Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Marekani yashindwa kuzuia uteuzi wa Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN

    Marekani yashindwa kuzuia uteuzi wa Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN

    Jan 31, 2019 22:51

    Jarida la Marekani la Foreign Policy limefichua kwamba, kabla ya kuteuliwa Michelle Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Marekani ilifanya jitihada kubwa za kuzuia uteuzi huo lakini jitihada hizo zimeambulia patupu.

  • Malaysia yasisitiza tena kutoruhusu wanamichezo wa Israel kukanyaga ardhi ya nchi hiyo

    Malaysia yasisitiza tena kutoruhusu wanamichezo wa Israel kukanyaga ardhi ya nchi hiyo

    Jan 26, 2019 10:43

    Waziri Mkuu wa Malaysia, amesisitiza tena msimamo wa nchi yake wa kutowaruhusu wanamichezo wa timu ya kuogelea ya utawala wa Kizayuni wa Israel kukanyaga ardhi ya Malaysia ili kushiriki mshindano ya dunia ya kuogelea; na akaongeza kwamba: Wanamichezo wa Israel wanatokana na utawala mdanganyifu, na watu wa Malaysia hawawapendi watu wadanganyifu.

  • Jenerali Mzayuni akiri uwezo wa kijeshi wa Syria licha ya vita vya ndani vya miaka mingi

    Jenerali Mzayuni akiri uwezo wa kijeshi wa Syria licha ya vita vya ndani vya miaka mingi

    Jan 24, 2019 12:26

    Jenerali mmoja mstaafu wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amewataka viongozi wa utawala huo wasidharau tahadhari iliyotolewa na Syria kwamba kama Israel itaendelea kufanya mashambulizi nchini humo, basi Syria nayo itajibu kwa kuushambulia uwanja wa ndege wa Tel Aviv.

  • Utawala haramu wa Israel, mlezi wa ugaidi

    Utawala haramu wa Israel, mlezi wa ugaidi

    Jan 24, 2019 08:56

    Kamanda wa jeshi la Lebanon ametangaza habari ya kutiwa mbaroni mamluki wa kigeni wa Shirika la Kijasusi la utawala haramu wa Israel (MOSSAD) ambaye alihusika katika jaribio la mauaji lililofeli dhidi ya Muhammad Omar Hamdan, mjumbe wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS katika mji wa Saida, Lebanon.

  • Russia yaamua kususia mkutano wa Marekani wa Warsaw

    Russia yaamua kususia mkutano wa Marekani wa Warsaw

    Jan 24, 2019 00:35

    Ikiwa ni katika fremu ya malengo yake inayoyafuatilia katika eneo la Mashariki ya Kati, Marekani ina mpango wa kuitisha mkutano hapo tarehe 13 na 14 mwezi ujao wa Februari huko Warsaw mji mkuu wa Poland chini ya anwani ya "Mkutano wa Amani na Usalama katika Mashariki ya Kati".

  • Lebanon yamtia nguvuni jasusi wa utawala haramu wa Israel

    Lebanon yamtia nguvuni jasusi wa utawala haramu wa Israel

    Jan 23, 2019 04:23

    Jeshi la Lebanon limemtia mbaroni ajenti wa Shirika la Ujasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel (Mossad) aliyehusika katika shambulizi la bomu kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Harakati ya Nujabaa Iraq: Kuwekewa vikwazo muqawama ni matokeo ya kufeli njama za Marekani

    Harakati ya Nujabaa Iraq: Kuwekewa vikwazo muqawama ni matokeo ya kufeli njama za Marekani

    Jan 22, 2019 11:41

    Kiongozi wa Baraza la Kisiasa la Muqawama wa Kiislamu la Harakati ya Nujabaa nchini Iraq amesema kuwa, vikwazo vilivyowekwa na Marekani dhidi ya muqawama, vinaonyesha kufeli njama za Washington katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Palestina yalaani chokochoko mpya za Israel dhidi ya Syria

    Palestina yalaani chokochoko mpya za Israel dhidi ya Syria

    Jan 22, 2019 04:03

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) na harakati ya Jihad al-Islami ya Palestina zimelaani mashambulizi mapya ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria.

  • Mwanahistoria Mzayuni: Hadi miaka 30 ijayo Israel itakuwa imeshatoweka

    Mwanahistoria Mzayuni: Hadi miaka 30 ijayo Israel itakuwa imeshatoweka

    Jan 19, 2019 12:04

    Benny Morris, mwanahistoria mashuhuri wa Kizayuni amesema: Hadi miaka 30 ijayo Israel haitakuwepo tena, na Wazayuni watageuka kuwa jamii ndogo ya wachache.

  • Wimbi jipya la mauaji ya Israel dhidi ya watoto wa Palestina

    Wimbi jipya la mauaji ya Israel dhidi ya watoto wa Palestina

    Jan 16, 2019 23:14

    Kituo cha Kutetea Haki za Binadamu cha Mizan kimetangaza kuwa, watoto 50 wa Kipalestina waliuawa kwa kupigwa risasi na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mwaka uliomalizika majuzi wa 2018 na wengine elfu 2 na 890 wamejeruhiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS