Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Matumaini ya kupatikana suluhisho la kisiasa baina ya serikali ya Kongo DR na M23 yaongezeka

    Matumaini ya kupatikana suluhisho la kisiasa baina ya serikali ya Kongo DR na M23 yaongezeka

    Aug 19, 2025 03:04

    Matarajio ya kufikiwa suluhisho la amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yameongeka baada ya miongo kadhaa ya vita vya kikatili mashariki mwa nchi hiyo.

  • Qatar: Tumezikabidhi DRC, M23 rasimu ya makubaliano ya amani

    Qatar: Tumezikabidhi DRC, M23 rasimu ya makubaliano ya amani

    Aug 18, 2025 06:44

    Qatar imetangaza habari ya kukabidhi rasimu ya makubaliano ya amani kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kundi la waasi la M23, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa amani unaoendelea Doha, vyombo vya habari vya DRC viliripoti hayo jana Jumapili, vikimnukuu afisa wa Qatar.

  • DRC yapinga kupelekwa balozi mdogo wa Kenya mjini Goma

    DRC yapinga kupelekwa balozi mdogo wa Kenya mjini Goma

    Aug 17, 2025 11:37

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imepinga hatua ya Kenya ya kumteua balozi mdogo anayetazamiwa kutumwa katika mji wa Goma ulioko mashariki mwa DRC, ikiuelezea uamuzi huo kuwa "usiofaa".

  • Waasi wa M23 wateka vijiji viwili Kongo na kuhatarisha makubaliano ya Doha

    Waasi wa M23 wateka vijiji viwili Kongo na kuhatarisha makubaliano ya Doha

    Jul 30, 2025 07:50

    Waasi wa M23 wameteka vijiji viwili katika eneo la Masisi katika jimbo la Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, licha ya makubaliano ya amani waliyosainiwa hivi karibuni huko Qatar.

  • Rwanda: Makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya M23 na DRC ni

    Rwanda: Makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya M23 na DRC ni "hatua muhimu"

    Jul 20, 2025 07:56

    Rwanda jana ilipongeza kutiwa saini mjini Doha kwa tamko la kanuni kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na muungano wa makundi mbalimbali ya waasi unaolijumuisha kundi la waasi la M23 na kulitaja kuwa ni hatua muhimu kuelekea katika utatuzi wa amani wa mzozo wa mashariki mwa Kongo.

  • Wawakilishi wa Serikali ya DRC na M23 wawasili Qatar kwa mazungumzo

    Wawakilishi wa Serikali ya DRC na M23 wawasili Qatar kwa mazungumzo

    Jul 10, 2025 06:13

    Wawakilishi wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na kundi la waasi la M23 wamewasili katika mji mkuu wa Qatar, Doha kwa mazungumzo mapana kuhusu makubaliano. Hayo yameelezwa na mwanadiplomasia mmoja anayefahamu yanayojiri kuhusu mazungumzo hayo.

  • Rais wa Kongo DR ataka haki itendeke mkabala wa jinai zilizotekelezwa mashariki mwa nchi hiyo

    Rais wa Kongo DR ataka haki itendeke mkabala wa jinai zilizotekelezwa mashariki mwa nchi hiyo

    Jul 01, 2025 12:26

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameeleza kuwa serikali yake itaendelea kuwa imara katika kudai haki za wahanga wa jinai zilizofanywa mashariki mwa nchi hiyo, licha ya makubaliano ya amani yaliyotiwa saini hivi karibuni kati ya nchi hiyo na Rwanda.

  • Jumatatu, 30 Juni, 2025

    Jumatatu, 30 Juni, 2025

    Jun 30, 2025 02:15

    Leo ni Jumatatu 04 Mfunguo Nne Muharram 1447 Hijria mwafaka na 30 Juni 2025.

  • Waliokufa maji katika ajali za boti 2 DRC wapindukia 50

    Waliokufa maji katika ajali za boti 2 DRC wapindukia 50

    Jun 14, 2025 07:03

    Watu wasiopungua 52 wamethibitishwa kufariki dunia huku wengine kadhaa wakitoweka baada ya boti mbili za abiria kuzama kwenye maji ya Ziwa Tumba, magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Kabila: Mfumo wa sheria wa DRC unavunda

    Kabila: Mfumo wa sheria wa DRC unavunda

    May 24, 2025 07:47

    Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Joseph Kabila jana Ijumaa ameshutumu vikali mfumo wa sheria wa nchi hiyo ya Afrika ya Kati, akisema kuwa umeoza kutokana na uendeshaji mbaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS