• MOSSAD: Israel kufungua 'ubalozi wake' nchini Oman

    MOSSAD: Israel kufungua 'ubalozi wake' nchini Oman

    Jul 02, 2019 07:24

    Mkuu wa Shirika la Kijasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel (MOSSAD) amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unatazamiwa hivi karibuni kufungua Ofisi ya Uwakilishi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya utawala huo katili nchini Oman.

  • Bahrain: Tunataka kuimarisha uhusiano wetu na Israel

    Bahrain: Tunataka kuimarisha uhusiano wetu na Israel

    Jun 27, 2019 21:59

    Bahrain ambayo ilikuwa mwenyeji wa eti mkutano wa kiuchumi wa mjini Manama baada ya kuficha kwa muda mrefu uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel, hatimaye imefunguka na kusema kuwa inataka kuwa na amani na kuimarisha uhusiano wake na utawala huo haramu.

  • Utawala wa Israel wakereka baada ya rais wa Chile kuutembelea Msikiti wa Al-Aqsa

    Utawala wa Israel wakereka baada ya rais wa Chile kuutembelea Msikiti wa Al-Aqsa

    Jun 27, 2019 03:36

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umekerwa na hatua ya Rais Sebastián Piñera wa Chile akishirikiana na Idara ya Wakfu ya Kiislamu ya Quds na viongozi wa ngazi ya juu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, kuzuru Msikiti wa Al-Aqsa, kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Waziri Mkuu wa Palestina: Wapalestina wanataka uhuru na si sadaka

    Waziri Mkuu wa Palestina: Wapalestina wanataka uhuru na si sadaka

    Jun 25, 2019 22:27

    Waziri Mkuu wa Palestina amesema kuwa mhandisi na mtayarishaji wa mpango wa Kimarekani wa eti amani ya Mashariki ya Kati wa Muamala wa Karne unaosimamiwa na mkwe wa Rais Donald Trump, Jared Kushner na wenzake hawaelewi kuwa Wapalestina hawataki sadaka bali wanadai haki zao za kuwa huru na kukomeshwa uvamizi wa Israel na udhibiti wa dola hilo haramu wa maisha na uchumi wao.

  • Sheikh Isa Qassim: Trump anataka kuiuza Palestina na matukufu yake

    Sheikh Isa Qassim: Trump anataka kuiuza Palestina na matukufu yake

    Jun 25, 2019 02:25

    Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Bahrain, Sheikh Isa Qassim sambamba na kulaani hatua ya utawala wa Manama kuwa mwenyeji wa Kongamano la Kibiashara linalotazamiwa kuanza leo nchini humo kwa shabaha ya kuzindua mpango wa 'Muamala wa Karne' amesema mpango huo wa Rais Donald Trump wa Marekani unakusudia kuwapokonya Wapalestina haki zao zote na kuuza kila kitu kinachomilikiwa nao yakiwemo maeneo matakatifu.

  • Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, Palestina wasusia 'Muamala wa Karne'

    Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, Palestina wasusia 'Muamala wa Karne'

    Jun 24, 2019 08:18

    Wanazuoni na wasomi wa Kiislamu wa Lebanon na Palestina wamelaani njama ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina iliyopewa jina la 'Muamala wa Karne'.

  • Saudia yanunua programu ya kijasusi ya Israel kwa dola milioni 300

    Saudia yanunua programu ya kijasusi ya Israel kwa dola milioni 300

    Jun 21, 2019 00:10

    Saudi Arabia imeripotiwa kununua programu ya kufanya ujasusi yenye thamani ya dola milioni 300 kutoka utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • SIPRI: Israel ina vichwa 100 vya silaha za nyulklia

    SIPRI: Israel ina vichwa 100 vya silaha za nyulklia

    Jun 17, 2019 03:21

    Ripoti mpya ya Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm (SIPRI) imefichua kuwa, utawala haramu wa Israel unamiliki takriban vichwa 100 vya silaha za nyuklia.

  • Israel kushiriki mkutano wa Marekani dhidi ya Wapalestina, Bahrain

    Israel kushiriki mkutano wa Marekani dhidi ya Wapalestina, Bahrain

    Jun 17, 2019 03:16

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umethibitisha kuwa utashiriki mkutano wa 'kiuchumi wa Manama' nchini Bahrain ulioitishwa na Marekani, wenye lengo la kuzindua 'Muamala wa Karne'.

  • Watunisia waandamana dhidi ya Israel, waiunga mkono Palestina

    Watunisia waandamana dhidi ya Israel, waiunga mkono Palestina

    Jun 16, 2019 02:29

    Makumi ya wanaharakati wa kisiasa na kijamii wa nchini Tunisia kwa mara nyingine wamefanya maandamano katika barabara za mji mkuu Tunis, kulaani mpango wowote wa kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel, sambamba na kuonyesha uungaji mkono wao kwa wananchi madhulumu wa Palestina.