• Watu 8 wauawa katika shambulizi mashariki mwa Kongo DR

    Watu 8 wauawa katika shambulizi mashariki mwa Kongo DR

    Jan 08, 2019 11:09

    Kwa akali raia wanane wameuawa baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia kijiji kimoja mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Uchaguzi DRC; CENI yatetea uamuzi wa kuakhirisha matokeo ya muda

    Uchaguzi DRC; CENI yatetea uamuzi wa kuakhirisha matokeo ya muda

    Jan 06, 2019 04:46

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (CENI) imetetea uamuzi wake wa kuchelewesha matokeo ya muda ya uchaguzi wa rais uliofanyika Jumapili ya wiki iliyopita, ikisisitiza kuwa kufikia sasa haijaweza kuhesabu hata nusu ya kura zilizopigwa.

  • Hali ya wasiwasi yatanda DRC kabla ya matokeo ya uchaguzi

    Hali ya wasiwasi yatanda DRC kabla ya matokeo ya uchaguzi

    Jan 05, 2019 12:02

    Hali imeripotiwa kuwa tete katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Jumamosi hii, ikiwa yamesalia masaa machache kabla ya kutangazwa matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu wa wiki iliyopita.

  • Marekani yatumia kisingizio cha uchaguzi wa DRC kutuma askari Gabon

    Marekani yatumia kisingizio cha uchaguzi wa DRC kutuma askari Gabon

    Jan 05, 2019 04:20

    Rais Donald Trump amesema Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imetuma makumi ya askari wa nchi hiyo nchini Gabon, kwa ajili ya eti kuwalinda Wamarekani na ubalozi wa nchi hiyo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kufuatia uchaguzi mkuu wa wiki iliyopita katika nchi hiyo kubwa ya katikati mwa Afrika.

  • Viongozi wa kidini wataka kuheshimiwa matokeo ya kura DRC + Sauti

    Viongozi wa kidini wataka kuheshimiwa matokeo ya kura DRC + Sauti

    Jan 05, 2019 02:44

    Viongozi wa kidini wakiwemo wa Kanisa Katoliki huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya nchi hiyo kuheshimu matokeo ya kura na kumtangaza mshindi haraka iwezekanavyo. Mossi Mwasi na maelezo zaidi...

  • CENI: Matokeo ya muda ya uchaguzi wa DRC huenda yakacheleweshwa

    CENI: Matokeo ya muda ya uchaguzi wa DRC huenda yakacheleweshwa

    Jan 03, 2019 11:52

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo CENI imesema yumkini italazimika kuchelewesha matokeo ya muda ya uchaguzi wa rais uliofanyika Jumapili iliyopita kutokana na sababu za kiufundi.

  • Zoezi la kuhesabu kura laendelea DRC, wapinzani walalamika + Sauti

    Zoezi la kuhesabu kura laendelea DRC, wapinzani walalamika + Sauti

    Jan 03, 2019 04:27

    Huku zoezi la kuhesabu kura likiendelea katika maeneo mbalimbali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, vyama vya upinzani vimekosoa mchakato huo baada ya kuripotiwa habari za kutupwa karatasi za kupigia kura za mgombea wa upinzani katika baadhi ya maeneo. Mossi Mwasi na maelezo zaidi...

  • SADC yaubariki uchaguzi wa Kongo DR licha ya ghasia na malalamiko

    SADC yaubariki uchaguzi wa Kongo DR licha ya ghasia na malalamiko

    Jan 02, 2019 23:42

    Huku zoezi la kuhesabu kura likiendelea katika maeneo mbalimbali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, timu ya waangalizi wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imesema uchaguzi mkuu wa Jumapili iliyopita nchini humo ulifanyika vizuri kwa kiasi kikubwa.

  • Msalaba Mwekundu: Mamia ya Wakongomani wamekimbilia Uganda

    Msalaba Mwekundu: Mamia ya Wakongomani wamekimbilia Uganda

    Jan 02, 2019 11:46

    Shirika la Msalaba Mwekundu limesema mamia ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekimbilia nchini Uganda baada ya kufanyika uchaguzi mkuu wa Jumapili iliyopita.

  • Zoezi la kuhesabu kura laendelea DRC

    Zoezi la kuhesabu kura laendelea DRC

    Jan 02, 2019 04:16

    Zoezi la kuhesabu kura linaendelea katika maeneo mbalimbali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo huku huduma ya intaneti na ujumbe mfupi wa simu za mkononi (SMS) zikiwa bado zimekatwa kote nchini humo.