Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Afrika ya Kati

  • Waasi wafanya mashambulio mawili dhidi ya mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Waasi wafanya mashambulio mawili dhidi ya mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jan 13, 2021 11:49

    Wanamgambo wa makundi ya waasi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati wamefanya mashambulio mawili alfajiri ya kuamkia leo katika viunga vya mji mkuu wa nchi hiyo Bangui kwa lengo la kuuteka mji huo.

  • Wapinzani Jamhuri ya Afrika ya Kati wapinga matokeo ya uchaguzi

    Wapinzani Jamhuri ya Afrika ya Kati wapinga matokeo ya uchaguzi

    Jan 06, 2021 08:19

    Wapinzani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wamepinga matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika hivi karibuni, wakidai ulikumbwa na dosari.

  • Rais Touadéra achaguliwa tena kuiongoza Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Rais Touadéra achaguliwa tena kuiongoza Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jan 05, 2021 07:13

    Rais Faustin-Archange Touadéra wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amechaguliwa tena kuiongoza nchi hiyo kwa kipindi kingine cha pili cha miaka mitano baada ya kutangazwa rasmi mshindi wa uchaguzi uliofanyika tarehe 27 Desemba.

  • Askari watatu wa kulinda amani kutoka Burundi wauawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Askari watatu wa kulinda amani kutoka Burundi wauawa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Dec 26, 2020 07:26

    Askari watatu wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa ambao ni raia wa Burundi wameuawa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati huku mapigano yakishadidi katika nchi hiyo ambayo inajiandaa kwa uchaguzi mkuu hapo kesho.

  • Katibu Mkuu wa UN ataka kusitishwa uhasama katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Katibu Mkuu wa UN ataka kusitishwa uhasama katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Dec 20, 2020 02:45

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa uhasama katika Jamhuri ya Afrika Kati wakati huu nchi hiyo ikikaribia kufanya uchaguzi mkuu.

  • Umoja wa Mataifa waongeza muda wa MONUSCO kubakia DRC

    Umoja wa Mataifa waongeza muda wa MONUSCO kubakia DRC

    Dec 20, 2020 02:44

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeongeza muda wa mwaka mmoja kwa tume yake ya kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, MONUSCO, kuendelea na shughuli zake nchini humo.

  • Machafuko yashtadi Jamhuri ya Afrika ya Kati katika kukaribia uchaguzi wa rais

    Machafuko yashtadi Jamhuri ya Afrika ya Kati katika kukaribia uchaguzi wa rais

    Dec 19, 2020 12:15

    Kitendo cha kuungana makundi yanayobeba silaha katika kukaribia kufanyika uchaguzi wa rais huko Jamhuri ya Afrika ya Kati kimeibua wasiwasi mkubwa miongoni mwa wananchi.

  • Wagombea 13  wamejiandikisha kushiriki uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati utakaofanyika Desemba 27 + SAUTI

    Wagombea 13 wamejiandikisha kushiriki uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati utakaofanyika Desemba 27 + SAUTI

    Nov 12, 2020 07:52

    Wagombea 13 wa kiti cha urais wamejiandikisha kushiriki uchaguzi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wa Desemba 27

  • Rais Touadéra wa CAR apokea shehena ya silaha nzitonzito za kijeshi kutoka Russia + SAUTI

    Rais Touadéra wa CAR apokea shehena ya silaha nzitonzito za kijeshi kutoka Russia + SAUTI

    Oct 16, 2020 16:09

    Rais Faustin-Archange Touadéra wa Jamhuri ya Afrika ya Kati apokea shehena ya vifaru vya kivita na silaha zingine nzitonzito za kijeshi kutoka Russia licha ya nchi yake kuwekewa vikwazo vya silaha na Umoja wa Mataifa.

  • Rwanda yasikitishwa na mauaji ya askari wake Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Rwanda yasikitishwa na mauaji ya askari wake Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Jul 16, 2020 08:07

    Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF) limeeleza kusikitishwa kwake na mauaji ya askari wa kulinda amani wa nchi hiyo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS