MONUSCO yatuma askari zaidi katika kijiji cha Yumbi DRC + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i51187-monusco_yatuma_askari_zaidi_katika_kijiji_cha_yumbi_drc_sauti
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo MONUSCO umetuma askari zaidi katika kijiji cha Yumbi mkoani Maindombe, kaskazini magharibi mwa mji mkuu Kinshasa mahali palipotokea mapigano ya kikabila mwishoni mwa mwezi Disemba mwaka jana. Mossi Mwassi na maelezo zaidi...
(last modified 2026-01-14T08:12:18+00:00 )
Jan 28, 2019 23:00 UTC

Ujumbe wa Umoja wa Mataifa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo MONUSCO umetuma askari zaidi katika kijiji cha Yumbi mkoani Maindombe, kaskazini magharibi mwa mji mkuu Kinshasa mahali palipotokea mapigano ya kikabila mwishoni mwa mwezi Disemba mwaka jana. Mossi Mwassi na maelezo zaidi...