Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Jeshi la Israel laendelea kumwaga damu za Wapalestina Nablus

    Jeshi la Israel laendelea kumwaga damu za Wapalestina Nablus

    Oct 29, 2022 00:24

    Wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameendeleza umwagaji damu dhidi ya Wapalestina madhulumu katika mji wa Nablus ulioko katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu, na kuua shahidi wawili miongoni mwao.

  • Askari wa Israel awasihi vijana Wapalestina Al-Khalil: 'Basi tena, tutaabani'

    Askari wa Israel awasihi vijana Wapalestina Al-Khalil: 'Basi tena, tutaabani'

    Oct 25, 2022 23:03

    Mitandao ya kijamii imesambaza video inayomuonyesha askari mmoja wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel akiwasihi vijana Wapalestina katika eneo la Al-Khalil, Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan wahitimishe muqawama na mapambano dhidi yake yeye na wanajeshi wenzake.

  • Wapalestina 5 wauawa shahidi na jeshi katili la Israel Ukingo wa Magharibi

    Wapalestina 5 wauawa shahidi na jeshi katili la Israel Ukingo wa Magharibi

    Oct 25, 2022 07:49

    Wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambulia makazi ya Wapalestina katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu, na kuua shahidi Wapalestina watano.

  • Russia yaionya vikali Israel dhidi ya kuipa silaha Ukraine

    Russia yaionya vikali Israel dhidi ya kuipa silaha Ukraine

    Oct 18, 2022 04:10

    Rais wa zamani wa Russia ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel na kuutaka usithubutu kuipa silaha Ukraine.

  • Australia yatengua uamuzi wa kuitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel

    Australia yatengua uamuzi wa kuitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel

    Oct 18, 2022 04:07

    Serikali ya Australia imetangaza habari ya kubatilisha uamuzi wake tata wa kulitambua eneo la magharibi mwa Quds linalokaliwa kwa mabavu, eti kuwa ni mji mkuu wa utawala haramu wa Israel.

  • Jumamosi, 15 Oktoba, 2022

    Jumamosi, 15 Oktoba, 2022

    Oct 15, 2022 00:58

    Leo ni Jumamosi tarehe 18 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1444 Hijria sawa na tarehe 15 Oktoba 2022 Miladia.

  • Al-Azhar yalaani kuchomwa moto Qurani na walowezi wa Kizayuni

    Al-Azhar yalaani kuchomwa moto Qurani na walowezi wa Kizayuni

    Oct 11, 2022 08:42

    Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al Azhar cha nchini Misri kimelaani kile ilichokitaja kuwa ugaidi za Kizayuni, baada ya Walowezi wa Kiyahudi kuchoma moto Qurani Tukufu katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Kukiri Waziri Mkuu wa UK kwamba yeye ni Zayuni

    Kukiri Waziri Mkuu wa UK kwamba yeye ni Zayuni "la kutupwa"

    Oct 06, 2022 23:06

    Liz Truss ambaye ni karibu mwezi mmoja tu nyuma ameanza kazi ya uwaziri mkuu wa Uingereza, amejitokeza hadharani na kutangaza kuwa yeye ni Zayuni "la kutupwa" yaani Mzayuni mkubwa sana na amesema atahakikisha uhusiano wa London na Wazayuni utaimarika mno wakati wa uongozi wake.

  • Mkutano wa ushirikiano wa Israel na EU wakosolewa

    Mkutano wa ushirikiano wa Israel na EU wakosolewa

    Oct 04, 2022 04:16

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Palestina yamelaani mkutano wa ushirikiano baina ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Umoja wa Ulaya, wakati huu ambapo utawala huo haramu umeshadidisha hujuma na mbinyo dhidi ya Wapalestina.

  • Nasrullah: Macho na makombora yetu yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish

    Nasrullah: Macho na makombora yetu yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish

    Sep 17, 2022 07:29

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, amesema leo Jumamosi kwamba macho na makombora ya harakati hiyo yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish, ambao inazozaniwa baina ya Lebanon na utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS