-
Arab League: Israel inacheza na moto kuhusu kadhia ya Quds
Jul 23, 2017 09:41Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel kwamba 'unacheza na moto' kutokana na kushadidisha ukandamizaji dhidi ya Wapalestina wa Quds Tukufu inayokaliwa kwa mabavu.
-
António Guterres: Israel ijiepushe kufanya ukatili huko Quds
Jul 23, 2017 02:14Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusu ukatili na hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwazuia Wapalestina kutekeleza ibada ya Swala ndani ya Msikiti wa al Aqsa.
-
Jinai za Wazayuni katika Msikiti wa Al Aqsa, mwanzo wa Intifadha mpya Palestina
Jul 22, 2017 03:29Msemaji wa Brigedi ya Ezzedin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Hamas amesema hujuma ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya msikiti wa al Aqsa ni mwanzo wa mwamko mwingine (Intifadha) wa Wapalestina.
-
Watunisia waandamana kupinga maonyesho ya vichekesho ya Mzayuni nchini kwao
Jul 20, 2017 23:03Watunisia wamefanya maandamano mjini Tunis kupinga maonyesho ya vichekesho ya Michel Boujenah Mzayuni mwenye uraia wa nchi mbili za Ufaransa na Tunisia nchini mwao.
-
Hizbullah: Israel itashtushwa mno na uwezo wetu wa kijeshi iwapo itatuchokoza
Jul 14, 2017 09:48Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon, amesema kuwa, iwapo utawala wa Kizayuni utaanzisha vita vyovyote dhidi ya harakati hiyo, Tel Aviv itashangazwa na uwezo mkubwa wa kijeshi wa wanamapambano wa Hizbullah.
-
Wapalestina wapongeza hatua ya Afrika Kusini kupunguza uhusiano na Israel
Jul 09, 2017 09:34Wapalestina wamepongeza uamuzi wa hivi karibuni wa chama tawala cha Afrika Kusini ANC, ya kupunguza kiwango cha uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hashdu sh-Sha'abi: Magaidi wa Kiwahabi na Saudia hawana lengo jingine ghairi ya kuitumikia Israel
Jul 04, 2017 03:30Naibu Kamanda Mkuu wa Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq, amesema kuwa makundi ya kigaidi na waungaji wake mkono ikiwemo Marekani na Saudia, hawana malengo mengine ghairi ya kuutumikia utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Njama ya Israel kwa ajili ya kupanua mahusiano na nchi za Kiarabu hususan Saudia
Jul 02, 2017 23:13Baadhi ya viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewasilisha mapendekezo mpya kwa ajili ya kupanua zaidi uhusiano wa utawala huo na nchi za Kiarabu.
-
Takwimu Jumapili
Jul 01, 2017 23:44Leo ni Jumapili tarehe saba Shawwal 1438 Hijria, sawa na tarehe Pili Julai 2017.
-
Osama Hamdan: Utawala wa Kizayuni wa Israel ni tishio kwa usalama wa dunia
Jun 30, 2017 23:03Mjumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, kadhia ya Palestina itapatiwa ufumbuzi tu kwa kusambaratishwa na kuangamizwa adui Mzayuni.