Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • WHO: Ebola inaenea katika maeneo mapya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    WHO: Ebola inaenea katika maeneo mapya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Jun 13, 2026 02:37

    Shirika la Afya Duniani (WHO) jana Ijumaa lilitangaza kuwa mlipuko wa Ebola kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo sasa unaenea katika maeneo mapya.

  • DRC: Visa vilivyothibitishwa vya Ebola vinakaribia 600

    DRC: Visa vilivyothibitishwa vya Ebola vinakaribia 600

    Jun 11, 2026 11:32

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kwamba idadi ya visa vilivyothibitishwa vya Ebola imepanda na kukaribia 600, huku kukiendelezwa uhamasishaji miongoni mwa wananchi kuhusu umuhimu wa kuchukua hatua za kujikinga.

  • Kliniki katika kitovu cha Ebola nchini DR Congo 'yazidiwa' na wagonjwa

    Kliniki katika kitovu cha Ebola nchini DR Congo 'yazidiwa' na wagonjwa

    Jun 06, 2026 11:10

    Ripoti zinasema kuwa, hospitali katika eneo lililoathiriwa na Ebola la Bunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imejaa idadi kubwa ya wagonjwa wa Ebola.

  • Waasi wa ADF wanaofungamana na ISIS waua watu 21 DRC

    Waasi wa ADF wanaofungamana na ISIS waua watu 21 DRC

    Jun 05, 2026 02:53

    Idadi ya vifo kufuatia shambulio lililofanywa na waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF), kundi la waasi lenye misimamo mikali lililoanzia Uganda, imefikia 21 katika mji wa Mbau, ulioko mkoa wa Kivu Kaskazini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo).

  • Wanawake wako katika hatari kubwa ya kuathiriwa na mlipuko wa Ebola Kongo

    Wanawake wako katika hatari kubwa ya kuathiriwa na mlipuko wa Ebola Kongo

    Jun 01, 2026 11:44

    Wakati Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ikiendelea na mapambano dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola, wanawake nchini humo wametajwa kuwa kundi lililo kwenye hatari ya kuambukizwa ugonjwa huo unaosababishwa na virusi.

  • MSF yaonya: Mlipuko wa Ebola DR Congo ni wa kutisha sana

    MSF yaonya: Mlipuko wa Ebola DR Congo ni wa kutisha sana

    May 31, 2026 12:45

    Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeonya kwamba mlipuko wa Ebola katika Mkoa wa Ituri nchini Kongo DR unaenea kwa kasi kubwa zaidi kuliko juhudi za kukabiliana na ugonjwa huo, huku Shirika la Afya Duniani (WHO) ikifuatilia ongezeko la dharura ya afya ya umma sambamba na kuwepo mamia ya visa vinavyoshukiwa kuwa vya Ebola.

  • WHO yakadiria kiwango cha vifo vya Ebola kufikia asilimia 30-50 wakati mkuu wake akizuru DRC

    WHO yakadiria kiwango cha vifo vya Ebola kufikia asilimia 30-50 wakati mkuu wake akizuru DRC

    May 30, 2026 03:34

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa kiwango cha vifo katika mripuko wa sasa wa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ni kati ya asilimia 30 na 50, huku mkuu wa shirika hilo akizuru nchi hiyo kusaidia juhudi za kuudhibiti ugonjwa huo hatari.

  • Wizara ya Afya ya Kongo: Idadi ya watu wanaoshukiwa kuambukizwa Ebola imepindukia 1,000

    Wizara ya Afya ya Kongo: Idadi ya watu wanaoshukiwa kuambukizwa Ebola imepindukia 1,000

    May 29, 2026 03:01

    Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kuwa idadi ya watu wanaoshukiwa kuwa na Ebola nchini humo imepindukia 1,000 huku kukiwa na ongezeko la maambukizi katika majimbo ya mashariki mwa nchi hiyo.

  • Watu wenye hasira washambulia kituo cha matibabu ya Ebola mashariki mwa Kongo

    Watu wenye hasira washambulia kituo cha matibabu ya Ebola mashariki mwa Kongo

    May 22, 2026 14:38

    Waandamanaji waliokuwa na hasira wameshambulia na kuchoma moto mahema kadhaa katika kituo cha matibabu ya Ebola katika jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wakati wakijaribu kudai miili ya jamaa zao waliofariki dunia kwa ugonjwa huo.

  • Ebola imeua watu  139, wengine 600 wameambukizwa DRC na Uganda

    Ebola imeua watu 139, wengine 600 wameambukizwa DRC na Uganda

    May 21, 2026 12:56

    Takriban wagonjwa 600 sasa wanashukiwa kuwa na Ebola na vifo 139 vikishukiwa kusababishwa na ugonjwa huo hali inayoongeza hofu ya kuenea zaidi kwa mlipuko wa sasa wa Ebola.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS