Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Ugonjwa 'usiojulikana' waua makumi ya watu DRC; mapigano yanaendelea

    Ugonjwa 'usiojulikana' waua makumi ya watu DRC; mapigano yanaendelea

    Feb 14, 2025 12:10

    Ugonjwa usiojulikana umeua watu zaidi ya 50 katika eneo la Bansakusu, jimbo la Equateur, magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • UN: Maelfu ya raia Kongo wahama makazi yao baada ya M23 kutoa muhula wa masaa 72

    UN: Maelfu ya raia Kongo wahama makazi yao baada ya M23 kutoa muhula wa masaa 72

    Feb 12, 2025 09:20

    Waasi wa M23 wanaodhibiti miji ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefunga kwa nguvu kambi za makazi za raia na kuwalazimisha zaidi ya watu 110,000 kuhama makazi yao katika siku za hivi karibuni. Haya yameelezwa na Umoja wa Mataifa.

  • Bunge la Afrika Mashariki lasimamisha vikao vyake kwa muda usiojulikana kwa sababu za kifedha

    Bunge la Afrika Mashariki lasimamisha vikao vyake kwa muda usiojulikana kwa sababu za kifedha

    Feb 10, 2025 07:00

    Bunge la nchi za Afrika Mashariki, EALA limetangaza kuwa limesimamisha vikao vyake kwa muda usiojulikana kutokana na changamoto za kifedha, zilizosababishwa na baadhi ya nchi wanachama kushindwa kulipa michango yao ya fedha.

  • Jumuiya za SADC na EAC zataka kusitishwa mapigano Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Jumuiya za SADC na EAC zataka kusitishwa mapigano Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Feb 09, 2025 03:25

    Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki na ile ya nchi za kusini mwa Afrika, SADC wametoa mwito wa kusitishwa mara moja mapigano mashariki mwa Jamhuuri ya Kidemokkrasia ya Congo.

  • Maafisa wa SADC na EAC watilia mkazo kusitishwa mapigano mashariki mwa Kongo

    Maafisa wa SADC na EAC watilia mkazo kusitishwa mapigano mashariki mwa Kongo

    Feb 08, 2025 07:49

    Maafisa wa ngazi ya juu kutoka mataifa ya Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika jana walitilia mkazo kusitishwa mara moja mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuzitaka pande zote husika kutoa kipaumbele kwa suala la kufanya mazungumzo ili kuupatia ufumbuzi mgogoro uliopo.

  • UN: Hali ya kibinadamu huko Goma bado ni mbaya licha ya kusimamishwa mapigano

    UN: Hali ya kibinadamu huko Goma bado ni mbaya licha ya kusimamishwa mapigano

    Feb 07, 2025 02:39

    Hospitali katika mji mkubwa wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Goma, zinatatizika kutibu mamia ya wagonjwa waliojeruhiwa, huku baadhi wakiripoti uhaba wa dawa siku chache baada ya kundi la waasi la M23 kutangaza kusitisha mapigano kwa upande mmoja.

  • Mahakama ya Kijeshi ya DRC yatoa hati ya kukamatwa Corneille Nangaa

    Mahakama ya Kijeshi ya DRC yatoa hati ya kukamatwa Corneille Nangaa

    Feb 06, 2025 11:17

    Mahakama ya Kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imetoa hati ya kukamatwa kwa Corneille Nangaa, mkuu wa makundi ya waasi wa mashariki mwa nchi hiyo, ikimtuhumu kwa kushindwa kuzuia vitendo vya utesaji chini ya mamlaka yake.

  • Uganda yatuma askari 1,000 zaidi mashariki mwa DRC

    Uganda yatuma askari 1,000 zaidi mashariki mwa DRC

    Feb 05, 2025 02:40

    Uganda imeripotiwa kutuma wanajeshi zaidi ya 1,000 wa ziada huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndani ya wiki moja iliyopita, karibu na eneo ambalo wanajeshi wa serikali ya Kinshasa wanapambana na waasi wa M23.

  • Muungano wa waasi wa mashariki mwa Kongo likiwemo kundi la M23 watangaza kusitisha mapigano

    Muungano wa waasi wa mashariki mwa Kongo likiwemo kundi la M23 watangaza kusitisha mapigano

    Feb 04, 2025 07:30

    Muungano kwa jina la The Alliance Fleuve Congo; muungano wa waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unaolijumuisha pia kundi la waasi wa M23 umetangaza kusitisha mapigano kuanzia leo Jumanne Februari 4.

  • Utulivu wa kulegalega washuhudiwa Goma; Mapigano yapungua mashariki mwa DRC

    Utulivu wa kulegalega washuhudiwa Goma; Mapigano yapungua mashariki mwa DRC

    Feb 02, 2025 07:45

    Ripoti mbalimbali zinaeleza kuwa licha ya kurejea utulivu wa kiwango fulani katika mji wa Goma, makao makuu ya jimbo la Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mashirika ya misaada ya kibinadamu yameonya juu ya kushtadi hali ya mambo huku hospitali zikizidiwa na wagonjwa, uhaba wa vifaa muhimu vya tiba ukishuhudiwa na miili ya watu waliouawa ikiendelea kuonekana mitaani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS