-
Waasi wafanya mashambulio mawili dhidi ya mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jan 13, 2021 11:49Wanamgambo wa makundi ya waasi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati wamefanya mashambulio mawili alfajiri ya kuamkia leo katika viunga vya mji mkuu wa nchi hiyo Bangui kwa lengo la kuuteka mji huo.
-
Wapinzani Jamhuri ya Afrika ya Kati wapinga matokeo ya uchaguzi
Jan 06, 2021 08:19Wapinzani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wamepinga matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika hivi karibuni, wakidai ulikumbwa na dosari.
-
Rais Touadéra achaguliwa tena kuiongoza Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jan 05, 2021 07:13Rais Faustin-Archange Touadéra wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amechaguliwa tena kuiongoza nchi hiyo kwa kipindi kingine cha pili cha miaka mitano baada ya kutangazwa rasmi mshindi wa uchaguzi uliofanyika tarehe 27 Desemba.
-
Askari watatu wa kulinda amani kutoka Burundi wauawa Jamhuri ya Afrika ya Kati
Dec 26, 2020 07:26Askari watatu wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa ambao ni raia wa Burundi wameuawa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati huku mapigano yakishadidi katika nchi hiyo ambayo inajiandaa kwa uchaguzi mkuu hapo kesho.
-
Katibu Mkuu wa UN ataka kusitishwa uhasama katika Jamhuri ya Afrika ya Kati
Dec 20, 2020 02:45Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa uhasama katika Jamhuri ya Afrika Kati wakati huu nchi hiyo ikikaribia kufanya uchaguzi mkuu.
-
Umoja wa Mataifa waongeza muda wa MONUSCO kubakia DRC
Dec 20, 2020 02:44Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeongeza muda wa mwaka mmoja kwa tume yake ya kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, MONUSCO, kuendelea na shughuli zake nchini humo.
-
Machafuko yashtadi Jamhuri ya Afrika ya Kati katika kukaribia uchaguzi wa rais
Dec 19, 2020 12:15Kitendo cha kuungana makundi yanayobeba silaha katika kukaribia kufanyika uchaguzi wa rais huko Jamhuri ya Afrika ya Kati kimeibua wasiwasi mkubwa miongoni mwa wananchi.
-
Wagombea 13 wamejiandikisha kushiriki uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati utakaofanyika Desemba 27 + SAUTI
Nov 12, 2020 07:52Wagombea 13 wa kiti cha urais wamejiandikisha kushiriki uchaguzi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wa Desemba 27
-
Rais Touadéra wa CAR apokea shehena ya silaha nzitonzito za kijeshi kutoka Russia + SAUTI
Oct 16, 2020 16:09Rais Faustin-Archange Touadéra wa Jamhuri ya Afrika ya Kati apokea shehena ya vifaru vya kivita na silaha zingine nzitonzito za kijeshi kutoka Russia licha ya nchi yake kuwekewa vikwazo vya silaha na Umoja wa Mataifa.
-
Rwanda yasikitishwa na mauaji ya askari wake Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jul 16, 2020 08:07Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF) limeeleza kusikitishwa kwake na mauaji ya askari wa kulinda amani wa nchi hiyo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.