Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

  • Tafakuri katika matukio ya hivi karibuni nchini Irani (3- Mipango ya Magharibi ya kuzusha machafuko nchini Irani)

    Tafakuri katika matukio ya hivi karibuni nchini Irani (3- Mipango ya Magharibi ya kuzusha machafuko nchini Irani)

    Oct 23, 2022 07:57

    Matukio ya hivi karibuni nchini Iran yamekuwa kisingizio cha nchi za Magharibi kuingilia masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu na kuzidisha au kuchochea machafuko na ghasia.

  • Kazi kubwa iliyofanywa na Jamhuri ya Kiislamu ya kubatilisha fikra kuu ya Magharibi ya kutenganisha Dini na Siasa

    Kazi kubwa iliyofanywa na Jamhuri ya Kiislamu ya kubatilisha fikra kuu ya Magharibi ya kutenganisha Dini na Siasa

    Jul 29, 2022 06:05

    Siku ya Jumatano ya tarehe 27 Julai, ambayo ilisadifiana na maadhimisho ya kusaliwa Sala ya kwanza ya Ijumaa kote nchini Iran baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Maimamu wa Sala Ijumaa kutoka kila pembe ya nchi walikwenda kuonana na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Husainiya ya Imam Khomeini (MA).

  • Utamaduni wa Qur'ani katika Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran

    Utamaduni wa Qur'ani katika Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran

    Feb 13, 2022 01:58

    Qur'ani Tukufu ndio chanzo muhimu zaidi cha elimu na maarifa ya Uislamu, ambacho, pamoja na vyanzo vingine vya elimu ya dini, mbali na kutumiwa katika maisha ya mtu binafsi na ya kiibada, vilevile huainisha mfumo wa jamii katika masuala ya kisiasa na kijamii. 

  • Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama

    Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama

    Feb 24, 2021 05:16

    Tarehe 21 mwezi huu wa Februari ilisadifiana na Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama. Lugha, wapenzi wasikilizaji, ni kitu muhimu sana katika maisha ya kiumbe mwanadamu.

  • Mapinduzi ya Kiislamu katika njia ya kuhuisha ustaarabu wa Kiislamu

    Mapinduzi ya Kiislamu katika njia ya kuhuisha ustaarabu wa Kiislamu

    Feb 07, 2021 03:25

    Licha ya kupitia milima na mabonde mengi, lakini kufikia sasa Jamhuri ya Kiislamu imefanikiwa kulinda nafasi na itibari yake ndani na nje ya nchi na ikiwa inaingia katika mwaka wake wa 42, imeongeza kasi yake kuelekea ustaarabu mpya wa Kiislamu.

  • Kusimama kidete Iran mbele ya vikwazo

    Kusimama kidete Iran mbele ya vikwazo

    Feb 06, 2021 04:06

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya mfululizo wa vipindi hivi maalum vinavyokujieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya Alfajiri Kumi kuelekea kilele cha maadhimisho ya ushindi wa Mpainduzi ya Kiislamu ya Iran.

  • Madai ya kukaririwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kinyume cha ukweli wa mambo

    Madai ya kukaririwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kinyume cha ukweli wa mambo

    Oct 23, 2020 04:19

    Anwar Gargash Waziri Mshauri wa Mambo ya Nje katika Umoja wa Falme za Kiarabu ametuma ujumbe kupitia ukurasa wake wa Twitter na kudai kuwa, Iran inavuruga uthabiti katika eneo la Asia Magharibi.

  • Malengo ya madai yasiyo na msingi ya Bahrain dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Malengo ya madai yasiyo na msingi ya Bahrain dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Jul 01, 2020 03:19

    Abdullatif bin Rashid al Zayani, waziri wa mambo ya nje wa utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain amesema katika mkutano na waandishi wa habari alioufanya kwa pamoja na Brian Hook, mjumbe maalumu wa serikali ya Marekani katika masuala ya Iran kwamba eti Iran inaingilia masuala ya ndani ya nchi za eneo hili ikiwemo Bahrain.

  • Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama

    Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama

    Feb 21, 2020 06:36

    Tarehe 21 Februari inasadifiana na Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama.

  • Mousavi: Iran itatoa jibu kali kwa hatua yoyote ya kijinga ya Israel

    Mousavi: Iran itatoa jibu kali kwa hatua yoyote ya kijinga ya Israel

    Feb 13, 2020 01:06

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utatekeleza uvamizi au hatua yoyote ya kijinga dhidi ya maslahi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Syria na katika eneo, basi utawala huo utapokea jibu kali ambalo litakuwa la majuto."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS