Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Japan

  • Iran: Taarifa ya Japan na Waarabu kuhusu visiwa vitatu haina maana

    Iran: Taarifa ya Japan na Waarabu kuhusu visiwa vitatu haina maana

    Sep 08, 2023 03:18

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa taarifa ya pamoja iliyotolewa na Japan na nchi za Kiarabu kuhusu visiwa vitatu vya Iran vya Bu Musa, Tomb Ndogo na Tomb Kubwa na kusisitiza kuwa taarifa hiyo haina umuhimu wowote.

  • Ijumaa, tarehe 16 Juni, 2023

    Ijumaa, tarehe 16 Juni, 2023

    Jun 16, 2023 02:24

    Leo ni Ijumaa tarehe 27 Dhulqaada 1444 Hijria sawa na tarehe 16 Juni 2023

  • Alkhamisi tarehe Mosi Juni mwaka 2023

    Alkhamisi tarehe Mosi Juni mwaka 2023

    Jun 01, 2023 01:21

    Leo ni Alkhamisi tarehe 12 Dhilqaada 1444 Hijria sawa na tarehe Mosi Juni mwaka 2023.

  • Waziri Mkuu wa Japan amwachisha kazi msaidizi wake kwa kupinga ndoa za watu wa jinsia moja!

    Waziri Mkuu wa Japan amwachisha kazi msaidizi wake kwa kupinga ndoa za watu wa jinsia moja!

    Feb 05, 2023 07:48

    Waziri Mkuu wa Japan Fumio Kishida amemwachisha kazi katibu wake mmoja kwa sababu ya matamshi yaliyotafsiriwa kuwa ya chuki dhidi ya maingiliano ya kimwili ya watu wa jinsia moja; na kusema, matamshi hayo yaliyotolewa na msaidizi wake huyo wa masuala ya kiuchumi ni "ya kuchukiza".

  • Russia: Waziri Mkuu wa Japan ni msaliti wa wahanga wa mashambulio ya nyuklia ya Marekani

    Russia: Waziri Mkuu wa Japan ni msaliti wa wahanga wa mashambulio ya nyuklia ya Marekani

    Jan 15, 2023 02:23

    Naibu wa Mkuu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia amesema kuwa, Waziri Mkuu wa Japan ni msaliti wa wahanga wa mashambulio ya nyuklia ya Marekani nchini mwake na kusisitiza kuwa, waziri mkuu huyo anatumikia malengo ya kibeberu ya Marekani.

  • China: Japan inatia shaka kwamba inataka suluhu wakati imeongeza mno bajeti ya kijeshi

    China: Japan inatia shaka kwamba inataka suluhu wakati imeongeza mno bajeti ya kijeshi

    Dec 28, 2022 11:25

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China imesema mipango ya Japan ya kuongeza kwa kiwango kikubwa mno bajeti yake ya kijeshi inatia wasiwasi na kusisitiza kwamba: kuna shaka kuwa hatua hiyo ya Tokyo imechukuliwa kwa nia ya kuleta suluhu na amani.

  • Ijumaa, Disemba 23, 2022

    Ijumaa, Disemba 23, 2022

    Dec 23, 2022 02:38

    Leo ni Ijumaa tarehe 28 Mfunguo Nane Jumadil Awwal 1444 Hijria inayosadifiana na 23 Disemba 2022 Milaadia.

  • Japan yataka Umoja wa Afrika upewe uanachama wa G20

    Japan yataka Umoja wa Afrika upewe uanachama wa G20

    Dec 20, 2022 02:40

    Japan imetangaza kuwa inaunga mkono pendekezo la kupewa uanachama Umoja wa Afrika (AU) katika kundi la G20.

  • Korea Kaskazini yafyatua kombora la balestiki kuelekea Japan

    Korea Kaskazini yafyatua kombora la balestiki kuelekea Japan

    Oct 04, 2022 07:51

    Korea Kaskazini imefyatua kombora lake la balestiki kuelekea upande wa Japan, na kupelekea kusitishwa kwa usafiri wa treni katika baadhi ya maeneo, huku Wajapani katika maeneo ya kaskazini wakitakiwa kujificha.

  • Kombora jipya la Korea Kaskazini na kiwingu kizito cha vita Kusini Mashariki mwa Asia

    Kombora jipya la Korea Kaskazini na kiwingu kizito cha vita Kusini Mashariki mwa Asia

    Sep 26, 2022 08:20

    Hatua ya Korea Kaskazini ya kufanyia majaribio kombora lake jipya kuelekea upande wa Bahari ya Japan imepokewa kwa hisia kali na nchi mbili za Japan na Korea Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS