Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • China: Uvamizi na uhasama dhidi ya Palestina haupaswi kuhalalishwa

    China: Uvamizi na uhasama dhidi ya Palestina haupaswi kuhalalishwa

    Jul 07, 2020 03:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China ameashiria kuhusu uungaji mkono wa nchi hiyo ya Asia kwa wananchi madhulumu wa Palestina na kusisitiza kuwa, kuhujumiwa haki za msingi za Wapalestina hakupaswi kuhalalishwa.

  • Jumapili, 5 Julai, 2020

    Jumapili, 5 Julai, 2020

    Jul 05, 2020 01:35

    Leo ni Jumapili tarehe 13 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1441 Hijria ambayo inalingana na tarehe 5 Julai 2020 Miladia.

  • Maafisa 2 wa UN huko Israel wasimamishwa kazi kwa ufuska

    Maafisa 2 wa UN huko Israel wasimamishwa kazi kwa ufuska

    Jul 04, 2020 03:39

    Umoja wa Mataifa umewasimamisha kazi maafisa wake wawili wa timu ya operesheni za usalama eneo la Asia Magharibi baada ya kubainika kuwa walijihusisha na vitendo vya ufuska ndani ya utawala haramu wa Israel.

  • Nchi za Amerika ya Latini zashinikiza vikwazo dhidi ya Israel

    Nchi za Amerika ya Latini zashinikiza vikwazo dhidi ya Israel

    Jul 04, 2020 03:14

    Marais wa zamani na shakhsia wengine mashuhuri wa kisiasa wa nchi za Amerika ya Latini wamekosoa vikali mpango wa utawala haramu wa Israel wa kupora eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuliunganisha na ardhi nyingine ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Wapalestina waandamana Gaza kulaani uporaji wa ardhi zao

    Wapalestina waandamana Gaza kulaani uporaji wa ardhi zao

    Jul 01, 2020 21:48

    Maelfu ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza jana Jumatano walifanya maandamano makubwa ya kulaani mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kutaka kutwaa ardhi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Spika wa Bunge la Iran atoa mwito wa kukomeshwa jinai za Israel

    Spika wa Bunge la Iran atoa mwito wa kukomeshwa jinai za Israel

    Jul 01, 2020 21:40

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua athirifu za kukomesha jinai za utawala haramu wa Israel, hususan mpango wa utawala huo ghasibu wa kupora ardhi zaidi za Wapalestina.

  • Hania aainisha malengo matatu ya Israel ya kupora ardhi za Palestina

    Hania aainisha malengo matatu ya Israel ya kupora ardhi za Palestina

    Jun 30, 2020 08:12

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema utawala wa Kizayuni wa wa Israel unafuatilia malengo matatu makuu katika mpango wake wa kutaka kutwaa ardhi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Iran: Iwapo Israel itapora ardhi zaidi za Wapalestina itapata jibu kali la wapigania ukombozi wa Palestina

    Iran: Iwapo Israel itapora ardhi zaidi za Wapalestina itapata jibu kali la wapigania ukombozi wa Palestina

    Jun 26, 2020 11:43

    Mshauri wa Spika wa Bunge la Iran katika masuala ya kimataifa ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu mpango wake wa kupora ardhi zaidi za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • "Marekani kuikingia kifua Israel kumelishushia hadhi Baraza la Usalama"

    Jun 25, 2020 03:19

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema hatua ya Marekani ya kuendelea kuukingia kifua na kuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel imelifanya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lipoteze hadhi yake na likose maana.

  • Jeshi la Israel latumia wanyama hai kufanyia majaribio silaha zake

    Jeshi la Israel latumia wanyama hai kufanyia majaribio silaha zake

    Jun 22, 2020 07:44

    Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel linawatumia wanyama walio hai kufanyia majaribio silaha zake kwa siri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS