-
Mick Napier: Israel inataka kubadilisha demografia ya Ufukwe wa Magharibi, Palestina
Dec 08, 2016 12:53Mick Napier, mwanaharakati wa asasi ya Uskochi ya Mshikamano na Palestina amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unaendesha kampeni ya ufutaji kizazi katika Ufukwe wa Magharibi, Bonde la Jordan na maeneo mengine ya Palestina ili kuweza kuanzisha jamii ya "Mayahudi Pekee".
-
Mamia ya Wapalestina watekwa nyara na Wazayuni
Dec 04, 2016 03:53Kituo cha Kufuatilia Masuala ya Mateka wa Palestina kimesema kuwa, mamia ya Wapalestina wametekwa nyara na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika kipindi cha mwezi ulioisha wa Novemba.
-
Israel: Hasara inayotokana na moto unaoendelea kuwaka haijawahi kushuhudiwa
Nov 28, 2016 12:16Utawala haramu wa Israel umetangaza kuwa, moto mkubwa unaoendelea kuwaka katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, umeusababishia hasara ya mamilioni ya Dola hadi sasa.
-
Polisi kumchunguza Netanyahu kwa kashfa ya ununuzi wa nyambizi
Nov 24, 2016 10:52Mwanasheria Mkuu wa utawala haramu wa Israel ametoa agizo la kuchunguzwa Waziri Mkuu wa utawala huo wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu, anayeandamwa na kashfa ya ununuzi wa nyambizi kutoka Ujerumani.
-
Kiongozi wa kidini wa Kizayuni atupwa jela miezi 18 kwa ubakaji Israel
Nov 23, 2016 01:22Mahakama ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, imemuhukumu kifungo cha mwaka mmoja na miezi sita, kiongozi wa kidini wa Kizayuni kwa kuwabaka wanawake watatu.
-
Israel: Tulishindwa katika vita vya siku 50 dhidi ya HAMAS huko Gaza, Palestina
Nov 21, 2016 23:15Duru za jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel limesema kuwa, miezi michache kabla ya kuanzisha vita vya siku 50 dhidi ya Ukanda wa Gaza huko Palestina, viongozi kadhaa wa usalama wa utawala huo, walilionya jeshi hilo kwamba, halikuwa na maandalizi ya kutosha kuingia katika vita hivyo.
-
Hamas: Israel inacheza na moto kwa kupiga marufuku Adhana
Nov 21, 2016 03:58Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kufuatia amri yake ya kupiga marufuku adhana na kusema sheria hiyo ni sawa na 'kuchezea moto.'
-
Uturuki yateua balozi wake wa utawala haramu wa Israel
Nov 17, 2016 00:54Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ametangaza kuwa Ankara imemteua balozi atakayeiwakilisha nchi hiyo katika utawala haramu wa Israel, miezi michache baada ya pande mbili hizo kutangaza kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia.
-
Kupigwa marufuku adhana katika Msikiti wa al Aqsa, hatua mpya ya Israel katika fremu ya sera za Trump
Nov 15, 2016 04:09Katika fremu ya kudumisha sera za kuiyahudisha Quds tukufu na kufuta kabisa nembo na alama zote za Kiislamu katika ardhi ya Palestina, Baraza la Mawaziri la Israel limeafiki mpango wa kupiga marufuku adhana katika misikiti ya Quds ukiwemo Msikiti wa al Aqsa.
-
Netanyahu aunga mkono muswada wa kupiga marufuku adhana
Nov 14, 2016 00:37Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema kwamba anaunga mkono kikamilifu muswada unaotaka kupigwa marufuku kusomwa adhana kwa vipaza sauti misikitini katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.