-
Zarif: Marekani imekiuka makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Apr 21, 2017 11:13Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena amesisitiza kwamba Marekani haijatekeleza majukumu yake mkabala na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Trump aamuru kuangaliwa upya makubaliano ya JCPOA
Apr 19, 2017 02:47Rais Donald Trump wa Marekani ameiagiza kamisheni ya usalama wa taifa ya nchi hiyo kuangalia upya makubaliano kwa jina la Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Iran: Makombora yetu hayana uhusiano wowote na JCPOA
Apr 13, 2017 03:13Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran amesema hatua ya Jamhuri ya Kiislamu kufanyia majaribio makombora yake haina mfungamano wowote na makubaliano ya nyuklia ya Vienna.
-
Russia yasisitiza kutekelezwa makubaliano ya JCPOA
Feb 10, 2017 11:51Balozi wa Russia nchini Marekani amesisitiza udharura wa kutekeleza makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya kundi la nchi 5+1 na Iran yaani JCPOA.
-
Rouhani: Makubaliano ya nyuklia ya Iran ni kwa maslahi ya pande zote
Feb 07, 2017 11:34Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema makubaliano ya nyuklia kati ya Tehran na kundi la 5+1 ni kwa maslahi na manufaa ya pande zote zilizosaini mapatano hayo huko Vienna Julai mwaka 2015.
-
Jibu la Iran kwa ukiukaji wa Marekani wa JCPOA, ni kurutubisha SWU laki moja
Feb 07, 2017 03:47Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Iran amesema kuwa jibu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ukiukaji wa makubaliano ya JCPOA utakaofanywa na serikali ya Marekani litakuwa ni kurutubisha Separative Work Unit (SWU) laki moja.
-
Araqchi: Kuna udharura wa kuweko ushirikiano kwa ajili ya kukabiliana na vitisho vya kiusalama
Jan 25, 2017 11:18Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuna haja ya kuweko ushirikiano baina ya mataifa mbalimbali katika uga wa kimataifa kwa ajili ya kukabiliana na aina mbalimbali ya vitisho vya kiusalama.
-
Baraza la Usalama la UN lathibitisha Iran imetekeleza makubaliano ya JCPOA
Jan 19, 2017 01:10Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetangaza katika kikao chake kilichofanyika usiku wa kuamkia leo kwamba, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetekeleza majukumu yake yote kuhusu makubaliano ya nyuklia kati ya Tehran na kundi la 5+1 maarufu kwa kifupi kama JCPOA.
-
Iran: Iwapo Trump ataachana na JCPOA atashangazwa mwenyewe
Jan 18, 2017 13:27Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, iwapo rais mteule wa Marekani ataamua kuachana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, hatua hiyo itamduwaza na kumuweka kinywa wazi yeye mwenyewe.
-
Amano: Iran imeheshimu kikamilifu makubaliano ya nyuklia
Jan 18, 2017 00:40Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ameeleza kuwa Iran imetekeleza majukumu yake yote yanayohusiana na makubaliano ya nyuklia kati yake na kundi la 5+1. i.