Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Kharrazi amjibu Trump na kumtaka kwanza atekeleze ahadi za serikali zilizotangulia za Marekani

    Kharrazi amjibu Trump na kumtaka kwanza atekeleze ahadi za serikali zilizotangulia za Marekani

    Jul 31, 2018 10:40

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Sera za Kigeni la Iran Dkt. Kammal Kharrazi ametoa jibu kwa pandekezo la Rais Donald Trump wa Marekani la kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na wakuu wa Iran na kusema: "Kabla ya yote, Donald Trump anapaswa kutekeleza ahadi na mikataba ya serikali zilizotangulia za Marekani na aheshimu sheria za kimataifa."

  • Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Serikali ya sasa ya Marekani haiaminiki

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Serikali ya sasa ya Marekani haiaminiki

    Jul 30, 2018 09:56

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema haiwezekani kufanya mazungumzo ya aina yoyote na serikali ya sasa ya Marekani na kusisitiza kuwa serikali ya nchi hiyo haiaminiki.

  • Austria yaikosoa vikali Marekani kutokana na kujiondoa katika JCPOA

    Austria yaikosoa vikali Marekani kutokana na kujiondoa katika JCPOA

    Jul 29, 2018 02:56

    Kujiondoa Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA Mei mwaka huu, hatua ambayo ilichukuliwa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo, kulifuatiwa na ukosoaji mkubwa wa nchi zingine wanachama wa kundi la 5+1 zikiwemo nchi tatu za Troika ya Ulaya za Ufaransa, Uingereza na Ujerumani.

  • Madai ya Donald Trump ya kuwa tayari kufikia makubaliano na Iran

    Madai ya Donald Trump ya kuwa tayari kufikia makubaliano na Iran

    Jul 25, 2018 03:48

    Licha ya kuweko uadui na uhasama wa Marekani dhidi ya Iran katika kipindi cha miaka takribani 40 tangu kuasisiwa mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu, lakini katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, uadui huo ulishadidi zaidi iwe ni katika kipindi cha kampeni za uchaguzi na hata baada ya kuingia madarakani.

  • Kulegeza kamba White House kuhusiana na bwabwaja za Donald Trump dhidi ya Iran

    Kulegeza kamba White House kuhusiana na bwabwaja za Donald Trump dhidi ya Iran

    Jul 24, 2018 20:49

    Katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, Marekani imeshadidisha misimamo na hatua zilizo dhidi ya Iran.

  •  Iran yaitaka EU iache maneneo matupu na kutekeleza ahadi kivitendo

    Iran yaitaka EU iache maneneo matupu na kutekeleza ahadi kivitendo

    Jul 18, 2018 08:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran sambamba na kusisitiza umuhimu wa uhusiano wa Iran na Umoja wa Ulaya baada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA, amesema, baada ya Ulaya kuahidi kufungamana na JCPOA, sasa umewadia wakati wa kutekeleza ahadi hizo kivitendo.

  • AEOI: Iran ipo tayari kuimarisha urutubishaji urani JCPOA ikifeli

    AEOI: Iran ipo tayari kuimarisha urutubishaji urani JCPOA ikifeli

    Jul 18, 2018 02:56

    Behrouz Kamalvandi, Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (AEOI) amesema Tehran iko tayari kuimarisha urutubishaji urani kwa kiwango cha juu iwapo jitihada za Umoja wa Ulaya za kuyanasuru makubaliano ya nyuklia ya Iran zitagonga mwamba.

  • Kamal Kharrazi: Ulimwengu usimame na kukabiliana na ubeberu wa Marekani

    Kamal Kharrazi: Ulimwengu usimame na kukabiliana na ubeberu wa Marekani

    Jul 15, 2018 23:08

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Uhusiano wa Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya taifa hili ni vya kidhulma na kuongeza kwamba, jamii ya kimataifa inapaswa kusimama kidete na kukabiliana na vikwazo hivyo.

  • Zarif: JCPOA imethibitisha Marekani haiaminiki hata kidogo

    Zarif: JCPOA imethibitisha Marekani haiaminiki hata kidogo

    Jul 14, 2018 23:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akizungumza kwa munasaba wa kufikiwa mapatano ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji, JCPOA, baina ya Iran madola sita makubwa ya kundi la 5+1 amesema: 'JCPOA imethibitisha kuwa serikali ya Marekani haiwezi kuaminika hata kidogo."

  • Rais Rouhani amtumia ujumbe mwenzake wa Uganda, Yoweri Museveni

    Rais Rouhani amtumia ujumbe mwenzake wa Uganda, Yoweri Museveni

    Jul 12, 2018 10:31

    Mjumbe maalumu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemkabidhi Rais Yoweri Museveni wa Uganda ujumbe wa maandishi kutoka kwa mwenzake wa Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS