Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Afrika ya Kati

  • Indhari ya UN kuhusu kuibuka upya ghasia CAR

    Indhari ya UN kuhusu kuibuka upya ghasia CAR

    Jul 05, 2016 09:53

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Zeid Ra'ad Al Hussein ameonya kuwa hali ya usalama na haki za binadamu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR inaweza kuanza kuzorota tena kufuatia mfululizo wa matukio makubwa ya mizozano kwenye mji mkuu Bangui na maeneo ya vijijini.

  • UN yataka kuharakishwa kupokonywa silaha wanamgambo CAR

    UN yataka kuharakishwa kupokonywa silaha wanamgambo CAR

    Jul 04, 2016 22:54

    Umoja wa Mataifa umetaka kupokonywa silaha haraka iwezekanavyo makundi ya wanamgambo wanaobeba silaha huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Maelfu ya raia wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wakimbilia Chad

    Maelfu ya raia wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wakimbilia Chad

    Jul 01, 2016 23:48

    Duru za kuaminika zimearifu kuwa maelfu ya raia kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati wamekimbilia nchini Chad.

  • Afisa wa zamani wa polisi CAR atuhumiwa kunyonga raia

    Afisa wa zamani wa polisi CAR atuhumiwa kunyonga raia

    Jun 27, 2016 23:32

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limemtuhumu afisa wa zamani wa polisi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) kuwa amewanyonga raia kinyume cha sheria.

  • Polisi wa CAR waliotekwa nyara na wabeba silaha waachiliwa huru

    Polisi wa CAR waliotekwa nyara na wabeba silaha waachiliwa huru

    Jun 22, 2016 11:05

    Mwakilishi wa mji wa Bambari nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, ametangaza habari ya kuachiliwa huru polisi sita wa serikali waliokuwa wakishikiliwa na wabeba silaha nchini humo.

  • Uchunguzi wa ukatili uliofanywa na askari wa Ufaransa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Uchunguzi wa ukatili uliofanywa na askari wa Ufaransa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jun 21, 2016 23:37

    Ufaransa imeanza kufanya uchunguzi kuhusu ukatili na unyanyasaji wa kingono uliofanywa na wanajeshi wa nchi hiyo nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati. Mkuu wa Mashtaka wa Paris wiki iliyopita alianzisha uchunguzi wa awali kuhusu askari wa Ufaransa wanaotuhumiwa kufanya vitendo vya unyanyasaji wa kingono katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Angola, Misri kuishawishi UN kuziondolea vikwazo CAR na S/Kusini

    Angola, Misri kuishawishi UN kuziondolea vikwazo CAR na S/Kusini

    Jun 21, 2016 23:34

    Angola na Misri zimesema zitazishawishi nchi wanachama wasio wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zikubali wazo la kuondolewa vikwazo Jamhuri ya Afrika ya Kati na Sudan Kusini.

  • ICC yamhukumu Bemba wa DRC miaka 18 jela

    ICC yamhukumu Bemba wa DRC miaka 18 jela

    Jun 21, 2016 10:32

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imemhukumu miaka 18 jela Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Jean-Pierre Bemba ambaye alikuwa anakabiliwa na tuhuma za kutenda jinai za kivita katika nchi jirani ya Jamhuri ya Afrika ya Kati kati ya mwaka 2002-2003.

  • UN yalaani kushambuliwa madaktari wasio na mipaka CAR

    UN yalaani kushambuliwa madaktari wasio na mipaka CAR

    Jun 21, 2016 03:13

    Umoja wa Mataifa umelaani kushambuliwa msafara wa madaktari wasio na mipaka nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR.

  • Jamhuri ya Afrika ya Kati yawalaani wanaotaka kufufua mauaji

    Jamhuri ya Afrika ya Kati yawalaani wanaotaka kufufua mauaji

    Jun 20, 2016 10:03

    Serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati imeyalaani makundi ya watu ambao wanafanya njama za kurejesha ukosefu wa amani na mauaji katika mji mkuu wa nchi hiyo, Bangui.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS