-
Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani wakiri kuua raia 800 Iraq na Syria
Dec 01, 2017 01:07Muungano eti wa kupambana na Daesh (ISIS) unaoongozwa na Marekani umetoa ripoti ukikiri kwamba katika kipindi cha kuanzia mwaka 2014 hadi 2017 umeua raia wasiopungua mia nane katika nchi za Iraq na Syria.
-
Hizbullah: Marekani imeisadia Daesh huko al Bukamal
Nov 21, 2017 00:09Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani imeilisaidia kundi la kigaidi la Daesh katika mapigano ya hivi majuzi katika mji wa al Bukamal nchini Syria hatua ambayo inakadhibisha madai ya Washington kwamba inapambana na ugaidi
-
Al Abadi aunga mkono agizo la Mahakama ya Shirikisho ya Iraq ya kufuta kura ya maoni ya Kurdistan
Nov 20, 2017 23:09Ofisi ya Waziri Mkuu wa Iraq imetoa taarifa ikiunga mkono uamuzi wa Mahakama Kuu ya Shirikisho ya nchi hiyo ya kufuta matokeo ya kura ya maoni iliyofanyika nchini humo kwa ajili ya kujitenga eneo la Kurdistan.
-
Viongozi wa Iraq waiunga mkono harakati ya Nujabaa kutokana na njama chafu za Marekani
Nov 19, 2017 04:09Sambamba na kutolewa pendekezo la kuiwekea vikwazo harakati ya muqawama ya Nujaba ya nchini Iraq katika bunge la kongresi ya Marekani, shakhsia tofauti wa kisiasa, kijeshi, kijamii, kidini na wakuu wa koo nchini Iraq mbali na kupinga hatua hiyo ya kiuadui, wametangaza uungaji mkono wao kwa harakati hiyo ya Kiislamu.
-
Kusambaratishwa kikamilifu DAESH (ISIS) nchini Iraq
Nov 19, 2017 04:00Mabadiliko yanayojiri kwenye medani za vita nchini Iraq yanabainisha kusambaratishwa na kutokomezwa Daesh (ISIS) nchini humo; na kushindwa kikamilifu kundi hilo la kigaidi na kitakfiri ambako ni sawa na kupata mafanikio makubwa Wairaqi katika mapambano dhidi ya magaidi kumeakisiwa sana na duru mbalimbali za habari.
-
Algeria: Magaidi wa Daesh wanakusudia kuweka kambi katika nchi za kaskazini mwa Afrika
Nov 16, 2017 04:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ametahadharisha kwamba, wanachama wa kundi hatari la kigaidi na kitakfiri la Daesh, wanakusudia kuweka kambi na kujizatiti katika nchi za kaskazini mwa Afrika.
-
Mtetemeko mkubwa wa ardhi katika mpaka wa Iran na Iraq katika Picha
Nov 13, 2017 13:06Hadi tunapokea habari hii, idadi ya watu waliokuwa wamepoteza maisha yao kutokana na mtetemeko mkubwa wa ardhi uliopita eneo la mpakani mwa Iran na Iraq ilikuwa imeshafikia watu 445 na wengine 7100 kujeruhiwa.
-
Al Abadi: Karbala inawahusu wanadamu wote
Nov 10, 2017 01:25Waziri Mkuu wa Iraq Haider al-Abadi amesema kuwa mapenzi ya watu kwa Karbala na Imam Hussein ni kielelezo kwamba tukio lililojiri katika eneo hilo linawahusu wanadamu wote na si makhsusi kwa dini au madhuhebu moja.
-
El-Sisi: Magaidi wa Daesh walioshindwa Iraq na Syria ni hatari kwa Libya na Misri
Nov 09, 2017 11:35Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri ametoa tahadhari juu ya hatari ya wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh walioshindwa nchini Iraq na Syria kuingia Libya na kuchafua zaidi usalama wa nchi hiyo na majirani wake.
-
SAUTI, Huku mamilioni ya wafanyaziara wakiendelea kuwasili Karbala, Iraq ukarimu wa Wairaq nao umewavutia wengi
Nov 08, 2017 13:52Huku mamilioni ya wafanyaziara kutoka maeneo mbalimbali ya duania wakiendelea kuwasili mjini Karbala, Iraq, maafisa usalama wa nchi hiyo wamekuwa wakionekana kila mahala ikiwa ni katika juhudi za kuhakikisha marasimu ya kumbukumbu ya Arobaini ya Imam Hussein yanafanyika kwa amani.