchokozi wake

    Msemaji wa serikali ya Iran: Utawala wa Kizayuni wa Israel ukubali taathira mbaya za uchokozi wake

    Aug 26, 2019 12:01

    Msemaji wa Serikali ya Iran amelaani mashambulizi yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika nchi za Lebanon, Iraq na Syria na kusema kuwa, utawala huo unapaswa ukubali taathira mbaya za uchokozi huo.

  • Al Maliki: Iraq itatoa jibu kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Al Maliki: Iraq itatoa jibu kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Aug 24, 2019 06:58

    Makamu wa Rais wa Iraq Nouri al Maliki ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Daawa cha Iraq ametoa onyo kali na kusema kuwa, Iraq itatoa jibu kali iwapo itabainika kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umehusika katika shambulizi la angani dhidi ya kituo cha jeshi la kujitolea la wananchi nchini humo maarufu kama Al Hashd al Shaabi.

  • Tahadhari ya Batalioni za Hizbullah ya Iraq kwa Marekani

    Tahadhari ya Batalioni za Hizbullah ya Iraq kwa Marekani

    Aug 24, 2019 02:40

    Batalioni za Hizbullah ya Iraq zimetoa taarifa zikiitahadharisha Marekani kuhusiana na kuendeleza mashambulizi dhidi ya kambi na vituo vya harakati ya wananchi ya nchi hiyo ya al Hashdu al Shaabi.

  • Pentagon yakadhibisha madai ya Trump, yasema Daesh bado inaendesha shughuli zake Iraq na Syria

    Pentagon yakadhibisha madai ya Trump, yasema Daesh bado inaendesha shughuli zake Iraq na Syria

    Aug 08, 2019 04:01

    Rais Donald Trump wa Marekani tarehe 19 Disemba 2018 alitangaza kuwa, askari wa Marekani wataondoka nchini Syria. Trump alidai kuwa, sababu ya uamuzi huo ni kushindwa kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria.

  • Mwanamichezo wa Iraq aliyekataa kupambana na Mzayuni katika mashindano ya Thailand alakiwa kishujaa

    Mwanamichezo wa Iraq aliyekataa kupambana na Mzayuni katika mashindano ya Thailand alakiwa kishujaa

    Aug 08, 2019 04:01

    Ali al-Kanani, mwanamichezo wa Kiiraqi wa mchezo wa Ndondi za Kiki (Kickboxing), ambaye alikataa kupambana na mwanamichezo wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mashindano ya kimataifa ya mchezo huo yaliyofanyika nchini Thailand, amelakiwa kishujaa na wananchi wa Iraq alipowasili uwanja wa ndege wa kimatiafa wa Baghdad.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS