-
China: Pande zote zinapaswa kuheshimu mapatano ya JCPOA
May 02, 2018 21:17China imesisitizia umuhimu wa pande zote husika kuendelea kufungamana na mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA.
-
Boroujerdi: Kama vikwazo dhidi ya Iran vitarejeshwa hakutakuwa na haja ya kuendelea na JCPOA
May 02, 2018 21:17Mkuu wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kama vikwazo vitarejeshwa, hakutakuwa na kitu chochote cha kuweza kuwakinaisha wananchi, Serikali na Bunge la Iran na kuwafanya wakubali kuendelea kuwemo katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Waziri Mkuu wa zamani wa Israel: Madai ya Netanyahu kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran hayana thamani yoyote
May 02, 2018 03:21Waziri Mkuu wa zamani wa Israel Ehud Barak amesema: matamshi ya Benjamin Netanyahu dhidi ya mpango wa nyuklia wa Iran hayana thamani yoyote.
-
Iran yaitaka Israel na waungaji mkono wake waache chokochoko zao la sivyo watajuta
May 01, 2018 23:17Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameuonya utawala haramu wa Israel na waungaji mkono wake na kuwataka waache njama na miamala yao hatari kwani jibu la Iran litakuwa la kushtukiza na la kuwafanya wajute.
-
Kupuuza Mogherini na Putin mchezo wa kitoto wa Benjamin Netanyahu
May 01, 2018 07:37Ikulu ya Russia Kremlin imetangaza kuwa, Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Benjamin Netanyahuu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Mogherini ajibu mchezo wa kitoto wa Netanyahu kuhusu mapatano ya JCPOA
May 01, 2018 00:06Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, usiku wa kuamkia leo amejibu mchezo wa kitoto wa Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel aliyedai kuwa eti Iran haijaheshimu mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Haaretz: Iran; ajenda kuu ya mazungumzo ya Waziri mpya wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani na Netanyahu
Apr 29, 2018 03:19Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeripoti kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni ajenda kuu itakayojadiliwa katika mazungumzo kati ya Mike Pompeo Waziri mpya wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani na Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni.
-
Iran: Tutasimama kidete kukabiliana na vikwazo vyovyote vile
Apr 28, 2018 23:07Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hakuna kikwazo chochote kitakacholenga manufaa ya Jamhuri ya Kiislamu kitakachoachwa vivi hivi hivi bila ya kutumia uwezo wetu wote kupambana nacho.
-
Kutengwa Marekani katika Muungano wa (NATO) juu ya kadhia ya JCPOA
Apr 28, 2018 03:24Katibu Mkuu wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO), Jens Stoltenberg ametoa matamshi yanayokinzana na mtazamo wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na nchi sita kubwa za dunia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.
-
Sayyid Aboutorabi: Kwa miongo yote minne taifa la Iran limepambana vikali na udhalimu
Apr 27, 2018 09:20Mohammad-Hassan Aboutorabi Fard, khatibu wa swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran amezungumzia njama za Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kuharibu makubaliano ya nyuklia (JCPOA) na kusema, kwa miongo minne taifa la Iran limepambana na hatua za kiuhasama na kidhalimu zikiwemo za Marekani.