Mvua kubwa zazidi kusababisha maafa katika nchi mbalimbali za Afrika + Sauti
(last modified Wed, 30 Oct 2019 16:41:21 GMT )
Oct 30, 2019 16:41 UTC

Mvua kubwa zinazonyesha katika nchi za Afrika ya Kati hususan Cameroon na Jamhuri ya Afrika ya Kati zimesababisha maafa makubwa ya watu wengi kupoteza maisha yao na pia makazi. Kwa maelezo zaidi, tumtegee sikio mwandishi wetu wa Afrika ya Kati. Mosi Mwasi, akiripoti kutoka Brazzaville