Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Kufichuliwa uungaji mkono mpya wa utawala wa Kizayuni kwa makundi ya kigaidi nchini Syria

    Kufichuliwa uungaji mkono mpya wa utawala wa Kizayuni kwa makundi ya kigaidi nchini Syria

    Feb 22, 2018 00:56

    Katika taarifa yake gazeti la utawala haramu wa Israel la Haaretz limekiri kwamba Tel Aviv inajishughulisha zaidi na kuwapatia silaha magaidi nchini Syria.

  • Iran: Jibu letu kwa Israel litaisambaratisha Tel Aviv kikamilifu

    Iran: Jibu letu kwa Israel litaisambaratisha Tel Aviv kikamilifu

    Feb 21, 2018 04:15

    Katibu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu ya Iran, ameonya kuwa, mji mkuu wa utawala wa Kizayuni utageuzwa majivu Tehran ikilazimika kujibu mapigo iwapo Benjamin Netanyahu atatekeleza vitisho vyake alivyovitoa hivi karibuni dhidi ya taifa hili.

  • Jeshi la Lebanon: Tutamia nguvu zote kuukabili uvamizi wa Israel

    Jeshi la Lebanon: Tutamia nguvu zote kuukabili uvamizi wa Israel

    Feb 21, 2018 04:00

    Jeshi la Lebanon limeutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kuanzisha vita vipya dhidi ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa litatumia mbinu na uwezo wake wote kuzima uvamizi tarajiwa.

  • Mwaka 2018, mwaka wa kushtadi mgogoro wa kisiasa ndani ya utawala wa Kizayuni

    Mwaka 2018, mwaka wa kushtadi mgogoro wa kisiasa ndani ya utawala wa Kizayuni

    Feb 18, 2018 23:33

    Sambamba na kuongezeka upinzani wa raia wa utawala haramu wa Israel juu ya kuendelea kubakia madarakani Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo kutokana na kuhusika kwake na ufisadi wa fedha za umma, baadhi ya vyombo vya habari vya nchi za Magharibi vimeelezea kujiandaa Naftali Bennett, Waziri wa Elimu wa Israel na mkuu wa chama cha 'The Jewish Home' kuwa waziri mkuu wa Israel.

  • Israel yawauawa shahidi Wapalestina wawili, Hamas yajibu

    Israel yawauawa shahidi Wapalestina wawili, Hamas yajibu

    Feb 18, 2018 12:18

    Vijana wawili wa Kipalestina wameuawa shahidi kufuatia mashambulizi ya jeshi la utawala katili la Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Ayatullah Nouri-Hamedani: Waislamu wasipoungana, Palestina itatenganishwa na Ulimwengu wa Kiislamu

    Ayatullah Nouri-Hamedani: Waislamu wasipoungana, Palestina itatenganishwa na Ulimwengu wa Kiislamu

    Feb 17, 2018 23:43

    Ayatullah Hussein Nouri Hamedani, mmoja wa Marjaa Taqlidi aliyeko mjini Qom amesisitizia ulazima wa kupatikana umoja baina ya Waislamu duniani na kubainisha kwamba ikiwa Waislamu hawatoungana, maadui wataitenganisha Palestina na Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Velayati: Muqawama utawatimua Marekani, Wazayuni Euphrates Mashariki

    Velayati: Muqawama utawatimua Marekani, Wazayuni Euphrates Mashariki

    Feb 17, 2018 13:41

    Afisa wa ngazi za juu nchini Iran amesema harakati ya muqawama katika eneo itaitimua Marekani na utawala haramu wa Kizayuni kutoka eneo la Mashariki mwa Mto Euphrates ambao unatiririka kutoka Uturuki na kupitia Syria hadi Iraq.

  • Syria yaionya Israel isithubutu tena kuingiza ndege zake nchini humo

    Syria yaionya Israel isithubutu tena kuingiza ndege zake nchini humo

    Feb 15, 2018 00:34

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria ametoa onyo kali akisema kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel usithubutu tena kuishambulia nchi yake vinginevyo itakumbwa na majibu yatakayouweka mdomo wazi.

  • Nujaba ya Iraq yasema itapambana na Israel ikiiletea chokochoko Hizbullah

    Nujaba ya Iraq yasema itapambana na Israel ikiiletea chokochoko Hizbullah

    Feb 14, 2018 04:03

    Harakati ya Nujaba ya Iraq imesema itaiunga mkono kikamilifu harakati ya Hizbullah ya Lebanon iwapo italazimishwa kuingia katika vita vipya na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mbunge wa Tunisia achana bendera ya Israel ndani ya Bunge

    Mbunge wa Tunisia achana bendera ya Israel ndani ya Bunge

    Feb 14, 2018 03:52

    Mbunge mmoja wa Tunisia amechana bendera ya utawala wa Kizayuni wa Israel, kuonyesha ghadhabu zake dhidi ya serikali ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ya kutaka kufanya wa kawaida uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS