Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Ombi la Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq kwa Iran na Uturuki

    Ombi la Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq kwa Iran na Uturuki

    Oct 08, 2017 09:51

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq kupitia taarifa rasmi iliyoiwasilisha kwa balozi za Iran na Uturuki mjini Baghdad, imezitaka nchi hizo mbili sambamba na kufunga vivuko vyote vya eneo la Kurdistan ya Iraq, kusimamisha pia miamala ya mauziano ya mafuta na eneo hilo.

  • Mkakati wa Uturuki wa kutaka kustawisha ushirikiano wa kiulinzi na kiusalama na Iraq

    Mkakati wa Uturuki wa kutaka kustawisha ushirikiano wa kiulinzi na kiusalama na Iraq

    Oct 07, 2017 03:14

    Waziri Mkuu wa Uturuki amesema, kufuatia kura ya maoni iliyofanyika hivi karibuni katika eneo la Kurdistan ya Iraq, nchi yake inataka kuimarisha ushirikiano na serikali kuu ya Iraq katika nyuga za uchumi, ulinzi na usalama.

  • Jeshi la Iraq laukomboa mji wa Hawija kutoka makucha ya ISIS

    Jeshi la Iraq laukomboa mji wa Hawija kutoka makucha ya ISIS

    Oct 05, 2017 04:34

    Jeshi la Iraq limetangaza kuukomboa mji wa kistratijia wa Hawija kutoka katika makucha ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.

  • Iran yaomboleza kifo cha Jalal Talabani, rais wa zamani wa Iraq

    Iran yaomboleza kifo cha Jalal Talabani, rais wa zamani wa Iraq

    Oct 04, 2017 04:40

    Balozi wa Iran mjini Baghdad, Iraj Masjedi ametuma salamu za rambirambi kwa Rais wa Iraq, Fuad Masoum kufutia kifo cha rais wa zamani wa nchi hiyo ya Kiarabu, Jalal Talabani.

  • Rouhani: Mabadiliko yoyote ya mipaka yanahatarisha usalama na uthabiti M/Kati

    Rouhani: Mabadiliko yoyote ya mipaka yanahatarisha usalama na uthabiti M/Kati

    Oct 03, 2017 04:28

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia udharura wa kuimarishwa serikali kuu za Iraq na Syria na kufafanua kuwa, mabadiliko yoyote ya mipaka ya kijiografia wakati huu yatasababisha ukosefu wa usalama na uthabiti katika eneo lote la Mashariki ya Kati.

  • Jumanne tarehe 3 Oktoba, 2017

    Jumanne tarehe 3 Oktoba, 2017

    Oct 03, 2017 00:29

    Leo ni Jumanne tarehe 12 Muharram 1439 Hijria sawa na 3 Oktoba 2017.

  • Jumatatu, Oktoba 2,  2017

    Jumatatu, Oktoba 2, 2017

    Oct 02, 2017 00:58

    Leo ni Jumatatu tarehe 11 Muharram mwaka 1439 Hijiria sawa na tarehe 2 Oktoba mwaka 2017.

  • Iran: Kujitenga Kurdistan na Iraq kutalipa nguvu Daesh na Israel

    Iran: Kujitenga Kurdistan na Iraq kutalipa nguvu Daesh na Israel

    Oct 01, 2017 11:56

    Hussein Amir-Abdullahian, Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kimataifa ya Bunge la Iran amesema hatua ya Massoud Barzani, Rais wa Serikali ya Eneo la Kurdistan ya kushinikiza kujitenga eneo hilo na serikali kuu ya Iraq ni sawa na kulishajiisha kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh na kutumikia maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran na Iraq kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika mpaka wa eneo la Kurdistan

    Iran na Iraq kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika mpaka wa eneo la Kurdistan

    Oct 01, 2017 04:07

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Iraq zimepanga kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika mpaka wa nchi hizi mbili kwenye eneo la Kurdistan kwa lengo la kuunga mkono mamlaka ya Baghdad katika eneo hilo ambalo lilipiga kura ya kujitenga na Iraq.

  • Marekani yakiri kuua makumi ya raia wa Syria na Iraq mwezi jana

    Marekani yakiri kuua makumi ya raia wa Syria na Iraq mwezi jana

    Sep 30, 2017 04:44

    Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani umekiri kuwa mashambulizi yake ya anga yameua raia wasiopungua 50 katika nchi za Iraq na Syria mwezi uliopita pekee wa Agosti.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS