-
Ombi la Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq kwa Iran na Uturuki
Oct 08, 2017 09:51Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq kupitia taarifa rasmi iliyoiwasilisha kwa balozi za Iran na Uturuki mjini Baghdad, imezitaka nchi hizo mbili sambamba na kufunga vivuko vyote vya eneo la Kurdistan ya Iraq, kusimamisha pia miamala ya mauziano ya mafuta na eneo hilo.
-
Mkakati wa Uturuki wa kutaka kustawisha ushirikiano wa kiulinzi na kiusalama na Iraq
Oct 07, 2017 03:14Waziri Mkuu wa Uturuki amesema, kufuatia kura ya maoni iliyofanyika hivi karibuni katika eneo la Kurdistan ya Iraq, nchi yake inataka kuimarisha ushirikiano na serikali kuu ya Iraq katika nyuga za uchumi, ulinzi na usalama.
-
Jeshi la Iraq laukomboa mji wa Hawija kutoka makucha ya ISIS
Oct 05, 2017 04:34Jeshi la Iraq limetangaza kuukomboa mji wa kistratijia wa Hawija kutoka katika makucha ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
-
Iran yaomboleza kifo cha Jalal Talabani, rais wa zamani wa Iraq
Oct 04, 2017 04:40Balozi wa Iran mjini Baghdad, Iraj Masjedi ametuma salamu za rambirambi kwa Rais wa Iraq, Fuad Masoum kufutia kifo cha rais wa zamani wa nchi hiyo ya Kiarabu, Jalal Talabani.
-
Rouhani: Mabadiliko yoyote ya mipaka yanahatarisha usalama na uthabiti M/Kati
Oct 03, 2017 04:28Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia udharura wa kuimarishwa serikali kuu za Iraq na Syria na kufafanua kuwa, mabadiliko yoyote ya mipaka ya kijiografia wakati huu yatasababisha ukosefu wa usalama na uthabiti katika eneo lote la Mashariki ya Kati.
-
Jumanne tarehe 3 Oktoba, 2017
Oct 03, 2017 00:29Leo ni Jumanne tarehe 12 Muharram 1439 Hijria sawa na 3 Oktoba 2017.
-
Jumatatu, Oktoba 2, 2017
Oct 02, 2017 00:58Leo ni Jumatatu tarehe 11 Muharram mwaka 1439 Hijiria sawa na tarehe 2 Oktoba mwaka 2017.
-
Iran: Kujitenga Kurdistan na Iraq kutalipa nguvu Daesh na Israel
Oct 01, 2017 11:56Hussein Amir-Abdullahian, Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kimataifa ya Bunge la Iran amesema hatua ya Massoud Barzani, Rais wa Serikali ya Eneo la Kurdistan ya kushinikiza kujitenga eneo hilo na serikali kuu ya Iraq ni sawa na kulishajiisha kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh na kutumikia maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran na Iraq kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika mpaka wa eneo la Kurdistan
Oct 01, 2017 04:07Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Iraq zimepanga kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika mpaka wa nchi hizi mbili kwenye eneo la Kurdistan kwa lengo la kuunga mkono mamlaka ya Baghdad katika eneo hilo ambalo lilipiga kura ya kujitenga na Iraq.
-
Marekani yakiri kuua makumi ya raia wa Syria na Iraq mwezi jana
Sep 30, 2017 04:44Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani umekiri kuwa mashambulizi yake ya anga yameua raia wasiopungua 50 katika nchi za Iraq na Syria mwezi uliopita pekee wa Agosti.