-
Kongo yashindwa kuzuia mlipuko wa ugonjwa wa Mpox
Mar 13, 2025 02:21Wiki sita baada ya waasi wanaoungwa mkono na Rwanda kuteka miji miwili mikubwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, eneo hilo linakabiliwa na hali mbaya katika mapambano yake dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa mpox.
-
Kwa nini Marekani inataka kuwekeza katika sekta ya madini nchini Kongo DR?
Mar 12, 2025 12:32Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Marekani zinapanga kushirikiana katika mapatano ya kiuchumi na kisiasa.
-
Kongo: Tutatoa kitita cha dola milioni 5 kwa atayesadia kutiwa nguvuni viongozi wa waasi
Mar 10, 2025 02:29Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetenga donge nono la dola milioni 5 kwa yeyote atakayesaidia kukamatwa kwa viongozi watatu wa kundi la waasi ambalo limeteka sehemu kubwa ya mashariki mwa nchi hiyo mwaka huu.
-
Mlipuko wa ugonjwa wa Mpox waukumba mji wa Kabare huku mzozo ukiendelea DRC
Mar 09, 2025 02:37Mji wa Kabare, unaopatikana katika jimbo la Kivu Kusini umeathiriwa na mlipuko mkali wa ugonjwa wa Mpox, ugonjwa ambao kimsingi huambukizwa kupitia mgusano wa karibu wa ngozi hadi ngozi.
-
Takriban watu 11 wameuawa na 65 kujeruhiwa katika milipuko 2 kwenye maandamano ya M23 huko Bukavu
Feb 28, 2025 07:34Mabomu mawili yalilipuka siku ya jana Alhamisi kwenye maandamano ya waasi wa M23 huko Bukavu, mji uliotekwa na makundi yenye silaha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na kuua takriban watu 11 na kujeruhi 65.
-
Mgogoro mashariki mwa DRC waathiri zaidi ya wanafunzi milioni 1
Feb 27, 2025 11:02Kuongezeka kwa mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambapo waasi wa M23 wameshadidisha mashambulizi dhidi ya vikosi vya serikali, kumesababisha shule 2,594 kufungwa.
-
Hujuma za waasi mashariki mwa Kongo zimeuwa watu 7,000 mwaka huu
Feb 25, 2025 02:30Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema kuwa watu zaidi ya elfu saba wameuawa mwaka huu wakati waasi wa kundi la M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wakiteka miji kadhaa katika eneo lenye utajiri wa madini mashariki mwa Kongo.
-
Rais Tshisekedi anapanga kuunda serikali ya umoja wa kitaifa
Feb 24, 2025 03:04Rais wa Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo anatazamiwa kuzindua serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo. Tina Salama, msemaji wa Ofisi ya Rais wa Kongo amesema, Rais Tshisekedi ataunda serikali ya umoja wa kitaifa na kufanya mabadiliko ya uongozi katika muungano tawala wa nchi hiyo.
-
Mzozo wa DRC: Bunge la Rwanda lalaani azimio la EU dhidi yake
Feb 22, 2025 11:58Bunge la Rwanda limekosoa vikali azimio lililopasishwa hivi karibuni na Bunge la Ulaya, likidai kuwa Rwanda linahusika na mzozo na machafuko yanayoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Waasi wa M23 waingia Bukavu baada ya kutwaa uwanja wa ndege
Feb 15, 2025 07:12Waasi wa M23 wametangaza habari ya kuingia katika jiji la Bukavu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.