-
Ayatullah Movahhedi Kermani: Mataifa ya Kiislamu yaamke dhidi ya jinai za Mabudha wa Myanmar
Sep 08, 2017 14:24Hatibu wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa hakuna matumaini ya kuona taasisi za kimataifa zikisaidia kuzuia mauaji ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar na ameyataka mataifa ya Kiislamu kuamka na kusimama kidete dhidi ya jinai zinazofanywa na jeshi na Mabudha wa nchi hiyo.
-
Mogherini na Amano wachunguza mwenendo wa utekelezaji wa makubaliano ya JCPOA
Sep 05, 2017 02:34Bi Federica Mogherini Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya na Yukia Amano Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) jana alasiri walichunguza mwenendo wa utekelezaji wa makubaliano ya JCPOA.
-
IAEA: Iran imetekeleza majukumu yake yote kuhusu JCPOA
Aug 31, 2017 22:58Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) umetoa ripoti yake ya msimu ukisisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetekeleza majukumu yake yote kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
EU yasisitizia haja ya kuheshimiwa makubaliano ya JCPOA
Aug 29, 2017 02:58Kwa mara nyingine tena Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefungamana na ahadi zake kuhusiana na makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa baina yake na kundi la 5+1 yanayofahamika kama JCPOA na kusisitizia udharura wa kuheshimiwa hati hiyo.
-
Balozi wa Iran UN: Marekani ijifunze kutokana na makosa iliyofanya huko nyuma
Aug 18, 2017 22:40Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu daima imekuwa ikipigania amani na uthabiti; na amewataka viongozi wa Marekani wajifunze kutokana na makosa waliyofanya huko nyuma.
-
Rais Rouhani: Makubaliano ya JCPOA ni kwa maslahi ya Iran, Mashariki ya Kati na ulimwengu
Aug 13, 2017 09:03Rais Hassan Rouhani amesema kuwa, makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ni kwa maslahi ya Iran, Mashariki ya Kati na ulimwengu kwa ujumla na kwamba, kila atayetaka kuyadhuru makubaliano haya atakuwa amejidhuru yeye na nchi yake.
-
Majibu ya Iran kwa Kongresi ya Marekani, Washington inavuruga usalama M. ya Kati
Aug 11, 2017 21:48Kamati ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje ya Bunge la Iran imepasisha mpango kamili wa kukabiliana na chokochoko na ugaidi wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Dakta Salehi: Jibu la Iran kwa ukiukaji wa makubaliano ya JCPOA litakuwa la kushtukiza
Aug 10, 2017 09:28Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema kuwa, kama Iran ikitaka kutoa jibu kwa ukiukaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Utekelezaji wa Pamoja (JCPOA) basi jibu lake litakuwa ni la kushtukiza.
-
Iran: US ijiandae kwa matokeo mabaya ikikiuka JCPOA
Aug 09, 2017 03:08Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitahadharisha Marekani na matokeo mabaya itakayoyapata iwapo itaamua kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Vienna.
-
Araqchi: Vikwazo vipya vya US vinalenga kuisambaratisha JCPOA
Aug 03, 2017 02:55Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani kusaini sheria ya vikwazo vipya dhidi ya Tehran ni njama ya Washington ya kutaka kusambaratisha makubaliano ya nyuklia ya Vienna yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA.