Jan 14, 2024 07:40
Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambacho kimesaidia katika vita dhidi ya waasi kwa zaidi ya miongo miwili sasa, kitaondoka kikamilifu nchini humo ifikapo mwezi Disemba mwaka huu.