Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • MONUSCO yawarejesha nyumbani waasi 15 wa zamani wa Rwanda kutoka Kongo

    MONUSCO yawarejesha nyumbani waasi 15 wa zamani wa Rwanda kutoka Kongo

    Jan 28, 2026 07:30

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO) kimeripoti kuwa kimewarejesha nyumbani Wanyarwanda 34, wakiwemo wapiganaji 15 wa zamani wa kundi la waasi la Democratic Forces for the Liberation of Rwanda (FDLR).

  • Makumi ya watu wauawa DRC na magaidi wenye mfungamano na ISIS

    Makumi ya watu wauawa DRC na magaidi wenye mfungamano na ISIS

    Jan 27, 2026 02:53

    Wanamgambo wanaohusishwa na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) wamewaua raia wasiopungua 22 katika kijiji kimoja katika mkoa wa Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kwa mujibu wa ripoti ya Umoja wa Mataifa na viongozi wa asasi za kiraia.

  • Jeshi la Kongo laukomboa mji wa mashariki wa Uvira kutoka kwa waasi wa M23

    Jeshi la Kongo laukomboa mji wa mashariki wa Uvira kutoka kwa waasi wa M23

    Jan 20, 2026 07:17

    Vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimeudhibiti tena mji wa mashariki wa Uvira baada ya waasi wa kundi la M23 kuondoka katika mji huo.

  • Maporomoko ya udongo mashariki mwa Kongo yauwa takriban watu 13

    Maporomoko ya udongo mashariki mwa Kongo yauwa takriban watu 13

    Jan 14, 2026 03:07

    Takriban watu 13 wamepoteza maisha kufuatia maporomoko ya udongo yaliyotokea mashariki mwa Kongo mapema jana Jumanne. Watu wengien zaidi ya 30 hawajulikani waliko hadi sasa.

  • Mapigano mapya yaripotiwa kati ya vikosi vya DRC na waasi wa M23 karibu na mji muhimu wa Uvira

    Mapigano mapya yaripotiwa kati ya vikosi vya DRC na waasi wa M23 karibu na mji muhimu wa Uvira

    Jan 03, 2026 12:11

    Mapigano makali yamejiri leo Jumamosi kati ya waasi wa wenye silaha wa kundi la M23 na vikosi vinavyoiunga mkono serikali ya Kinshasa katika miji kadhaa karibu na mji wa Uvira, mashariki mwa DR Congo, vyanzo vya ndani vilisema.

  • DRC: Watu 1,500 wameuawa mashariki mwa nchi

    DRC: Watu 1,500 wameuawa mashariki mwa nchi

    Jan 02, 2026 02:47

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema zaidi ya raia 1,500 wameuawa katika ghasia zinazoendelea katika jimbo la Kivu Kusini, mashariki mwa nchi hiyo tangu mapema mwezi Desemba, 2025 mpaka sasa.

  • Ukatili wa kingono dhidi ya watoto nchini Kongo umekithiri na ni wa kimfumo

    Ukatili wa kingono dhidi ya watoto nchini Kongo umekithiri na ni wa kimfumo

    Jan 01, 2026 02:25

    Ukatili wa kingono dhidi ya watoto limekuwa jambo la kawaida, la kimfumo na unazidi kuongezeka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Hii ni kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF).

  • Msimamo wa Uingereza dhidi ya wahamiaji wa DRC; kwa nini London inashadidisha mashinikizo dhidi ya nchi za Kiafrika?

    Msimamo wa Uingereza dhidi ya wahamiaji wa DRC; kwa nini London inashadidisha mashinikizo dhidi ya nchi za Kiafrika?

    Dec 29, 2025 06:58

    Uingereza imeibua wimbi kubwa la mijibizo na malalamiko ya ndani na ya kimataifa kwa hatua yake ya kuweka vizuizi vya viza na kupitisha mageuzi makali kwa utoaji hifadhi ya ukimbizi.

  • Waasi wa M23 wamebaki Uvira licha ya kutangaza kuwa tayari kuondoka katika mji huo

    Waasi wa M23 wamebaki Uvira licha ya kutangaza kuwa tayari kuondoka katika mji huo

    Dec 18, 2025 07:25

    Waasi wa kundi la M23 hawajaondoka katika mji wa Uvira mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo licha ya mapema wiki hii kutangaza kuwa wataondoka katika mji huo.

  • M23 yaendelea kuwashikilia mamia ya askari wa Burundi

    M23 yaendelea kuwashikilia mamia ya askari wa Burundi

    Dec 16, 2025 04:06

    Kundi la waasi wa M23 linalodaiwa kuungwa mkono na Rwanda limewakamata mamia ya wanajeshi wa Burundi wakati wa mashambulizi yake ya hivi punde mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, afisa wa kundi hilo amesema, huku mapigano yakiendelea mashariki mwa DRC.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS