Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Makubaliano ya JCPOA yataendelea kutekelezwa bila ya Marekani

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Makubaliano ya JCPOA yataendelea kutekelezwa bila ya Marekani

    Aug 20, 2018 03:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Marekani imekuwa mraibu wa uwekaji vikwazo na kusisitiza kwamba makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yataendelea kutekelezwa hata bila ya kushiriki Marekani.

  • Russia, China zasisitiza kulinda mapatano ya nyuklia ya Iran

    Russia, China zasisitiza kulinda mapatano ya nyuklia ya Iran

    Aug 18, 2018 02:48

    Russia na China zimesistiza kuwa zitaendelea kufungamana na mapatano ya nyuklia ya Iran ya mwaka 2015 yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA.

  • London yakataa matakwa ya Marekani ya kuiwekea vikwazo Iran

    London yakataa matakwa ya Marekani ya kuiwekea vikwazo Iran

    Aug 17, 2018 02:41

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Uingereza imekataa wito wa Marekani wa kujiunga na Washington katika vikwazo vyake vipya dhidi ya Iran.

  • Tehran: Marekani inapaswa kuliomba radhi rasmi taifa la Iran

    Tehran: Marekani inapaswa kuliomba radhi rasmi taifa la Iran

    Aug 09, 2018 23:23

    Waziri wa Mambo wa Ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani inapaswa kuheshimu ahadi zake katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA na iliombe radhi rasmi taifa la Iran.

  • Qassemi: Hakuna imani yoyote ya kufanya mazungumzo na Marekani

    Qassemi: Hakuna imani yoyote ya kufanya mazungumzo na Marekani

    Aug 07, 2018 10:08

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuhusu matamshi ya karibuni ya rais wa Marekani kuwa yuko tayari kufanya mazungumzo na viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwamba: kutokana na sera za Marekani za kuendesha vita vikubwa vya kisaikolojia dhidi ya Iran hakuna dhamana wala imani yoyote juu ya serikali ya Marekani wala rais wa nchi hiyo.

  • Nchi za Ulaya zapinga vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Nchi za Ulaya zapinga vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Aug 07, 2018 10:06

    Nchi za Ulaya zimetangaza kupinga vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kutangaza kuunga mkono mapatano ya nyuklia maarufu kama JCPOA.

  • Onyo la maafisa wa zamani wa kijasusi wa Marekani kuhusu nyaraka bandia za Netanyahu dhidi ya Iran

    Onyo la maafisa wa zamani wa kijasusi wa Marekani kuhusu nyaraka bandia za Netanyahu dhidi ya Iran

    Aug 07, 2018 01:45

    Israel ambayo inahesabiwa kuwa mmoja wa maadui wakubwa wa Iran katika eneo la Mashariki ya Kati daima inafanya njama na kueneza madai ya uongo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu hususan katika mradi wake wa amani wa nyuklia lengo lake kuu likiwa ni kutaka kupoteza imani ya jamii ya kimataifa na kuifanya ichukue hatua dhidi ya Iran.

  • Tuhuma hewa za Pompeo dhidi ya Iran; kuendelezwa mtazamo wa kiuadui wa Marekani

    Tuhuma hewa za Pompeo dhidi ya Iran; kuendelezwa mtazamo wa kiuadui wa Marekani

    Aug 06, 2018 09:04

    Baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA tarehe 8 Mei mwaka huu, iliamua kushadidisha mashinikizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Uungaji mkono wa wanaoibua ghasia na machafuko, sera mpya ya Marekani kuhusu Iran

    Uungaji mkono wa wanaoibua ghasia na machafuko, sera mpya ya Marekani kuhusu Iran

    Aug 04, 2018 07:04

    Marekani katika zama za urais wa Donald Trump imeongeza kasi ya sera zake zenye lengo la kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Abdolreza Rahmani Fazli: Marekani haiwezi kuthubutu kukabiliana kijeshi na Iran

    Abdolreza Rahmani Fazli: Marekani haiwezi kuthubutu kukabiliana kijeshi na Iran

    Aug 02, 2018 09:34

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran amesema kuwa, Marekani haiwezi kuthubutu katu kukabiliana kijeshi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS