Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Watu 27 wauawa katika hujuma ya kigaidi mjini Baghdad, Iraq

    Watu 27 wauawa katika hujuma ya kigaidi mjini Baghdad, Iraq

    Jan 15, 2018 04:19

    Watu wasiopungua 27 wameuawa na wengine zaidi ya 65 kujuruhiwa kufuatia mashambulizi mawili ya kigaidi katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Uturuki: Fitina ya kuigawa Kurdistan na Iraq, imesambaratishwa na Ankara, Tehran na Baghdad

    Uturuki: Fitina ya kuigawa Kurdistan na Iraq, imesambaratishwa na Ankara, Tehran na Baghdad

    Jan 12, 2018 04:18

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki, Süleyman Soylu amesema kuwa, fitina iliyokuwa imeratibiwa na baadhi ya madola yenye nguvu kwa ajili ya kuligawa eneo la Kurdistan na Iraq, imesambaratishwa kwa ushirikiano chanya wa Ankara, Tehran na Baghdad.

  • IOM: Zaidi ya nusu ya wakimbizi wa Kiiraqi wamerejea makwao

    IOM: Zaidi ya nusu ya wakimbizi wa Kiiraqi wamerejea makwao

    Jan 05, 2018 04:32

    Shirika la Kimataifa kwa ajili ya Uhajiri (IOM) limetangaza kuwa hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Desemba wa mwaka uliomalizika wa 2017, wakimbizi milioni tatu, laki mbili na 20 elfu wa Kiiraqi walikuwa wamesharejea makwao.

  • Nchi mbalimbali zapinga uingiliaji wa Marekani katika mambo ya ndani ya Iran

    Nchi mbalimbali zapinga uingiliaji wa Marekani katika mambo ya ndani ya Iran

    Jan 03, 2018 00:32

    Nchi kadhaa za eneo la Mashariki ya Kati zimetoa taarifa mbalimbali na kulaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Alkhamisi tarehe 21 Disemba, 2017

    Alkhamisi tarehe 21 Disemba, 2017

    Dec 20, 2017 23:15

    Leo ni Alkhamisi tarehe Pili Rabiuthani 1439 Hijria sawa na Disemba 21, 2017

  • Waziri wa Sheria wa Algeria: Waalgeria 226 wamejiunga na Daesh

    Waziri wa Sheria wa Algeria: Waalgeria 226 wamejiunga na Daesh

    Dec 19, 2017 04:33

    Waziri wa Sheria wa Algeria ametangaza kuwa raia wa nchi hiyo wasiopungua 226 wameelekea katika nchi za Iraq na Syria kwa ajili ya kujiunga na kundi la kigaidi la Daesh.

  • Jumapili, Disemba 17, 2017

    Jumapili, Disemba 17, 2017

    Dec 16, 2017 22:00

    Leo ni Jumapili tarehe 28 Rabiul Awwal 1439 Hijria sawa na 17 Disemba 2017.

  • Kutangazwa ushindi wa mwisho wa taifa la Iraq dhidi ya ISIS

    Kutangazwa ushindi wa mwisho wa taifa la Iraq dhidi ya ISIS

    Dec 11, 2017 00:04

    Mkanda wa kuendelea kushindwa kundi la kigaidi la Daesh katika eneo la Mashariki ya Kati unaendelea kiasi kwamba, muda mchache baada ya kutangazwa kushindwa kikamilifu ISIS nchini Syria, habari nyingine zinasema kuwa magaidi hao wakufurishaji wameshindwa kikamilifu pia nchini Iraq.

  • Mkutano wa utangulizi wa OIC wa mapatano ya kitaifa ya Iraq kufanyika Baghdad

    Mkutano wa utangulizi wa OIC wa mapatano ya kitaifa ya Iraq kufanyika Baghdad

    Dec 11, 2017 00:03

    Jumuiya ya Ushirikiano ya Nchi za Kiislamu (OIC) leo Jumatatu inafanya mkutano wa utangulizi kuhusu mapatano ya kitaifa ya Iraq huko Baghdad mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Iraq yatangaza rasmi kuangamizwa kundi la kigaidi la ISIS nchini humo

    Iraq yatangaza rasmi kuangamizwa kundi la kigaidi la ISIS nchini humo

    Dec 09, 2017 11:40

    Waziri Mkuu wa Iraq leo ametangaza rasmi kumalizika kwa mafanikio vita dhidi ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS