Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Jenerali Baqeri: Israel imefanya kosa la kistratejia kwa kumuua kamanda wa IRGC

    Jenerali Baqeri: Israel imefanya kosa la kistratejia kwa kumuua kamanda wa IRGC

    Dec 27, 2023 03:18

    Mkuu wa Vikosi vya Majeshi ya Iran amesema Israel imefanya kosa la kistratejia kwa kumuua shahidi Kamanda Sayyid Razi Mousavi, aliyekuwa mshauri wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) na kusisitiza kuwa, jinai hiyo ya utawala wa Kizayuni haitapita hivi hivi bila kujibiwa.

  • Israel yashambulia makao makuu ya Hilali Nyekundu Gaza

    Israel yashambulia makao makuu ya Hilali Nyekundu Gaza

    Dec 26, 2023 23:23

    Vikosi vya jeshi katili la utawala haramu wa Israel vimeshambulia kwa mabomu makao makuu ya Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Palestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Waislamu US wamlaani Biden kwa kuunga mkono maangamizi ya kizazi Gaza

    Waislamu US wamlaani Biden kwa kuunga mkono maangamizi ya kizazi Gaza

    Dec 25, 2023 08:18

    Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) limeijia juu serikali ya Rais Joe Biden wa nchi hiyo kwa kile lilichokitaja kuwa ni 'mchango amilifu' wa Washington kwa mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Wanasiasa wataka kufunguliwa mashitaka Wafaransa waliojiunga na jeshi la Israel kuua raia Gaza

    Wanasiasa wataka kufunguliwa mashitaka Wafaransa waliojiunga na jeshi la Israel kuua raia Gaza

    Dec 23, 2023 08:29

    Katika kashfa mpya ambayo inaendelea kutikisa misingi ya jamii ya Ufaransa na sambamba misimamo ya inayobadilika badilika ya serikali ya Paris kuhusu mashambulizi ya Israel Ukanda wa Gaza, mbunge Thomas Portes wa chama cha "Fahari ya Ufaransa" amefichua uwepo wa Wafaransa 4,185 katika safu za jeshi la Israel linaloendelea kuua raia wa Palestina hususan wanawake na watoto wa Gaza.

  • Azimio la Baraza la Usalama kuhusu Gaza: Ni hatua ya lazima lakini haitoshi

    Azimio la Baraza la Usalama kuhusu Gaza: Ni hatua ya lazima lakini haitoshi

    Dec 23, 2023 04:48

    Ijumaa ya jana, Desemba 22, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipitisha azimio la kuongeza misaada ya kibinadamu kwa watu wa Ukanda wa Gaza bila kutoa wito wa kusitishwa mapigano. Marekani na Russia, wanachama wawili wa kudumu wa Baraza la Usalama, hazikulipigia kura azimio hilo. Wajumbe wengine 13 wamelipigia kura ya ndiyo.

  • Utafiti: Aghalabu ya Wamarekani wanapinga Israel kupewa misaada ya kijeshi

    Utafiti: Aghalabu ya Wamarekani wanapinga Israel kupewa misaada ya kijeshi

    Dec 22, 2023 22:58

    Uchunguzi wa maoni uliofanyika nchini Marekani unaonyesha kuwa, akthari ya wapiga kura nchini humo wanapinga mpango wowote wa Washington kuutumia utawala haramu wa Israel misaada zaidi ya kijeshi.

  • Human Rights Watch: Meta inazuia sauti zinazowatetea Wapalestina kwenye Instagram na Facebook

    Human Rights Watch: Meta inazuia sauti zinazowatetea Wapalestina kwenye Instagram na Facebook

    Dec 21, 2023 23:36

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuwa sera za kamupini ya Meta zimezidi kuziba na kunyamazisha sauti zinazoiunga mkono Palestina kwenye mitandao ya kijamii ya Instagram na Facebook kutokana na vita vya Israel dhidi ya Gaza.

  • Onyo la Macron kuhusu kuharibiwa Gaza na Wazayuni

    Onyo la Macron kuhusu kuharibiwa Gaza na Wazayuni

    Dec 21, 2023 22:59

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametahadharisha kuhusu uwezekano wa kuangamizwa Ukanda wa Gaza kwa mashambulizi kipofu ya utawala haramu wa Israel huku mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina yakiendelezwa na utawala huo katili katika ukanda huo.

  • Hizbullah yauvurumishia maroketi mji unaokaliwa kwa mabavu na Israel karibu na Lebanon

    Hizbullah yauvurumishia maroketi mji unaokaliwa kwa mabavu na Israel karibu na Lebanon

    Dec 21, 2023 07:53

    Wanamuqawama wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon wameendeleza mashambulizi yao dhidi ya maeneo ya Israel, na mara hii wameuvurumishia maroketi mji wa kaskazini unaokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel karibu na mpaka wa Lebanon.

  • Mashirika ya kiraia Uhispania yataka kusitishwa biashara ya silaha na Israel

    Mashirika ya kiraia Uhispania yataka kusitishwa biashara ya silaha na Israel

    Dec 21, 2023 07:53

    Wanaharakati kutoka mamia ya mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) nchini Uhispania wamefanya maandamano na kukusanyika nje ya Bunge la nchi hiyo wakiitaka serikali yao isimamishe bishara ya silaha na utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS