Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Afrika ya Kati

  • Umoja wa Mataifa walaani hujuma dhidi ya askari wake CAR

    Umoja wa Mataifa walaani hujuma dhidi ya askari wake CAR

    Jul 15, 2020 02:38

    Umoja wa Mataifa umelaani vikali hujuma iliyofanywa dhidi ya askari wake wa kulinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati ambayo imepelekea kuuawa askari mmoja wa kulinda amani raia wa Rwanda na wengine wawili kujeruhiwa.

  • Jamhuri ya Afrika ya Kati yapata misaada ya uchaguzi huku hofu ya COVID-19 ikitanda

    Jamhuri ya Afrika ya Kati yapata misaada ya uchaguzi huku hofu ya COVID-19 ikitanda

    Jun 17, 2020 11:02

    Shehena ya tatu ya vifaa vya uchaguzi imewasili Bangui mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR). Vifaa hivyo vimetolewa na Umoja wa Mataifa na wadau wake ukiwemo Muungano wa Ulaya, EU, na ni kwa ajili ya uchaguzi wa rais na wabunge uliopangwa kufanyika nchini humo mwezi Desemba mwaka huu.

  • Msalaba Mwekundu yaomba msaada wa kupambana na corona CAR + Sauti

    Msalaba Mwekundu yaomba msaada wa kupambana na corona CAR + Sauti

    Apr 15, 2020 17:55

    Shirika la Msalaba Mwekundu Jamhuri ya Afrika ya Kati limeyaomba mataifa ya dunia yalisaidie shirika hilo kupambana na maambukizi ya corona nchini humo. Mossi Mwasi na maelezo zaidi…

  •  UN yaafiki kuendelea vikwazo vya silaha dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    UN yaafiki kuendelea vikwazo vya silaha dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Feb 01, 2020 12:30

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio lilowasilishwa na Ufaransa la kuendelea kuwekewa vikwazo vya ununuzi wa silaha Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Makumi ya watu wauawa katika mapigano baina ya makundi hasimu CAR

    Makumi ya watu wauawa katika mapigano baina ya makundi hasimu CAR

    Jan 29, 2020 13:38

    Mapigano makali yaliyotokea baina ya makundi hasimu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) yamesababisha mauaji ya makumi ya watu na kuwalazimisha mamia ya wengine kukimbia nyumba zao.

  • Hali ya utulivu yarejea Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati baada ya mapigano + Sauti

    Hali ya utulivu yarejea Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati baada ya mapigano + Sauti

    Dec 27, 2019 15:48

    Hali ya utulivu imerejea katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bangui baada ya siku mbili za mapigano baina ya makundi mawili hasimu. Mapigano hayo yamesababisha zaidi ya watu 30 kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa. Mossi Mwasi na maelezo zaidi…

  • Watu wasiopungua 11 wauawa katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Watu wasiopungua 11 wauawa katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Dec 27, 2019 02:51

    Watu wasiopungua 11 wameuawa katika mapigano kati ya wanamgambo na wafanya biashara katika wilaya moja huko Bangui mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Mvua kubwa zazidi kusababisha maafa katika nchi mbalimbali za Afrika + Sauti

    Mvua kubwa zazidi kusababisha maafa katika nchi mbalimbali za Afrika + Sauti

    Oct 30, 2019 16:41

    Mvua kubwa zinazonyesha katika nchi za Afrika ya Kati hususan Cameroon na Jamhuri ya Afrika ya Kati zimesababisha maafa makubwa ya watu wengi kupoteza maisha yao na pia makazi. Kwa maelezo zaidi, tumtegee sikio mwandishi wetu wa Afrika ya Kati. Mosi Mwasi, akiripoti kutoka Brazzaville

  • Wanajeshi 3 waaga dunia katika ajali ya helikopta CAR

    Wanajeshi 3 waaga dunia katika ajali ya helikopta CAR

    Sep 28, 2019 11:53

    Askari watatu wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati (Minusca) wamepoteza maisha katika ajali ya ndege iliyotokea jana Ijumaa.

  • Nduli wawili wa Waislamu CAR wapandishwa kizimbani ICC + Sauti

    Nduli wawili wa Waislamu CAR wapandishwa kizimbani ICC + Sauti

    Sep 19, 2019 18:28

    Wababe wawili wa kivita wa kundi la Anti-Balaka la Jamhuri ya Afrika ya Kati wamefikishwa mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai za Kivita ICC huko Uholanzi kujibu tuhuma za jinai za kivita na zilizo dhidi ya binadamu walizozifanya nchini mwao kati ya mwaka 2013 na 2014 wakati mapigano ya ndani Jamhuri ya Afrika ya Kati yalipopamba moto. Mwandishi wetu Mosi Mwassi na maelezo zaidi…

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS