-
Rwanda yasikitishwa na mauaji ya askari wake Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jul 16, 2020 03:37Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF) limeeleza kusikitishwa kwake na mauaji ya askari wa kulinda amani wa nchi hiyo katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Umoja wa Mataifa walaani hujuma dhidi ya askari wake CAR
Jul 14, 2020 22:08Umoja wa Mataifa umelaani vikali hujuma iliyofanywa dhidi ya askari wake wa kulinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati ambayo imepelekea kuuawa askari mmoja wa kulinda amani raia wa Rwanda na wengine wawili kujeruhiwa.
-
Jamhuri ya Afrika ya Kati yapata misaada ya uchaguzi huku hofu ya COVID-19 ikitanda
Jun 17, 2020 06:32Shehena ya tatu ya vifaa vya uchaguzi imewasili Bangui mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR). Vifaa hivyo vimetolewa na Umoja wa Mataifa na wadau wake ukiwemo Muungano wa Ulaya, EU, na ni kwa ajili ya uchaguzi wa rais na wabunge uliopangwa kufanyika nchini humo mwezi Desemba mwaka huu.
-
Msalaba Mwekundu yaomba msaada wa kupambana na corona CAR + Sauti
Apr 15, 2020 13:25Shirika la Msalaba Mwekundu Jamhuri ya Afrika ya Kati limeyaomba mataifa ya dunia yalisaidie shirika hilo kupambana na maambukizi ya corona nchini humo. Mossi Mwasi na maelezo zaidi…
-
UN yaafiki kuendelea vikwazo vya silaha dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati
Feb 01, 2020 09:00Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio lilowasilishwa na Ufaransa la kuendelea kuwekewa vikwazo vya ununuzi wa silaha Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Makumi ya watu wauawa katika mapigano baina ya makundi hasimu CAR
Jan 29, 2020 10:08Mapigano makali yaliyotokea baina ya makundi hasimu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) yamesababisha mauaji ya makumi ya watu na kuwalazimisha mamia ya wengine kukimbia nyumba zao.
-
Hali ya utulivu yarejea Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati baada ya mapigano + Sauti
Dec 27, 2019 12:18Hali ya utulivu imerejea katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bangui baada ya siku mbili za mapigano baina ya makundi mawili hasimu. Mapigano hayo yamesababisha zaidi ya watu 30 kuuawa na wengine wengi kujeruhiwa. Mossi Mwasi na maelezo zaidi…
-
Watu wasiopungua 11 wauawa katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati
Dec 26, 2019 23:21Watu wasiopungua 11 wameuawa katika mapigano kati ya wanamgambo na wafanya biashara katika wilaya moja huko Bangui mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
Mvua kubwa zazidi kusababisha maafa katika nchi mbalimbali za Afrika + Sauti
Oct 30, 2019 13:11Mvua kubwa zinazonyesha katika nchi za Afrika ya Kati hususan Cameroon na Jamhuri ya Afrika ya Kati zimesababisha maafa makubwa ya watu wengi kupoteza maisha yao na pia makazi. Kwa maelezo zaidi, tumtegee sikio mwandishi wetu wa Afrika ya Kati. Mosi Mwasi, akiripoti kutoka Brazzaville
-
Wanajeshi 3 waaga dunia katika ajali ya helikopta CAR
Sep 28, 2019 08:23Askari watatu wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati (Minusca) wamepoteza maisha katika ajali ya ndege iliyotokea jana Ijumaa.