Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Israel yawatimua wahajiri 38,000 wa Kiafrika

    Israel yawatimua wahajiri 38,000 wa Kiafrika

    Jan 04, 2018 10:16

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeanza kutekeleza mpango wa kuwarejesha nchini kwao kwa nguvu makumi ya maelfu ya Waafrika walioingia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu.

  • Macron: Vitisho vya US, Israel na Saudia dhidi ya Iran ni njia ya vita

    Macron: Vitisho vya US, Israel na Saudia dhidi ya Iran ni njia ya vita

    Jan 04, 2018 04:23

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametaka kulindwa njia ya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rouhani na Erdogan walaani msimamo wa US, Israel dhidi ya Iran

    Rouhani na Erdogan walaani msimamo wa US, Israel dhidi ya Iran

    Jan 03, 2018 23:05

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki wamekosoa vikali uchochezi na uungaji mkono wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa waandamanaji wanaofanya fujo na ghasia nchini.

  • Israel na siasa za kunyakua ardhi za Wapalestina

    Israel na siasa za kunyakua ardhi za Wapalestina

    Jan 02, 2018 09:49

    Kituo kimoja cha uhakiki cha Palestina kimetangaza kuwa, katika mwaka uliopita wa 2017 utawala vamizi wa Israel ulipora zaidi ya hekari 900 za ardhi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kwa lengo la kujenga vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni.

  • Israel: Vita vijavyo kati yetu na HAMAS vitatudhoofisha kwa ndani

    Israel: Vita vijavyo kati yetu na HAMAS vitatudhoofisha kwa ndani

    Jan 02, 2018 04:02

    Waziri wa Makazi wa Utawala Haramu wa Israel, Yoav Galant amesema kuwa uwezo wa shabaha wa makombora ya Brigedi ya Izzudeen Qassam tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS, utaidhoofisha Israel kwa ndani.

  • Tehran: Israel, US hazina ufahamu juu ya taifa la Iran

    Tehran: Israel, US hazina ufahamu juu ya taifa la Iran

    Dec 31, 2017 11:23

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel, Marekani na nchi nyingine zinazojifanya kutetea haki za Wairani hazina ufahamu wowote kuhusu taifa la Iran.

  • Waisraeli waandamana dhidi ya Netanyahu kwa wiki ya tano

    Waisraeli waandamana dhidi ya Netanyahu kwa wiki ya tano

    Dec 31, 2017 11:17

    Maelfu ya Waisraeli wamemiminika mabarabarani kwa wiki ya tano mfululizo kushiriki maandamano ya kushinikiza kufungwa jela Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu kutokana na kashfa za ufisadi wa kifedha zinazomuandama.

  • Unduli wa Israel wa kutaka kuua Wapalestina wengi zaidi

    Unduli wa Israel wa kutaka kuua Wapalestina wengi zaidi

    Dec 30, 2017 23:15

    Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni ametaka kunyongwa raia wa Palestina kufuatia kushtadi wimbi la malalamiko ya raia hao.

  • Sheikh Maher Hamoud: Muda wa kusambaratishwa Israel umekaribia

    Sheikh Maher Hamoud: Muda wa kusambaratishwa Israel umekaribia

    Dec 30, 2017 11:32

    Sheikh Maher Hamoud, Mkuu wa Umoja wa Ulimwengu wa Maulama wa Muqawama wa nchini Lebanon amesema kuwa, muda wa kusambaratishwa utawala haramu wa Kizayuni umekaribia.

  • Israel na Marekani zaafiki mapatano ya 'kuikabili' Iran

    Israel na Marekani zaafiki mapatano ya 'kuikabili' Iran

    Dec 29, 2017 04:27

    Imebainika kuwa, maafisa wa ngazi za juu wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel walifanya mkutano wa siri mjini Washington hivi karibuni, kujadili mikakati eti ya kuikabili na kuidhibiti Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS