Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Muqawama wa Iraq: Tumeshambulia kwa droni makao makuu ya wizara ya masuala ya kijeshi ya Israel

    Muqawama wa Iraq: Tumeshambulia kwa droni makao makuu ya wizara ya masuala ya kijeshi ya Israel

    Mar 24, 2024 06:36

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Iraq imetangaza kuwa imeshambulia makao makuu ya wizara ya masuala ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutumia ndege isiyo na rubani mapema leo Jumapili.

  • Muqawama wa Iraq washambulia uwanja wa ndege Tel Aviv

    Muqawama wa Iraq washambulia uwanja wa ndege Tel Aviv

    Mar 21, 2024 02:53

    Kwa mara nyingine tena wanamuqawama wa Iraq wameshambulia Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion katika mji mkuu wa utawala haramu wa Israel, Tel Aviv.

  • Muqawama wa Iraq: Milango ya kuzimu itafunguka; watoa kauli ya mwisho kwa vikosi vamizi vya Marekani

    Muqawama wa Iraq: Milango ya kuzimu itafunguka; watoa kauli ya mwisho kwa vikosi vamizi vya Marekani

    Mar 17, 2024 10:57

    Baada ya wiki moja ya kukaa kimya kimkakati, moja ya makundi ya harakati kubwa ya muqawama ndani ya kikosi cha kujitolea cha wananchi wa Iraq cha Hashdu al Shaabi limetangaza wazi msimamo wake kuhusu masuala muhimu ya usalama wa taifa. 

  • Iran na Iraq zasisitizia haja ya kusimamishwa mauaji ya kimbari Gaza

    Iran na Iraq zasisitizia haja ya kusimamishwa mauaji ya kimbari Gaza

    Mar 13, 2024 07:46

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Iraq wametoa mwito wa kuchukua hatua zaidi hasa za kisiasa kwa ajili ya kusimamisha mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Muqawama wa Iraq waendeleza mashambulizi dhidi ya maeneo ya Wazayuni + VIDEO

    Muqawama wa Iraq waendeleza mashambulizi dhidi ya maeneo ya Wazayuni + VIDEO

    Mar 07, 2024 02:30

    Makundi ya muqawama wa Kiislamu ya Iraq yametangaza kuwa yameendelea kuyashambulia maeneo mbalimbali ya utawala wa Kizayuni kwa kutumia droni (ndege zisizo na rubani) na kwamba mashambulizi hayo yataendelea hadi Israel itakapokomesha mashambulio yake dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

  • Jumanne, 5 Machi, 2024

    Jumanne, 5 Machi, 2024

    Mar 05, 2024 02:35

    Leo ni Jumanne tarehe 24 ya mwezi Sha'ban 1445 Hijria sawa na tarehe 5 Machi 2024.

  • Kauli moja ya mirengo ya kisiasa ya Iraq kuhusu wajibu wa kuondoka wanajeshi wa kigeni nchini mwao

    Kauli moja ya mirengo ya kisiasa ya Iraq kuhusu wajibu wa kuondoka wanajeshi wa kigeni nchini mwao

    Feb 27, 2024 02:31

    Qasim al-Araji, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Iraq amesisitiza kuwa mirengo yote ya kisiasa ya nchi hiyo yanakubaliana kwa kauli moja kuhusu wajibu wa kuondoka wanajeshi wa kigeni nchini humo.

  • Kan'ani: Vitendo vya kigaidi vya Marekani vinahudumia malengo ya Israel

    Kan'ani: Vitendo vya kigaidi vya Marekani vinahudumia malengo ya Israel

    Feb 09, 2024 07:40

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa hatua ya jeshi la magaidi la Marekani ya kumuuwa shahidi mmoja wa viongozi wa harakati ya wapiganaji wa kujitolea ya Iraq ni katika mlolongo wa kudumisha himaya na uungaji mkono kamili wa serikali ya Marekani kwa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Palestina.

  • Mashambulizi makubwa dhidi ya Iraq na Syria; Chokochoko mpya za Marekani eneo la Asia Magharibi

    Mashambulizi makubwa dhidi ya Iraq na Syria; Chokochoko mpya za Marekani eneo la Asia Magharibi

    Feb 04, 2024 02:37

    Marekani ambayo kwa miaka kadhaa sasa imevuruga amani ya eneo la Magharibi mwa Asia kutokana na uwepo wake wa kijeshi katika eneo hilo ili kufanikisha malengo yake na ya washirika wake, imekuwa ikiyumbisha usalama wa eneo hilo nyeti na muhimu kwa kufanya mashambulizi na uvamizi wa mara kwa mara.

  • Taarifa ya Jeshi la Syria: Mashambulizi ya Marekani yanalenga kulirejesha kundi la Daesh

    Taarifa ya Jeshi la Syria: Mashambulizi ya Marekani yanalenga kulirejesha kundi la Daesh

    Feb 03, 2024 12:26

    Wizara ya Ulinzi ya Syria imesema leo kuwa mashambulizi ya jana ya Marekani katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo na Iraq yametekelezwa katika maeneo ambako jeshi la Syria linaendelea kupambana dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS