• Wapalestina 2 wauawa shahidi, Mzayuni aangamizwa Ukingo wa Magharibi

    Wapalestina 2 wauawa shahidi, Mzayuni aangamizwa Ukingo wa Magharibi

    Sep 14, 2022 03:22

    Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi vijana wawili wa Kipalestina kwa kuwapiga risasi kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.

  • Mashirika 290 yamtaka Biden asimamishe hujuma za Israel dhidi ya Palestina

    Mashirika 290 yamtaka Biden asimamishe hujuma za Israel dhidi ya Palestina

    Sep 02, 2022 07:33

    Zaidi ya mashirika 290 ya Marekani na kimataifa yametoa mwito kwa Rais Joe Biden wa nchi hiyo yakimtaka achukue hatua za kivitendo za kuzuia mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Palestina.

  • Israel yaua shahidi Wapalestina 2; yashambulia Syria kwa makombora

    Israel yaua shahidi Wapalestina 2; yashambulia Syria kwa makombora

    Sep 01, 2022 03:02

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeendeleza jinai na chokochoko zake dhidi ya mataifa mawili ya Waislamu katika eneo hili la Asia Magharibi.

  • Russia: Mashambulizi dhidi ya Syria yamefichua undumakuwili wa Magharibi

    Russia: Mashambulizi dhidi ya Syria yamefichua undumakuwili wa Magharibi

    Aug 30, 2022 21:52

    Balozi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amelaani vikali mashambulio haramu ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria na kusisitiza kuwa, hujuma hizo zimefichua sura halisi ya Wamagharibi likija suala la haki za binadamu.

  • Wafungwa 1,000 wa Kipalestina watishia kuanza mgomo wa kula

    Wafungwa 1,000 wa Kipalestina watishia kuanza mgomo wa kula

    Aug 29, 2022 22:02

    Wafungwa zaidi ya 1,000 wanaoshikiliwa katika jela na magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel wameonya kuwa wataanza mgomo wa kula chakula kulalamikia kukanyagwa kwa haki zao na ukandamizaji.

  • Mossad inakula njama ya kuzuia kufufuliwa JCPOA

    Mossad inakula njama ya kuzuia kufufuliwa JCPOA

    Aug 29, 2022 06:32

    Mkuu wa Shirika la Kijasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel (Mossad) anatazamiwa kuelekea Washington kufanya mikutano kadhaa ya faragha na maafisa wa serikali ya Marekani kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Undumakuwili wa Marekani kuhusu suala la uhuru wa kujieleza

    Undumakuwili wa Marekani kuhusu suala la uhuru wa kujieleza

    Aug 28, 2022 22:03

    Kufuatia matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Nader Hashemi, Mhadhiri na Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Mashariki ya Kati katika Chuo Kikuu cha Denver, kuhusiana na uwezekano wa Israel kuhusika katika shambulio dhidi ya Salman Rushdie, Warepublican katika Congress ya Marekani wameonya kuhusu ushawishi wa Iran katika vyuo vikuu vya nchi hiyo na kutangaza kwamba watachunguza suala hilo katika miezi ijayo.

  • Iran yakosoa mkutano wa NPT kwa kutoshinikiza Israel ijiunge na mkataba huo

    Iran yakosoa mkutano wa NPT kwa kutoshinikiza Israel ijiunge na mkataba huo

    Aug 25, 2022 23:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameukosoa vikali Mkutano wa Kumi wa Kuangalia Upya Maazimio ya Nchi Wanachama wa Mkataba wa Kuziia Uzalishaji na Usambazi za Silaha za Nyuklia NPT unaofanyika huko New York, kwa kukataa kutoa mwito kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kujiunga na mkataba huo wa kimataifa.

  • White House yakataa kuzungumza na Israel kuhusu JCPOA

    White House yakataa kuzungumza na Israel kuhusu JCPOA

    Aug 25, 2022 07:37

    Ikulu ya White House ya Marekani imeripotiwa kulipiga na chini ombi la Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel la kufanya mazungumzo ya simu 'ya dharura' na Rais Joe Biden, kuhusu mazungumzo yaliyko katika hatua za mwisho ya kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Waziri Mkuu wa Israel ajaribu kukwamisha kufufuliwa JCPOA

    Waziri Mkuu wa Israel ajaribu kukwamisha kufufuliwa JCPOA

    Aug 24, 2022 06:20

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameingiwa na kiwewe kutokana na uwezekano mkubwa wa kufikiwa makubaliano ya kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA ndani ya siku chache zijazo.