Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • DRC, M23 zasaini makubaliano ya kubuni utaratibu wa usitishaji mapigano

    DRC, M23 zasaini makubaliano ya kubuni utaratibu wa usitishaji mapigano

    Oct 15, 2025 11:42

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kundi la waasi la M23 wametia saini makubaliano mjini Doha ya kuanzisha utaratibu wa ufuatiliaji na uhakiki wa usitishaji mapigano, chini ya upatanishi wa Qatar.

  • ICRC: Mgogoro wa afya Kongo DR unazidi kuwa mbaya

    ICRC: Mgogoro wa afya Kongo DR unazidi kuwa mbaya

    Oct 09, 2025 03:11

    Mfumo wa huduma za afya katika eneo linalokumbwa na migogoro mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) umezorota kwa kiasi kikubwa, huku vituo vingi vya matibabu vikiwa na uhaba mkubwa wa dawa na wafanyakazi, Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) imeonya katika taarifa yake ya jana Jumatano.

  • Mripuko wa Ebola: Kesi kumi na moja zathibitishwa nchini Kongo

    Mripuko wa Ebola: Kesi kumi na moja zathibitishwa nchini Kongo

    Sep 26, 2025 02:29

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inakabiliana na mripuko mpya wa ugonjwa wa Ebola, huku maafisa wa afya wakithibitisha kesi kumi na moja za ziada katika Ukanda wa Afya wa Bulape katika Mkoa wa Kasai.

  • Waasi wa M23 wauteka tena mji wa Shoa katika jimbo la Kivu kaskazini

    Waasi wa M23 wauteka tena mji wa Shoa katika jimbo la Kivu kaskazini

    Sep 08, 2025 07:32

    Waasi wa kundi la M23 jana waliuteka tena mji wa Shoa katika jimbo la Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya mapigano na wanajeshi wanaoiunga mkono serikali ya Kinshasa.

  • DRC yatangaza mripuko wa 16 wa Ebola; WHO yatoa indhari

    DRC yatangaza mripuko wa 16 wa Ebola; WHO yatoa indhari

    Sep 05, 2025 10:38

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza mripuko mpya wa Ebola katika jimbo la kati la Kasai, ambalo ni la 16 nchini humo tangu 1976, huku Shirika la Afya Duniani (WHO) likitahadharisha kuwa huenda maambukizi ya maradhi hayo yakaongezeka.

  • Kinshasa na M23 waanza tena mazungumzo Qatar katika juhudi za kutekeleza makubaliano ya kusitisha vita

    Kinshasa na M23 waanza tena mazungumzo Qatar katika juhudi za kutekeleza makubaliano ya kusitisha vita

    Aug 27, 2025 10:49

    Duru mpya ya mazungumzo kati ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi wa M23 inaendelea katika mji mkuu wa Qatar, Doha. Pande hizo mbili zinatazamia kufikia makubaliano juu ya namna ya kutekeleza mapatano waliyosaini mwezi uliopita kwa upatanishi wa Qatar.

  • Mwendesha mashtaka wa DRC ataka Kabila ahukumiwe kifo

    Mwendesha mashtaka wa DRC ataka Kabila ahukumiwe kifo

    Aug 23, 2025 06:15

    Mwendesha mashtaka wa kijeshi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametoa mwito wa kutolewa hukumu ya kifo dhidi ya rais wa zamani wa nchi hiyo, Joseph Kabila ambaye mashitaka dhidi yake yanaendelea bila ya yeye kuwepo mahakamani.

  • Amnesty International: Haki za binadamu zimekiukwa mashariki mwa Kongo

    Amnesty International: Haki za binadamu zimekiukwa mashariki mwa Kongo

    Aug 22, 2025 02:12

    Shirika la Msamaha Duniani, Amnesty International, limezituhumu pande zinazozozana mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa kufanya ukiukwaji wa kutisha wa haki za binadamu ikiwa ni pamoja na vitendo vya kubaka kwa umati, mauaji ya kiholela na utekaji nyara.

  • HRW: Waasi wa M23 wameuwa raia zaidi ya 140 mashariki mwa Kongo

    HRW: Waasi wa M23 wameuwa raia zaidi ya 140 mashariki mwa Kongo

    Aug 20, 2025 11:58

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeeleza hii leo kuwa waasi wa kundi la M23 limeuwa raia zaidi ya 140 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Matumaini ya kupatikana suluhisho la kisiasa baina ya serikali ya Kongo DR na M23 yaongezeka

    Matumaini ya kupatikana suluhisho la kisiasa baina ya serikali ya Kongo DR na M23 yaongezeka

    Aug 19, 2025 03:04

    Matarajio ya kufikiwa suluhisho la amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yameongeka baada ya miongo kadhaa ya vita vya kikatili mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS