Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Kipindupindu chauwa watu 50 Kongo katika muda wa wiki moja

    Kipindupindu chauwa watu 50 Kongo katika muda wa wiki moja

    Nov 19, 2017 12:40

    Mratibu wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ugonjwa wa Kipindupindu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametangaza kuwa watu 50 wamefariki dunia nchini humo baada ya kuambukizwa ugonjwa huo katika muda wa wiki moja.

  • Polisi ya Kongo DR yawafyatulia risasi wapinzani na kujeruhi kadhaa kati yao Kinshasa

    Polisi ya Kongo DR yawafyatulia risasi wapinzani na kujeruhi kadhaa kati yao Kinshasa

    Nov 19, 2017 00:55

    Jeshi la polisi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetumia mtutu wa chuma kuwafyatulia risasi wafuasi wa upinzani dhidi ya Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo, na kupelekea watu kadhaa kujeruhiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kinshasa.

  • Tahadhari ya kuuawa wanajeshi zaidi kaskazini mashariki mwa DRC

    Tahadhari ya kuuawa wanajeshi zaidi kaskazini mashariki mwa DRC

    Nov 17, 2017 00:42

    Mkuu wa jumuiya moja ya kijamii ya kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametahadharisha kuhusu kuongezeka mauaji ya wanajeshi wa nchi hiyo wanaouliwa na waasi.

  • Watu 18 wakabiliwa na tuhuma za kufanya ukatili wa kingono Congo DR

    Watu 18 wakabiliwa na tuhuma za kufanya ukatili wa kingono Congo DR

    Nov 14, 2017 12:22

    Watu 18 akiwemo afisa mmoja wa serikali ya kikanda wanakabiliwa na tuhuma za kufanya ukatili wa kingono huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Watu 33 wapoteza maisha katika ajali ya treni ya mizigo DRC

    Watu 33 wapoteza maisha katika ajali ya treni ya mizigo DRC

    Nov 13, 2017 12:13

    Watu 33 wamepoteza maisha siku ya Jumapili asubuhi, tarehe 12 Novemba, katika mkoa wa Lualaba wa kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, baada ya kutokea ajali ya treni ya mizigo ambayo imepelekea kujeruhiwa pia watu wengine kadhaa miongoni mwa abiria haramu karibu na mji wa Buyofwe.

  • SAUTI, Kiwanda cha kuzalisha umeme mji wa Kisangani Kongo DR, chazingirwa na mafuriko, mji wawa totoro

    SAUTI, Kiwanda cha kuzalisha umeme mji wa Kisangani Kongo DR, chazingirwa na mafuriko, mji wawa totoro

    Nov 11, 2017 12:17

    Athari ya mvua zinazoendelea kunyesha katika nchi kadhaa za Afrika zimeendelea kushuhudiwa ambapo mbali na kusababisha maafa zimesababisha pia uharibifu wa miundombinu.

  • UN yaitaka Kongo kuitisha uchaguzi na kusafisha taswira yake ya haki za binadamu

    UN yaitaka Kongo kuitisha uchaguzi na kusafisha taswira yake ya haki za binadamu

    Nov 10, 2017 03:58

    Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeipatia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo muhula wa mwaka mmoja kuripoti kuhusu hatua ilizochukua ili kuhakikisha kuwa inaitisha uchaguzi huru na wa kiadilifu sambamba na kusafisha rekodi yake ya haki za binadamu.

  • Umoja wa Mataifa wataka kukamatwa watu waliouwa wataalamu wake Congo DR

    Umoja wa Mataifa wataka kukamatwa watu waliouwa wataalamu wake Congo DR

    Nov 10, 2017 00:50

    Umoja wa Mataifa umeitaka serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutoa ushirikiano katika jitihada za kuweka wazi kadhia ya mauaji ya wataalamu wake wawili nchini humo.

  • Wakimbizi wa Kongo DR wadai kuwa jeshi linaua na kubaka raia

    Wakimbizi wa Kongo DR wadai kuwa jeshi linaua na kubaka raia

    Nov 09, 2017 04:17

    Maelfu ya wakimbizi raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waliokimbilia nchi jirani ya Zambia wamelituhumu jeshi la nchi yao kuwa linahusika na mauaji na ubakaji dhidi yao.

  • Upinzani Kongo DR wapinga tarehe ya uchaguzi iliyotangazwa na CENI

    Upinzani Kongo DR wapinga tarehe ya uchaguzi iliyotangazwa na CENI

    Nov 06, 2017 23:14

    Vyama vya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimepinga tarehe ya uchaguzi iliyopendekezwa na Tume ya Uchaguzi CENI hivi karibuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS