Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mapenzi makubwa ya wananchi kwa shahidi Raisi ulikuwa ujumbe kwa dunia kwa  manufaa ya Iran

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mapenzi makubwa ya wananchi kwa shahidi Raisi ulikuwa ujumbe kwa dunia kwa manufaa ya Iran

    May 24, 2024 13:04

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema amemtaja Rais shahidi wa Iran kuwa ni dhihirisho la nara za Mapinduzi ya Kiislamu na kusema: Mapenzi waliyoonyesha wananchi kwake yametoa ujumbe kwa walimwengu kwa manufaa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Usalama kwenye uchaguzi; mafanikio muhimu ya kisiasa ya Iran

    Usalama kwenye uchaguzi; mafanikio muhimu ya kisiasa ya Iran

    Feb 28, 2024 06:37

    Moja ya mafanikio na matunda muhimu zaidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kipindi cha miaka 45 iliyopita ni kufanyika chaguzi 39 katika mazingira salama na ya amani kamili.

  • Amir-Abdollahian: Israel inahatarisha usalama wa Asia Magharibi

    Amir-Abdollahian: Israel inahatarisha usalama wa Asia Magharibi

    Feb 21, 2024 04:15

    Hussein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa wa Iran amesema kuwa, utawala haramu wa Israel umehatarisha usalama wa eneo la Asia Magharibi.

  • Iran yazindua mifumo mipya ya ulinzi ya kukabili makombora

    Iran yazindua mifumo mipya ya ulinzi ya kukabili makombora

    Feb 17, 2024 08:04

    Jeshi la Iran limezindua mifumo mipya ya kistratijia katika sekta za makombora na ulinzi wa anga.

  • Alfajiri Kumi; Uongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika njia ya Imam Khomeini (M.A)

    Alfajiri Kumi; Uongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika njia ya Imam Khomeini (M.A)

    Feb 04, 2024 23:45

    Mtafiti na Mhadhiri wa Chuo Kikuu katika mji wa Zaria nchini Nigeria amesema kuwa, Ayatullah Khamenei anaongoza Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika njia sawa na ya Imam Khomeini (M.A).

  • Raisi: Damu za mashahidi wa Palestina zitaleta nidhamu ya dunia yenye uadilifu

    Raisi: Damu za mashahidi wa Palestina zitaleta nidhamu ya dunia yenye uadilifu

    Nov 19, 2023 11:06

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema 'nidhamu mpya ya dunia yenye uadilifu' itaibuka kutokana na damu za wananchi wa Palestina zilizomwagwa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika vita vyake vya mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.

  • Dola bilioni 1.7 za Iran zilizokuwa zimezuiliwa Luxemburg zaachiwa

    Dola bilioni 1.7 za Iran zilizokuwa zimezuiliwa Luxemburg zaachiwa

    Oct 07, 2023 23:54

    Dola bilioni 1.7 katika hazina ya fedha za kigeni za Iran zilizokuwa zimezuliwa nchini Luxemburg zimeachiliwa.

  • Rais Raisi: Kasi ya mwenendo wa maendeleo ya Iran katika nyuga tofauti inaongezeka

    Rais Raisi: Kasi ya mwenendo wa maendeleo ya Iran katika nyuga tofauti inaongezeka

    Sep 07, 2023 04:32

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Iran inaendelea kwa kasi kupiga hatua za maendeleo katika nyanja za kiuchumi, kijamii na kiutamaduni.

  • Waziri wa Kizayuni: Iran inaendesha ‘vita vya pande kadhaa vya kudhoofisha’ dhidi ya Israel

    Waziri wa Kizayuni: Iran inaendesha ‘vita vya pande kadhaa vya kudhoofisha’ dhidi ya Israel

    Apr 17, 2023 07:08

    Waziri wa vita wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema Iran inapigana dhidi ya utawala huo katika pande zote, huku kukiwepo na tahadhari zinazotolewa kuhusu uwezekano mkubwa wa kutokea vita vikubwa baada ya mageuzi tata ya kimahakama ya waziri mkuu wa utawala huo wa Kizayuni Benjamin Netanyahu kuzusha mgogoro wa ndani.

  • Mkurugenzi Mkuu wa ISESCO apongeza maadhimisho ya Siku ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Mkurugenzi Mkuu wa ISESCO apongeza maadhimisho ya Siku ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Mar 31, 2023 23:36

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (ISESCO) ametoa mkono wa kheri na fanaka na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mnasaba wa maadhimisho ya tarehe 12 Farvardin ambayo ni Siku ya Jamhuri ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS