Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Israel yaendelea kushambulia hospitali na kambi za wakimbizi Gaza

    Israel yaendelea kushambulia hospitali na kambi za wakimbizi Gaza

    Nov 22, 2023 23:37

    Kwa akali Wapalestina 100 waliuawa shahidi jana Jumatano na usiku wa kuamkia jana katika mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Ukosolewaji mkali wa undumakuwili wa Magharibi kuhusu kadhia ya Israel na Wapalestina

    Ukosolewaji mkali wa undumakuwili wa Magharibi kuhusu kadhia ya Israel na Wapalestina

    Nov 21, 2023 03:42

    Waziri Mkuu wa Ireland, Leo Varadkar amekosoa vikali undumilakuwili wa nchi za Magharibi na kusema kuwa Umoja wa Ulaya na madola ya Magharibi yanashughulikia masuala yanayohusiana na Israel na Palestina kwa undumilakuwili wa wazi.

  • Mfalme wa Jordan ataka kusitishwa vita mara moja Gaza

    Mfalme wa Jordan ataka kusitishwa vita mara moja Gaza

    Nov 20, 2023 00:28

    Mfalme Abdullah II wa Jordan ameitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua za dharura za usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza, ili kuzuia kutokea janga kubwa la kibinadamu katika eneo hilo la Wapalestina lililozingirwa.

  • Jeshi la Yemen: Tutalenga na kuteka meli zote za Israel katika Bahari Nyekundu

    Jeshi la Yemen: Tutalenga na kuteka meli zote za Israel katika Bahari Nyekundu

    Nov 19, 2023 23:58

    Msemaji wa Jeshi la Yemen amesema vikosi vya nchi hiyo vitashambulia na kuteka meli zote zinazomilikiwa au kusimamiwa na kampuni za utawala wa Kizayuni wa Israel, ikiwa ni hatua kuliunga mkono taifa la Palestina, wakati huu ambapo Wazayuni wanaendelea kumwaga damu za Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Ombi kwa ICC kuchunguza jinai za kivita za Israel huko Gaza

    Ombi kwa ICC kuchunguza jinai za kivita za Israel huko Gaza

    Nov 19, 2023 23:57

    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai za Kivita ya The Hague ICC ametangaza habari ya kupokea maombi ya nchi 5 kwa ajili ya kuchunguzwa jinai za kivita za utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza.

  • Ofisi ya Iran UN: Muundo wa sasa wa Baraza la Usalama hauakisi hali halisi ya jamii ya kimataifa

    Ofisi ya Iran UN: Muundo wa sasa wa Baraza la Usalama hauakisi hali halisi ya jamii ya kimataifa

    Nov 18, 2023 09:05

    Afisa wa kitengo cha habari wa ofisi ya mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema: Muundo wa sasa wa Baraza la Usalama la umoja wa huo hauakisi hali halisi ya jamii ya kimataifa.

  • Brigedia Jenerali Qaani: Israel ni dhaifu kuliko utando wa buibui

    Brigedia Jenerali Qaani: Israel ni dhaifu kuliko utando wa buibui

    Nov 18, 2023 00:20

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa imefichua kuwa utawala haramu wa Israel ni dhaifu kuliko hata nyumba ya buibui.

  • WSJ: Rais Biden anakabiliwa na uasi ndani ya serikali kwa sababu ya himaya yake kwa Israel

    WSJ: Rais Biden anakabiliwa na uasi ndani ya serikali kwa sababu ya himaya yake kwa Israel

    Nov 16, 2023 10:01

    Jarida la Wall Street Journal limeripoti kuwa Rais wa Marekani, Joe Biden, anakabiliwa na uasi kutoka kwa baadhi ya taasisi za serikali yake zinazopinga uungaji mkono wake kwa Israel katika vita vyake dhidi ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).

  • Wake wa wakuu wa nchi watoa wito wa kusitishwa uhalifu wa Israel huko Gaza

    Wake wa wakuu wa nchi watoa wito wa kusitishwa uhalifu wa Israel huko Gaza

    Nov 16, 2023 07:49

    Wake wa wakuu wa nchi na serikali wamelaani mashambulizi ya utawala haramu wa Israel yanayolenga raia, haswa watoto na wanawake, katika vita vya Gaza. Tamko la wake wa maraisi na viongozi wa nchi mbalimbali duniani limetolewa katika mkutano ulioandaliwa na Emine Erdoğan, mke wa Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, huko Istanbul jana, Jumatano.

  • Belize yasimamisha uhusiano wa kidiplomasia na Israel

    Belize yasimamisha uhusiano wa kidiplomasia na Israel

    Nov 16, 2023 02:59

    Serikali ya Belize imetangaza kusimamisha uhusiano wake wa kidiplomasia na Israel kutokana na hatua ya utawala huo wa Kizayuni kukataa kusitisha vita; huku idadi ya mashahidi wa mashambulizi ya utawala huo pandikizi huko Gaza tokea Oktoba 7 hadi sasa ikikaribia watu 12,000.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS