Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Afrika ya Kati

  • Polisi wa Burundi kuondolewa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Polisi wa Burundi kuondolewa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jun 12, 2016 00:00

    Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kuondolewa maafisa wa polisi wa Burundi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ifikapo mwishoni mwa mwezi ujao wa Julai.

  • Katibu Mkuu wa UN apongeza hatua jumuishi za Rais wa CAR za kutatua mgogoro

    Katibu Mkuu wa UN apongeza hatua jumuishi za Rais wa CAR za kutatua mgogoro

    Jun 12, 2016 00:00

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amepongeza hatua ya rais mpya wa Jamhuri ya Afrika ya Kati Faustin Archange Touadéra ya kushughulikia chimbuko la mgogoro wa nchi hiyo kwa kushirikisha pande zote nchini humo.

  • Uganda kuondoa askari wake wanaowasaka waasi wa LRA, nchini CAR

    Uganda kuondoa askari wake wanaowasaka waasi wa LRA, nchini CAR

    Jun 10, 2016 23:48

    Uganda imesema karibuni hivi itawaondoa askari wake wanaoongoza katika operesheni ya kuwasaka waasi wa Lord's Resistance Army (LRA) katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Ufaransa yakiri kuwa askari wake walitekeleza jinai dhidi ya raia wa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Ufaransa yakiri kuwa askari wake walitekeleza jinai dhidi ya raia wa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jun 05, 2016 03:18

    Ufaransa imekiri kuwa askari wake waliotumwa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) walitekeleza jinai dhidi ya raia nchini humo.

  • Wanajeshi wa Mauritania waanza kulinda amani CAR katika kikosi cha UN

    Wanajeshi wa Mauritania waanza kulinda amani CAR katika kikosi cha UN

    May 29, 2016 02:22

    Wanajeshi wa Mauritania wameanza kuhudumu katika kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Hollande: Askari wa Ufaransa tayari wamemaliza kipindi cha kuhudumu nchini CAR

    Hollande: Askari wa Ufaransa tayari wamemaliza kipindi cha kuhudumu nchini CAR

    May 14, 2016 09:47

    Rais François Hollande wa Ufaransa amesema kuwa, askari wa nchi yake wamemaliza kipindi cha kuhudumu huko Jamhuri ya Afrika ya Kati na wataanza kuondoka mwishoni mwa mwaka huu.

  • Safari ya Rais wa Ufaransa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Safari ya Rais wa Ufaransa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    May 14, 2016 02:36

    Rais Francois Hollande wa Ufaransa Ijumaa aliitembelea kwa masaa kadhaa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR)na kukutana na rais wa nchi hiyo Faustin-Archange Touadéra.

  • LRA iliwateka watu 296 kwenye robo ya kwanza ya 2016

    LRA iliwateka watu 296 kwenye robo ya kwanza ya 2016

    Apr 24, 2016 23:34

    Kundi la waasi la Lord's Resistance Army la Uganda liliwateka watu 296 katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika robo ya kwanza ya mwaka huu.

  • Wito watolewa kuwachukulia hatua waliotenda jinai Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Wito watolewa kuwachukulia hatua waliotenda jinai Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Apr 23, 2016 22:18

    Jumuiya za kutetea haki za binadamu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati zimetoa wito wa kuchukuliwa hatua za kisheria wale wote waliohusika na jinai na vitendo vya utumiaji mabavu nchini humo.

  • Askari wa Umoja wa Mataifa auawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Askari wa Umoja wa Mataifa auawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Apr 19, 2016 03:20

    Askari wa kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa ameuawa katika hujuma ya waasi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS