-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Makubaliano ya JCPOA yataendelea kutekelezwa bila ya Marekani
Aug 20, 2018 03:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Marekani imekuwa mraibu wa uwekaji vikwazo na kusisitiza kwamba makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yataendelea kutekelezwa hata bila ya kushiriki Marekani.
-
Russia, China zasisitiza kulinda mapatano ya nyuklia ya Iran
Aug 18, 2018 02:48Russia na China zimesistiza kuwa zitaendelea kufungamana na mapatano ya nyuklia ya Iran ya mwaka 2015 yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA.
-
London yakataa matakwa ya Marekani ya kuiwekea vikwazo Iran
Aug 17, 2018 02:41Wizara ya Mambo ya Nje ya Uingereza imekataa wito wa Marekani wa kujiunga na Washington katika vikwazo vyake vipya dhidi ya Iran.
-
Tehran: Marekani inapaswa kuliomba radhi rasmi taifa la Iran
Aug 09, 2018 23:23Waziri wa Mambo wa Ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani inapaswa kuheshimu ahadi zake katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA na iliombe radhi rasmi taifa la Iran.
-
Qassemi: Hakuna imani yoyote ya kufanya mazungumzo na Marekani
Aug 07, 2018 10:08Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuhusu matamshi ya karibuni ya rais wa Marekani kuwa yuko tayari kufanya mazungumzo na viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwamba: kutokana na sera za Marekani za kuendesha vita vikubwa vya kisaikolojia dhidi ya Iran hakuna dhamana wala imani yoyote juu ya serikali ya Marekani wala rais wa nchi hiyo.
-
Nchi za Ulaya zapinga vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Aug 07, 2018 10:06Nchi za Ulaya zimetangaza kupinga vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kutangaza kuunga mkono mapatano ya nyuklia maarufu kama JCPOA.
-
Onyo la maafisa wa zamani wa kijasusi wa Marekani kuhusu nyaraka bandia za Netanyahu dhidi ya Iran
Aug 07, 2018 01:45Israel ambayo inahesabiwa kuwa mmoja wa maadui wakubwa wa Iran katika eneo la Mashariki ya Kati daima inafanya njama na kueneza madai ya uongo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu hususan katika mradi wake wa amani wa nyuklia lengo lake kuu likiwa ni kutaka kupoteza imani ya jamii ya kimataifa na kuifanya ichukue hatua dhidi ya Iran.
-
Tuhuma hewa za Pompeo dhidi ya Iran; kuendelezwa mtazamo wa kiuadui wa Marekani
Aug 06, 2018 09:04Baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA tarehe 8 Mei mwaka huu, iliamua kushadidisha mashinikizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Uungaji mkono wa wanaoibua ghasia na machafuko, sera mpya ya Marekani kuhusu Iran
Aug 04, 2018 07:04Marekani katika zama za urais wa Donald Trump imeongeza kasi ya sera zake zenye lengo la kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Abdolreza Rahmani Fazli: Marekani haiwezi kuthubutu kukabiliana kijeshi na Iran
Aug 02, 2018 09:34Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran amesema kuwa, Marekani haiwezi kuthubutu katu kukabiliana kijeshi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.